Wana jamvi mimi siyo mwandishi mzuri, wa Story ndefu ila nataka kushea kidogo changamoto/Tatizo nililo nalo na kunisaidia mawazo nini nifanye kwasababu hapa nilipo nimejawa na hasira lakini pia...
Habar zenu wana jf..
Kuna kitu kinantatiza kuna jamaa mmja, ambae ni rafiki yangu tu wa kawaida..sasa amekuwa na tabia ambazo sizipendi naona hata nivunje urafiki wetu..yy anafanya kaz bank ya...
Nilikutana na huyu binti kwa mara ya kwanza ndani ya basi moja maarufu lifanyalo safari zake kati ya Dar na Morogoro. Tulikaa nae siti zilizopakana, na sikuongea nae kwa takribani nusu saa nzima...
Hi wana jf community? Kuna wengi 2mekua 2kisema ooh mapenzi haya chagui, nani alieleta hili neno ameharibu wa2 kweli. Kwasababu halina ukweli wowote. Utamsikia m2 akisema"Mimi siwezi kua na...
Wapendwa natumai mlikuwa na weekend njema.
Naandika kwa niaba ya cousin yangu ambaye tumetokea kuwa ndugu pamoja na marafiki sana. Anahitaji ushauri. Swala hili limemtokea jana na hivi sasa...
Ladies , what attracts you the most on a man when it comes to physical and facial appearance?
. . . I. . .
Strong, broad shoulders and a mascular back (from neck, down to the waist)...
Mmoja amegraduate Udom mwaka huu,ananisisitiza sana nimuoe kwani tayari ameniona nafaa kua mumewe.
Wa pili anachukua diploma ya ualimu mwaka wa kwanza,huyu tayari amewajulisha wazazi wake kua...
jamani mimi nikuwa na girlfriend wangu mm naishi dar na yeye anaishi Arusha.Mimi nimemalza chuo UDOM mwaka huu na yeye yupo mwaka wa pili UDOM.Tumeanza mahusiano yetu na mwaka mmoja sasa...
Golden Mpoleeee anatisha wake kwa waume. kisa? anajiachia. Mwanamke anapofanya mambo wanaume wanafanya utaitwa wewe mwanaume. hivi kama mm mwanamke kama nimeweza y useme ni mwanaume wakati...
When you've just gone through a breakup, there's a period of adjustment... especially if you've spent great amounts of time with that departed partner. How many of you have experienced this...
Hivi karibuni nilikuwa maeneo ya mozambique, nimetembelea maeneoa kama Aldea,
Pemba, Nangadi n.k. Huku kuna wanawake wa aina mbili, Weusi(Wenzetu) na weupe
ambao ni Half Cast (Yaani wazuri hao, si...
Habari za weekend!
Nilikuwa namind business zangu, baada ya kupata upako kutoka church baada ya mahubiri ya padre mkongoman from Uvira. Nimekula ugali wangu kwa mchuzi na mtindi huku nikisurf chit...
Ni karibu wiki tatu zimebakia ifike ile tarehe ambayo watu huambiwa waoneshane upendo(hata kama mlikua mnavurugu inabidi muache siku hiyo)Najua siku hiyo watu hujiandaa kwa mambo mengi,ila jamani...
Kuna dada nimetokea kumpenda mpaka ikanilazimu nimwambie. Ajabu yeye akadai hana hisia juu yangu, anataka tuwe marafiki tu. Kwa miaka miwili sasa wimbo ni ule ule. Anafurahia sana kampani yangu...
Naomba kuwauliza wanaume, nimekuwa nikisikia mara nyingi, eti wanawake wajawazito ni watamu sana. Yaani wanakuwagaa watamu kwenye kuduuu. Kuna ukweli wowote katika hili? Naomba kujuzwa
Kuna jamaa angu leo kanistajabisha sana,Ana dada wa kazi nyumbani kwake sasa anasema huyo dada wa kazi baada ya kukaa nae kama mwaka 1 sasa amependeza sana yaani kutanuka kila idara ya mwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.