Jifunze kusubiri kabla ya ndoa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA
 
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA

Ok.
 
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA

Vp kuhusu wewe, hukuwahi kula tunda hadi ulipooa?
Be blessed!!
 
haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake

b blessed 333333333333
 
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA

kaka swala la dhambi ama sio dhambi ni swala la imani,kama we unaamaini kuwa kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi ni haki yako na unafanya vizuri,lakini niache na mie nisieamini kama unavyoamini wewe nifanye vile ninavyoamini,kwangu mie sio dhambi.na kwa sabau kila mmoja atabeba dhambi zake basi wewe fanya unavyoamini na beba dhambi zako nami niatafanya nnavyoamini ntabeba dhambi zangu.hakuna swala la yeyote kuniruhusu au kutokuniruhusu mie kufanya au kutofanya kitendo cha ndoa.you are right when you say kuwa nna utashi wangu,na kwa sababu hiyo basi mtu anaamua vile kadri ya utashi wake.ishi kulingana na imani yako kaka na usiwahukumu wale wasioishi kutokana na imani yako......
 
Enzi za mwalimu ilikuwa unaanza uchumba halafu ndoa na baada ya ndoa ni honeymoon,siku hizi mambo ya dot com unaanza honeymoon,inakuja uchumba na mwisho ndoa.Sababu hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia hivyo lazima watest TBS yake kabla ya kuingia kwenye ndoa kwani ndoa haina expire date wala reversible process.
 
haya Pdidy tutawafundisha watoto na wanaotuzunguka wajifunze kusema no before marriage
 
Yawezekana na wewe upo kwenye hiyo list...wapo watu wengi sana
ambao wanaanza mapenzi kabla ya ndoa..na hii imekuwa system ya kila sehemu....hii tukubali tukatae hii ni dhambi..haurusiwi kuchukua mapungufu ya mwenzio kama alifanya kabla ya ndoa basi na wewe unaamua kuanza kufanya kama yeye...kila moja atabeba dhambi zake...kwa nini ukubali uzinzi wakati umepewa ufahamu wa kukubali mema na mabaya....so far kama unaweza ukona mchumba wako jitahidi uvumilie mpaka muoane hakuna mapenzi mazuri kama mkiwa ndani ya ndoa...pamoja na kwamba ndoa imefanywa kama biashara.....,bado tunawajibika sisi wakubwa walio bado wajitambue kwamba hawaruhusiwi kuanza mapenzi ya ndoa...mwenye maskio na asikie mwenye macho na aone....
MPENDE MKEO MTARAJIWA;USIFANYE KABLA YA NDOA

Ni kweli kabisa.Tueleze na hasara za kutosubiri.
 
kwa dunia ya sasa mhhh, mnkisubiri mcjejutia maamuzi baadae....

Kuna jamaa alikuwa anamsubili mchumba kamsomesha Chuo huyo mchumba akapata kazi ya maana sasa huyu binti amemtosa kwa jamaa mpaka navyo ongea hivi jamaa tumempeleka kwa wanasaikolojia kapoteza kabisa network jamaa alianza kumlea binti toka akiwa Form 5 mpaka hivi ame graduate na kupata kazi ya maana sasa binti ameona jamaa hafai kuna kijamaa kichovu kichovu ndo kinamchukua huyo mchumba wa jamaa etu.
 
Kuna jamaa alikuwa anamsubili mchumba kamsomesha Chuo huyo mchumba akapata kazi ya maana sasa huyu binti amemtosa kwa jamaa mpaka navyo ongea hivi jamaa tumempeleka kwa wanasaikolojia kapoteza kabisa network jamaa alianza kumlea binti toka akiwa Form 5 mpaka hivi ame graduate na kupata kazi ya maana sasa binti ameona jamaa hafai kuna kijamaa kichovu kichovu ndo kinamchukua huyo mchumba wa jamaa etu.

hahahaha mpe pole sana
 
Kuna jamaa alikuwa anamsubili mchumba kamsomesha Chuo huyo mchumba akapata kazi ya maana sasa huyu binti amemtosa kwa jamaa mpaka navyo ongea hivi jamaa tumempeleka kwa wanasaikolojia kapoteza kabisa network jamaa alianza kumlea binti toka akiwa Form 5 mpaka hivi ame graduate na kupata kazi ya maana sasa binti ameona jamaa hafai kuna kijamaa kichovu kichovu ndo kinamchukua huyo mchumba wa jamaa etu.

Hiyo hulka Fidel,mtu kama anayo anayo tu umsubiri usimsubiri... wapo ambao walowakimbia waliowasomesha hata baada ya kuwekwa kimada kabisa tena kwa miaka kadhaa na afadhali hao waliokimbia kabla ya ndoa, wengine wameolewa na walowasomesha au wamesomeshwa na waume zao kabisa na wana cheat
 
Hizi ndo gharama za kusubili mm naona wanawake wa Kiafrika ni wepesi sana kubadili misimamo yao

Siyo wanawake wa kiafrika. Wanawake wote. Hata wanyama wa kike lao moja. Ukisubiri wenzio wanakumegea kilainiiiiii! Hahaha!
 
[QUOTE=FirstLady1;679034]haya Pdidy tutawafundisha watoto na wanaotuzunguka wajifunze kusema no before marriage[/QUOTE]


Na wewe FL ulisema no? au ndo ya kuona kibanzi kwa wenzio wakati wewe una boriti?....lol.
 
Maisha yameshabadilika, zamani watu walikuwa wanatenda tendo tu kabla ya kuoana, lakini sasa imeshakuwa too much, mpk watiane mimba kabisa ndio wanafunga pingu za maisha.
 
Back
Top Bottom