Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nimetunukiwa penzi, karibuni kwenye get together nitamtambulisha rasmi kipusa wangu kwa wapwa na mabinamu chini ya uangalizi wa Bwana Nguli na Bwana Fidel80.
Hongera kwa kutunukiwa penzi Sino!!!!!!!!..................Usinisahau kwenye pat yako
Msisahau kwenda kufundwa
Du hongera sana mkuu,naona unatekeleza ule ushauri wa wapwa kwamba kama unampenda na kumjali utamtambilisha kwa rafiki zako.Natamani ningekuwepo,nikajionea kwa masikio yangu mwenyewe.To be honest umetupa heshima kubwa sana,KWELI JF INAZIDI KUKUA.Oooh God sijakutwangia SENKS,ngoja nikaitwange.
eti eh? hao wapwa zako i hope hawatataka kupindua serikali... wengine siwaamini ahahhahahh
mkuu ni SIPO
SISI KWeTU SINO MAAANA YAKE LAAZIZI...UTAMKOSEA HAKI SIPO
HONGERA NDUGU YANGU TUGAIANE HATA KADI BASI MI NAOMBA NIWE MLINZI WA WAPWA ZAKO SIKU HIZI HIIZI IMANI ZA DINI ZIMEKUWA NYINGI SANA VIVYI HIVYI NA WAPWA ZETU INABIDI TUSIWAAMINI SANA
Bwaaaaaaaaaaahaaaaaaaaa.....
Hongera shem,
Raha ya kupenda ni kupendwa.Na kila mtu anahitaji hilo.Kila la heri.
Jamani nimetunukiwa penzi, karibuni kwenye get together nitamtambulisha rasmi kipusa wangu kwa wapwa na mabinamu chini ya uangalizi wa Bwana Nguli na Bwana Fidel80.
Tupeni basi minutes za kikao kilichopita.Hahaha! You Can Say That Again mchumba!
Tupeni basi minutes za kikao kilichopita.
Nguli usisahau habari katika picha.Nasikia ilikuwa kama Fiesta!
Hahaha! Unaenda off topic ujue? Subiri fidel atoke kuzimua atakuteremshia newz kamili. Sipo ameomba tuwe wasimamizi wa arusi yao, unaonaje hilo mchumba?
tupeni basi minutes za kikao kilichopita.
nguli usisahau habari katika picha.nasikia ilikuwa kama fiesta!