He met her at a party.. She was so beautiful, many guys were chasing after her, while he was so plain and simple, nobody paid attention to him.
At the end of the party, he invited her to have...
Wanawake viumbe wa ajabu sana. Brother yangu alisoma STATES na aliporudi mwaka 1999 alioa mke kutoka kijijini katika familia fulani masikini. mkewe huyo hakuwa amesoma hivyo kaka yangu alijitahidi...
Mara nyingi hukutana na neno hili..KICHECHE.. likitumika kuwalenga wanawake... sijaweza kuelewa vizuri hasa nini maana yake.
Nijuavyo mimi kicheche ni mnyama wa porini ambaye hula vifaranga kama...
Wandugu!
Nimeshawishika kuuliza hili,kwasababu ninaamini kila mtu mwenye mwandani wake(bila kujali ni HE/SHE) naamini kuna kitu kimoja au viwili HUWA HAELEWI ELEWI/KINAMSHANGAZA/KINAMTATIZA/KIPO...
...........Najua hii mada ishaongelewa sana hapa JF hata kama siyo direct kama navyotaka kuipresent case niliyoipata hivi karibuni! Kuna mdada kaolewa ana kama miaka mitatu kwenye ndoa sasa...
KUTATULIWA MATATIZO
Wanawake wengi hutegemea kuwa wanapokuwa na wapenzi watasaidika katika matatizo ya kimaisha na migogoro ya kimawazo. Kwa mfano ushauri juu ya maisha yao, kulindwa na hatari za...
Hivi kwa nini wanawake wakiolewa katika familia fulani wao ndio chanzo cha kusamatika kwa upendo uliokuwepo katika familia hiyo.
Kwetu tumezaliwa wanaume wawili na wanawake sita. toka tumekuwa...
I AM TOTALLY CONFUSED MY PEOPLE!
kila nikiwaambia ''...jamani eeh,nimeamua kuoa LEAVE ME ALONE!..''wananitishia hata kuweka pingamizi kanisani.
wanasisitiza ''WEWE OA TU,LAKINI SISI TUNAOMBA...
Hili neno lilivuma sana enzi za utoto wetu tukawa tunatania watu shuleni hivi kwa nini serikali ililipiga marufuku? nakumbuka kuna wimbo ulikuwa unaimbwa wanawake wazuriwazuri wameolewa. Mpaka...
Salaam!
Kuna kipengele katika sheria ya ndoa kinachosema kua pindi ndoa inapovunjika Mtoto atakaa kwa mama yake mpaka afikishe miaka saba then baba anaweza kumchukua!! Sasa kuna rafiki yangu...
Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa...
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya...
Natafuta demu wa kuchat nae,sitaki kukutana nae face to face au kuwa na uhusiano wa kimapenzi.
nataka m2 (wa kike eh) charming wa kunipotezea mawazo. kama una interest, nitumie email au niadd...
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua...
It says: "Be very careful if you make a woman cry, because God counts her tears. The woman
came out of a man's rib. Not from his feet to be walked on. Not from his head to be superior, But...
Am hoping you all are doing very well in your different capacities...wapwa, mabinamu, masista duu, nk.
I thought we should discuss this, memories of past rships.... am talking about not so...
Umeipata hii kali ya huko Mbeya Wazee huko wanajichukulia visichana vidogo vya primary na vimepewa jina ati wanadai kupata chanjo ni kuvimega visichana vidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.