Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna thread moja inahusu michango ya harusi imenikumbusha mbali. Hivi jamani, mnazijua gharama anazoingia bwana harusi hadi anapooa? Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka...
2 Reactions
127 Replies
17K Views
Kwa kuwa hakuna mwenye majibu za moja kwa moja...! Mim leo nakuja mbele ya wanajamii kuuliza.. Tena kila mtu kwa nafasi aliyonayo ndani ya jamii,yaani unaweza kuwa mzazi,mtoto au KIJANA...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, nilitendwa na dada mmoja miaka mitatu iliyopita. Nilipata secondment Nigeria kikazi kwa kama miezi kumi hivi, baada ya kurudi nikamkuta na kitumbo cha miezi 3. Huyu alikuwa mtarajiwa wangu...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
"Ukimpenda mume ukamfanya afurahi basi mwisho wa siku familia yote itakuwa na furaha".Kasema bwana mmoja wakati alipoulizwa kwanini ndoa nyingi zinagubikwa na misukosuko! "Mke anatakiwa kuweka...
2 Reactions
57 Replies
6K Views
Neno vigonela (uwingi) au kigonela (umoja) ni la lugha ya Kihehe na maana yake (jinsi nilivyolielewa mimi) ni kukosa mahitaji fulani kwa muda mrefu.................................. Baada ya...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
A MAN hired a prostitute to come to his hotel room - and answered the door to his own daughter. Titus Ncube, a married father-of-three, collapsed to the floor with shock while his daughter, 20...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
wanayasansi toka marekani na Argentina wamefanya utafiti na umeonyesha kuwa Mtandao wa internet kwenye komputa za mkononi"Wirele7 internet" kwenye laptop,Una madhara kwa viungo vya uzazi. Timu ya...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Ndugu zangu,siku hiyo imepangwa maalamu kukumbushana namna inavyotupasa kukabiliana na janga hilo. Tanzania bila ukimwi inawezekana!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji demu mwenye umri usiozidi miaka ishirini atokua tayari anirushie email yake
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sex and the City's Carrie Bradshaw (Sarah Jessica Parker). Photograph: Henry Lamb/BEI / Rex Features furaha ya bibi ni kuwa na bwana ni ukweli wa kiasilia na wanawake ambao wamepingana nao...
1 Reactions
58 Replies
8K Views
Nimebahatika kuwa karibu na familia moja yenye mke(age 40's)+mme+watoto+wajukuu, mme ni mtu anayesafiri mara kwa mara mikoani. Ukaribu wangu kwao ukapelekea wakiface tatizo wanajaribu kuniomba...
0 Reactions
34 Replies
25K Views
Kama umeweza kuiona siku ya leo ukiwa na afya njema kwa nini usiseme asante kwa Mungu wako? Kuna watu ambao hawana uhakika wa kuendelea kuishi,yaani wamekata tamaa ya maisha. Lakini wewe...
4 Reactions
13 Replies
5K Views
Heshima yenu Wana JF, Natambua penye wengi hakiharibiki kitu,mimi nimebahatika kupata elimu ya chuo kikuu na Mungu amejalia nimemaliza degrii ya pili na sasa nafanya kazi.Kipato changu ni cha...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
"Dear God, please send clothes to all those poor naked ladies in Daddy's Cellphone, Amen."
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa wana jamii,hapa nilipo ni katika dilema,nina mme na watoto.Namshukuru sana Mungu kwa baraka zote alizonijaza,nilikuja kusoma ulaya nimemaliza nikapata kazi na resident permit yenye work...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
...If walls could talk!.... Picha hii inakupa ujumbe gani? Nawe badilika unapokuwa 'umelala' na mwenzio!
0 Reactions
259 Replies
28K Views
Nimeoa ninaishi na mke wangu,mama wa mke wangu amekuwa akimshinikiza mke wangu kuivunja ndoa yetu hadi ananipigia cm na kuanza kunifokea kisa eti tuligombana siku moja.Lakini mimi nimekuwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
nimefanya utafiti juu ya tabia za watu ambao hawanywi pombe si kwa sababu ya dini yao ila walizaliwa hivyo, asilimia 80% nikagundua wana matatizo sana ya kupenda wanawake , yaani wapenda ngoo...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanaume/wanawake kuwalazimisha wapenzi wao hasa wanapokuwa wanaelekea kuoana ama baada ya kuoana kubadilisha namba zao za simu au kuachana na marafiki wote waliokuwa...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Miaka michache nyuma, nikiwa ndiyo nimemalizia shahada yangu ya pili na kuanza kazi kwenye kampuni moja ya Insurance, nilibahatika kukutana na dada mmoja, mpole na mwenye muonekano wa unyenyekevu...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Back
Top Bottom