Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Zambia's celebrity couple reveal wife-beating past By Jo Fidgen BBC News, Lusaka One of Zambia's most famous singers has revealed how she was badly beaten by her husband. She now...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tumekuwa tukisikiliza radioni, kusoma magazetini na kushuhudia pia kuwa watu wakiwa wanaishi pamoja kama mke na mume na kama wamejaaliwa watoto mambo huwa mazuri tu. Tatizo linakuja pale...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
shauri ya wake za watu!! Ukiliwa mkeo ni contact.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Jamani kuna kaka mmoja amekutwa na mtihani mkubwa katika maisha yake baada ya kuugua ugonjwa wa kupooza uliomfanya asiweze hata kuzungumza. Akiwa katika hali hiyo, kwa kuwa hakuwa na mke na tatizo...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake...
0 Reactions
57 Replies
7K Views
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao??? Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex mpenzi wake...
0 Reactions
99 Replies
23K Views
Wajameni nina kaka yangu ana mchumba wake wana miaka mitatu sasa kila binti akiambiwa tuoane anadai mapema sana...baya ama zuri kakangu anasema kila siku amekuwa akililia tunda bila mafanikio...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana karibu sana
0 Reactions
93 Replies
10K Views
Jamani ukitaka kujua ubaya wa mapenzi, anzisha mahusiano ofisini maana ni sawa na kujifunga bomu kichwani ukisubiri likulipukie wakati wowote! Mahusiano kazini yasipoathiri utendaji wako (kama...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mumemwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
What do yoy think? does it relly important?sex is different from making love ryt?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wanasema pesa humfuata mwenye pesa.. huwezi kupata pesa nyingi bila kuwa na pesa japo kidogo sio... mimi katika experience yangu naona na wanawake hivyohivyo.... ukiwa single mda mrefu inakuwa...
0 Reactions
97 Replies
10K Views
habari zenu waungwana? nitakuwa mwizi wa fadhila kama sitotoa shukrani zangu kwa msaada wenu. ahsanteni sana kwa kunisaidia kuikamilisha ile project ya , sumu ya ndoa ni...... , nina furaha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
THE MEANS:baada ya kuona mumewe(mwanajeshi wa level ya lt col) ni mlevi kupindukia,anakabidhi mshahara wake woote bar,kula kunywa na totooz huyu mke mwema aliamua kuanza kumuibia mumewe kila siku...
0 Reactions
148 Replies
12K Views
Mke wa rais wa Marekani, Michelle Obama Tuesday, November 17, 2009 10:32 AM Mke wa rais wa Marekani, Michelle...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimejiunga naye.... Amebadilika! Mume wangu hapa humtoi! James ni mwanaume anayependa sana soka si kuangalia kwenye Tv tu bali hata kuhudhuria mechi mbalimbali kuanzia uwanja wa taifa jijini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ufitinaaaaa na upelelezi ni sumu ya mapenzi... mimi kupendwa na yeye... ninyi mwakerwa na nini... yeye kanipenda nami namupendaaa... Naupenda sana wimbo huu Nguza hapa aliacha kazi akafanya kazi!
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Nimempa kile anapenda! Siri kubwa Kuna usemi wa msingi sana kuhusiana na ndoa hasa linapokuja suala la interests na hobbies kati ya mume na mke. Jambo la msingi kwa mke ni kukumbuka kwamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Too late to catch the bus" Afadhari hujachelewa basi la abiria!Mara nyingi hobbies husababisha wanandoa kuwa na mawasiliano mazuri, kuongea pamoja, kuwa na kicheko na kufanya vitu kwa pamoja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Una ripoti ya ukaguzi? Mchwa umefanya kazi yake! Mwenye nyumba alihitaji ripoti ya ukaguzi wa mara kwa mara! "Mpenzi …………,nionyeshe uso wako, na niisikie sauti yako, kwa maana sauti yako ni...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom