Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Jaman nimekosa raha ndugu wa baba wanadai eti mama yng mchawi anamloga baba hadi amekuwa mlevi mbwa pia kama anachanganyikiwa wameniita eti wanipe dawa ili wanipe dawa waliyopewa na waganga wao...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sijajua kama jamvini tumewahi kufikiri swala la pornography na ndoa zetu! Does it help anything? How devastating it is? Maana hapa kwenye ndoa kuna wa aina tatu. a) Both mume na mke...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
habari wana jamii forums me ni mgen kwenye jamvi hli.mimi ni msichana nna miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili na nina mtoto.tatizo langu mi kwamba nahisi nina shida katika mapenzi kwani kwa mwaka...
3 Reactions
69 Replies
5K Views
Niko mikoa ya kanda ya kaskazini kikazi, nimekutana na dada mmoja ,mumewe ni mtu wa makamo, lakini dada kidogo anaonekana bado damu inamchemka, wana duka kubwa la vyakula hapa mjini. Kwa ajili ya...
1 Reactions
65 Replies
5K Views
mabinti mabinti mabinti hii ni kutoka kwa wadada wafanyakazi tanzania(wwt) kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia...
16 Reactions
74 Replies
9K Views
naomba kujuzwa kama umri au age different ni kigezo muhimu katika maisha ya mahusiano au ndoa and if age matters ni miaka mingapi actually mwanaume na mwanamke wanatakiwa kupishana? what about the...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Nipe sababu 10 kwanini unadhani unataka /unatamani kuishi na mimi for the rest of your life? Why me na sio wengine? Au mjibie mpenzi wako kwa nini yeye?
3 Reactions
52 Replies
7K Views
niliachana najamaa m1 toka 2009 sasa toka juz ananisumbua sana et anadai bado ananipenda minkakataa ila jamaa anakuwa haelewi kiukweli mi simtaki manake alitenda isivo kawaida
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni mwaka wa pili tangu nioe, ila mwezi wa 11 mwaka jana mke wangu kaanza mauzauza. Anatoka asubuhi kurudi ni saa sita au asubuhi ya siku inayofuyata. Kafanya hivyo kwa muda wa miezi miwili sasa na...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Kachimbe kisima wewe mwenyewe ndugu yangu na unywe maji yako peke yako. Usishiriki na mwingine,Ni hatari kubwa sana. Hakika,maji ya kisima cha watu wengi yameingiliwa na mdudu, ukiwa na kiu...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Mimi ni mmoja kati ya watu wasioamini kama kuna uhusiano kati ya kabila na tabia za mtu. Kuna rafiki yangu ana mpenzi ambaye ni Mpare na wamedumu naye kwa miaka kadhaa sasa. Sasa huyu jamaa...
0 Reactions
65 Replies
30K Views
Bila kuvunja Ibara ya ...... Kanuni na masharti ya JF AAA = Mara nyingi ni raha ya ukweli EEE = Mara nyingi ni maumivu ya ukweli III = Mara nyingi wanajifanyisha, anataka kukuibia OOO=...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
A woman needs love Just like you do Don't kid yourself Into thinking that she don't She can fool around Just like do, oh Unless you give her All the lovin' she wants Don't make the mistake Of...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna kibinti kimoja hapa mtaani kwangu kimesikika kikiapa kuwa lazima kitembee na mvulana mmoja ambaye husifika kwa mabinti kumgombania.....................sababu hazieleweki kwa uwazi...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mkeo amepata nafasi ya kwenda kusoma, Pale nyumbani mna watoto wawli, mnaamua kuagiza mfanyakazi kutoka kwenu kijijni kuja kuwasaidia kazi, na siku ya kuja mfanyakazi unaenda wewe mwenyewe...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Marriage is a social obligation as well as something two individuals would like to get into after courtship. Although, many single women prefer to avoid marriage, yet marriage continues to be...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Naomba marafiki wakike wanao weza tukabadilishana mawazo
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Ebana mwenzenu j3 ndo naanza UE,ka vp niombeeni for best results in my coming exams.asanten
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Why do women cheat? There are three types of affairs they could be involved in. The first and biggest is the physical affair where there is sex involved. Then there is the emotional affair...
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Back
Top Bottom