Zambia's celebrity couple reveal wife-beating past
By Jo Fidgen
BBC News, Lusaka
One of Zambia's most famous singers has revealed how she was badly beaten by her husband. She now...
Tumekuwa tukisikiliza radioni, kusoma magazetini na kushuhudia pia kuwa
watu wakiwa wanaishi pamoja kama mke na mume na kama wamejaaliwa watoto mambo huwa mazuri tu. Tatizo linakuja pale...
Jamani kuna kaka mmoja amekutwa na mtihani mkubwa katika maisha yake baada ya kuugua ugonjwa wa kupooza uliomfanya asiweze hata kuzungumza. Akiwa katika hali hiyo, kwa kuwa hakuwa na mke na tatizo...
Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake...
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???
Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake...
Wajameni nina kaka yangu ana mchumba wake wana miaka mitatu sasa kila binti akiambiwa tuoane anadai mapema sana...baya ama zuri kakangu anasema kila siku amekuwa akililia tunda bila mafanikio...
Jamani ukitaka kujua ubaya wa mapenzi, anzisha mahusiano ofisini maana ni sawa na kujifunga bomu kichwani ukisubiri likulipukie wakati wowote!
Mahusiano kazini yasipoathiri utendaji wako (kama...
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mumemwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si...
wanasema pesa humfuata mwenye pesa..
huwezi kupata pesa nyingi bila kuwa na pesa japo kidogo sio...
mimi katika experience yangu naona na wanawake
hivyohivyo....
ukiwa single mda mrefu inakuwa...
habari zenu waungwana?
nitakuwa mwizi wa fadhila kama sitotoa shukrani zangu kwa msaada wenu. ahsanteni sana kwa kunisaidia kuikamilisha ile project ya , sumu ya ndoa ni...... , nina furaha...
THE MEANS:baada ya kuona mumewe(mwanajeshi wa level ya lt col) ni mlevi kupindukia,anakabidhi mshahara wake woote bar,kula kunywa na totooz huyu mke mwema aliamua kuanza kumuibia mumewe kila siku...
Nimejiunga naye.... Amebadilika!
Mume wangu hapa humtoi! James ni mwanaume anayependa sana soka si kuangalia kwenye Tv tu bali hata kuhudhuria mechi mbalimbali kuanzia uwanja wa taifa jijini...
Ufitinaaaaa na upelelezi ni sumu ya mapenzi... mimi kupendwa na yeye... ninyi mwakerwa na nini... yeye kanipenda nami namupendaaa...
Naupenda sana wimbo huu Nguza hapa aliacha kazi akafanya kazi!
Nimempa kile anapenda!
Siri kubwa
Kuna usemi wa msingi sana kuhusiana na ndoa hasa linapokuja suala la interests na hobbies kati ya mume na mke.
Jambo la msingi kwa mke ni kukumbuka kwamba...
"Too late to catch the bus"
Afadhari hujachelewa basi la abiria!Mara nyingi hobbies husababisha wanandoa kuwa na mawasiliano mazuri, kuongea pamoja, kuwa na kicheko na kufanya vitu kwa pamoja...
Una ripoti ya ukaguzi?
Mchwa umefanya kazi yake!
Mwenye nyumba alihitaji ripoti ya ukaguzi wa mara kwa mara! "Mpenzi ,nionyeshe uso wako, na niisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.