wakuu naombeni ushauri
nilikua na msichana wangu (naweza kumwita mchumba) tulifikia hatua ya kutambulishana kwa
wazazi na kupata baraka zote, tulipanga kuanza taratibu za kupeleka mahari na...
Mambo vipi wana JF? Binaadamu tuna kutana na mambo mengi sana hapa duniani, moja lililonipata mwenzenu hata kuomba ushauri wenu ni hili. Sija wahi kujihusisha na mapenzi tangu nimezaliwa hadi leo...
Kuna taarifa amenipa rafiki yangu mmoja aliyekuwa safarini lindi kwa mwezi na nusu zimenitatiza mno, nikalazimika kuziandika hapa. Jamaa huyu aliendea Lindi ktk wilaya ya lindi vijijini kikazi...
Ndugu zangu wana MMU mie ni mgeni kidogo hapa dar natafuta kanisa la kiroho la kwenda kuabudu, kutokana na tuhuma zinazoendelea ambazo sio nzuri kiukweli kuhusu haya makanisa nimekuwa nikijiuliza...
Ikitokea bahati mbaya sisi tukamaliza wakati ninyi bado mnahitaji,mnalalamika sana na kuleta dharau.Inapotokea upande wa pili wa sarafu,mwanamke kashafika kileleni halafu wewe bado unahitaji ni...
No research no right to tell...
Kwa wale waliofika Congo na wadadisi wa mambo watakubaliana na mimi kuwa wanawake wanaotunza itikadi na mila za ki Congo, huwa wakioga hawaoshi baiolojia zao ili...
Aina tatu za wanawake ambazo manamume hukolea nazo
Mimi sio mtaalamu kwa sana ila leo nitawaletea nini ninakijua nanyi mupate kuchangia
Mwanamke mcheshi
Mwanamke ambaye hupenda...
Hebu soma hii barua iliyoandikwa kwa wino wa machozi kutoka kwa mmoja wa akina mama.
Barua yenyewe hii hapa aliyoiandika Mama mmoja kwa wino wa machozi yake. Barua ameituma "Mama Makluumah" kwa...
natafuta mchumba/msichana mwenye sifa hizi:
mweupe au maji ya kunde.
mwembamba.
elimu ya kidato cha sita au chuo.
dini yoyote.
kabila yoyote.
ajue kiswahili.
umri ni: 24-30.
asiwe na...
Jamani natafuta chama au kikundi cha kusaidiana kwenye matatizo au furaha, nasikia kuna vikundi vya aina hii vingine viko kimakabila vingine sio lazima, kwa wote wanaojua naombeni mnijuze pamoja...
Hivi inapotokea mmetofautiana na mkeo na mkarushiana maneno ya hapa na pale ambayo yanapelekea mkeo kuanza kulia,wanaume deep inside your heart huwa mnajisikiaje? Assuming kwamba sio tabia yake...
Habari za mihangaiko wajameni, bila shaka ni nzuri.
hivi jamani mi naomba kuuliza (hii ni kwa baadhi ya wanawake ) utakuta mwanamke kaolewa,ana familia yake tena anaheshimika kwenye jamii...
Hivi mtu anafanya sex kwa sababu anapenda, au ni mgonjwa tu yakurukia opposite sex.
Nilikuwa najiuliza kama inewezekana tuna fooling ourselves kama sex ni mapenzi....Mana akipita demu ana healthy...
Nisingependa nianzie mbali sana bali nieleze tu kwa ufupi na kwa ufasaha.
Nimekuwa na binti mmoja miaka minne niliyempenda sana na hata sasa nampenda sana naamini hata nikimtaja kwa jina sio...
Wajemeni narudi tena jamvini...........watakaonuna au kufurahi kwa raha zao! Nimerudi toka mjini nimekutana na jambo la kusikitisha. Ile natia timu tu huku dodoma-eneo la chang'ombe, nimekuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.