Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA