Wana Jf tusaidiane katika hili,hivi inakuwaje unakuta mama anam-miminia mtoto wake matusi mazito mazito,bila kujali nani yuko hapo na anasikia hayo anayomwambia mtoto wake,mada ya jana ya Calnde...
JF kuna mbaba amefiwa na mwenzake some 2 years ago..ana watoto wakubwa age between 12-16 (three of them), wanamkataza huyo mbaba asioe...alipojaribu kuwa-introduce hiyo issue watoto hawataki...
Inatokea umeingia katika restaurant, club ama sehemu yeyote ya public na uko mwenyewe tu,ghafla anaingia binti mrembo/kijana mtanashati naye yupo single(hajaambatana na yeyote).Moyo unakulipuka,na...
Inapotokea umetokewa na kijana, mpole, mkarimu, mpenda dini na anakuambia direct kw alikw na mpenzi lakn hayupo tz na hataki kurudi tena, nayy umri wake una mruhusu kuoa sshivi kwaiyo anatafuta...
Mate debate: Is monogamy realistic?
By A. Pawlowski, CNN
October 28, 2009 1:36 p.m. EDT
Actors Sienna Miller and Jude Law were engaged when he had an affair with a nanny who tended to one...
Kuna article hii kutoka dailymail la Uk kuwa ukioa Mwanamke uliyepishana naye miaka zaidi ya 5 na kuendelea ndoa yenu itadumu. Je ni kweli kwa jamii yetu ???
Tuijadili
Why it pays to have a...
...hivi,
inakuaje mtu anakubali kudhalilika na kunyanyasika kisa
mapenzi.Ni kweli hawezi kula, kulala wala maisha bila huyo mtu?
au ni false hopes kwamba atabadilika tabia?
...Unakuta...
habari za hapa wanaukumbi , nimepata kijiproject kidogo cha kufanya utafiti wa sumu ya ndoa na nikaona nije hapa jamvini kupata vijisentensi kadhaa.
ningeomba kila post iwe na ujumbe ndani ya...
Wanaume ni viongozi nje na ndani ya nyumba si ndiyo?
Kiongozi anaangaliwa na waongozwa kama kioo na dira ya kila kitu.
Katika setting ya nyumbani/familia wanaume aghalabu hujichukulia kama ni...
Nahitaji mawazo how to deal with a male collegue Ive been working with for 5 years.He is married with 2 kids.Wa mwisho anamiezi michache yule mwingine ananza skuli.Bibi ni housewife.Huyu mwenzangu...
Nimekuta habari hizi zimenisikitisha kiasi najiuliza maswali mengi bila ya kupata majibu, i lakini kuna swali moja bado limebaki najiuliza hadi hivi sasa Binafsi sijawahi kufika Bara nasikia tu...
Wandugu mwenzenu nina situation, mpenzi wangu wa moyo ameanzisha mgomo baridi toka last week saturday. Kifupi access yangu kwenye ile starehe yetu amei deny. Kisa ni kuwa nilipotoka ijumaa kazini...
Mimi na huyu mlala pembeni yangu kihalali, tukiwa na akili timamu na bila ya kulazimishwa na mtu yeyote tukiwa na nia moja na bila ya kushawishiwa na mtu yeyote tumeamua kutumia kondom kama njia...
A test of convictions
First of two parts
By Stephanie Chen, CNN
October 26, 2009 9:17 a.m. EDT
Chicago, Illinois (CNN) -- For Jewel Mitchell, it was the worst Christmas of her life, the...
Mijadala ya mahusiano katika jukwaa hili mara nyingi inaonyesha kama vile kuna chuki baina ya wanawake na wanaume... kwa maana ya mke na mume.Hebu muulize mtoto yeyote kama anamchukia baba yake...
Ameolewa na ana watoto wawili , Mungu amempa watoto wakike 2.Lkn Kuanzia baba mkwe , mawifi , shemeji zake wanamlaumu kwa kuzaa watoto wakike, na kusema mwanamke gani anazaa watoto wakike...
...nauliza hivi;
Pamoja na miongozo ya kidini (kwa wenye imani zao), inapendeza mjane aolewe baada ya muda gani?(mfano; mara tu baada ya kumaliza eda ya kufiwa?). Ungependelea mwenza wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.