Ukigundua mumeo "bwabwa"

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,615
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya wawe ana mahudhurio mazuri toilet.Dada yangu huyu ana shostito wake kipenzi tangu elim ya msingi na yeye ameolewa.

Lakini kwa bahati mbaya dada yangu amemfuma mumewe REDI HENDEDI akiliwa tigo na mume wa shostito wake. Inavyoelekea Shostito wa sista hajui kama mumewe anawapumulia wanaume wenzie visogoni.

Ameniomba ushauri ambapo na mimi nauleta hapa kwenu, amwambie shosti wake kuwa shemeji yake ni mke mwenzie?

Na yeye atimue au afanyeje?

Msaada tafadhali!
 
..anyway, mwenye dhima kubwa hapo ni huyo dadako aliemkuta akipumuliwa, hiyo sio ndoa hata akimdhibiti kwa huyo atakwenda kwa wengine. zamani nilidhani huo ulikuwa mchezo wa kipwani, lol hata wa bara sana wanapummuliana!
 
ukigundua bwabwa , unatafuta bwana Mwingine anakuwa anakutafuna wewe na yeye, hapo itakua ngoma droo, au yuleyule bwana anae mkandamiza unajipendekeza ili awe anawatafuna wote, hapo sawa.
 
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya wawe ana mahudhurio mazuri toilet.Dada yangu huyu ana shostito wake kipenzi tangu elim ya msingi na yeye ameolewa.

Lakini kwa bahati mbaya dada yangu amemfuma mumewe REDI HENDEDI akiliwa tigo na mume wa shostito wake. Inavyoelekea Shostito wa sista hajui kama mumewe anawapumulia wanaume wenzie visogoni.

Ameniomba ushauri ambapo na mimi nauleta hapa kwenu, amwambie shosti wake kuwa shemeji yake ni mke mwenzie?

Na yeye atimue au afanyeje?

Msaada tafadhali!

Bila kupindisha hapo, na bila kupoteza muda wa mahakama, HAKUNA NDOA HAPO. hII NI KAMA ITAKUWA IMETHIBITISHWA BILA KUACHA KIVULI CHOCHOTE CHA SHAKA, KWAMBA HUYU BWANA ANA TABIA HIYO.

Dadako afanye taratibu za Talaka, au kama ndoa yake ni ya Kikristo awahi kwa mchungaji/padiri aeleze nia yake na hatimaye atemane na huyu mpumbavu, ajitafutie bwana mwingine aendelee na maisha!
Shiit!..Swine....gaaaadem!..Idiot!
 
Bila kupindisha hapo, na bila kupoteza muda wa mahakama, HAKUNA NDOA HAPO. hII NI KAMA ITAKUWA IMETHIBITISHWA BILA KUACHA KIVULI CHOCHOTE CHA SHAKA, KWAMBA HUYU BWANA ANA TABIA HIYO.

Dadako afanye taratibu za Talaka, au kama ndoa yake ni ya Kikristo awahi kwa mchungaji/padiri aeleze nia yake na hatimaye atemane na huyu mpumbavu, ajitafutie bwana mwingine aendelee na maisha!
Shiit!..Swine....gaaaadem!..Idiot!
Thanks ya kitufe pale juu haitoshi,. Naomba nikandamize nyingine ya maneno. THANKS PJ.
 
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya wawe ana mahudhurio mazuri toilet.Dada yangu huyu ana shostito wake kipenzi tangu elim ya msingi na yeye ameolewa.

Lakini kwa bahati mbaya dada yangu amemfuma mumewe REDI HENDEDI akiliwa tigo na mume wa shostito wake. Inavyoelekea Shostito wa sista hajui kama mumewe anawapumulia wanaume wenzie visogoni.

Ameniomba ushauri ambapo na mimi nauleta hapa kwenu, amwambie shosti wake kuwa shemeji yake ni mke mwenzie?

Na yeye atimue au afanyeje?

Msaada tafadhali!
..Sio bahati mbaya hiyo! kama angalau amemfuma live anasubiri nini? aombe jamaa amuoe na yeye apate radha zote!
 
Ningependa nifahamu ni maamuzi gani wenzangu mtachukua iwapo hali hii itawakuta. Dada yangu ameolewa na Mnyarwanda ambaye anakijikampuni chake kinachowapatia senti mbili tatu angalau za kuwafanya wawe ana mahudhurio mazuri toilet.Dada yangu huyu ana shostito wake kipenzi tangu elim ya msingi na yeye ameolewa.

Lakini kwa bahati mbaya dada yangu amemfuma mumewe REDI HENDEDI akiliwa tigo na mume wa shostito wake. Inavyoelekea Shostito wa sista hajui kama mumewe anawapumulia wanaume wenzie visogoni.

Ameniomba ushauri ambapo na mimi nauleta hapa kwenu, amwambie shosti wake kuwa shemeji yake ni mke mwenzie?

Na yeye atimue au afanyeje?

Msaada tafadhali!

Hapo noma sana kwa hiyo akitoka kuvuruga kiny*si anaenda kumwingilia mdada wa watu na kumwachia madudu ya kiny*si kwenye k yake! Hajawahi kuugua magonjwa ya zinaa kweli! Watu wengine balaa! hicho ni full kimeo
 
Hiyo noma babake. Hapo dada chapa mwendo mbaya! Kuna siku huyo mumeo bwabwa atagombana nawe kwa sababu ya kuhisi unamchukulia bwanake! Au unataka kusubiri hadi ugombee nae bash*?
 
Itabidi dada yako abwage manyanga hapo hakuna ndoa ..kwanza kutakuwa hakuna maelewana ndani ya nyumba .pia sidhani kama atakuwa na hamu ya kumake love na mmewe kama zamani kichefuchefu
 
Back
Top Bottom