Stika za fire extinguisher

Dear

Member
Nov 18, 2009
46
3
Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa tu,na nafikiri ndio imeanza sasa hivi,
Naomba mnisaidie kunifahamisha kama hizi stika ni lazima na zinasaidia nini,maana kama mimi Fire extinguisher ninayo na bado haijaexpire na kisa cha mimi kwenda kuilipia polisi ni nini?,au nayo FE iwe inalipiwa kodi kuwa nayo,
Je mwaka unaokuja kama nalipia tena na bado haijatumika au kuisha muda wake niitupe? maana ni nilazima niilipie kila mwaka kwa madai yao.
Vile vile naomba nieleweshwe kama huu mradi ni kwa ajili ya kuongezea mapato jeshi letu au ni biashara ya mkubwa Fulani,
 
UFISADI MTUPU! kwanini stika na siyo Cylinder ya fire extinguisher. Mlio wa fedha au fedha unataka?
 
Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa tu,na nafikiri ndio imeanza sasa hivi,
Naomba mnisaidie kunifahamisha kama hizi stika ni lazima na zinasaidia nini,maana kama mimi Fire extinguisher ninayo na bado haijaexpire na kisa cha mimi kwenda kuilipia polisi ni nini?,au nayo FE iwe inalipiwa kodi kuwa nayo,
Je mwaka unaokuja kama nalipia tena na bado haijatumika au kuisha muda wake niitupe? maana ni nilazima niilipie kila mwaka kwa madai yao.
Vile vile naomba nieleweshwe kama huu mradi ni kwa ajili ya kuongezea mapato jeshi letu au ni biashara ya mkubwa Fulani,

Makubwa madogo yana nafuu eti mtu anauliza nyumba ndogo zirasimishwe au la... wewe nunua hiyo stika 5,000 tu badika uone kama mtungi unahitajika otherwise utembee na hela ya hongo

Juzi nilikuwa kwenye basi kuelekea dom tukapita pandambili pale lilipoungua lile basi la Taqwa likielekea Kigali na Chacha wangwe alipomaliziwa mbele tukakuta trafik akamuuliza dereva amuonyeshe stika ya fire badala ya kumuuliza wapi mtungi wote tukashangaa
Kweli hapa bongo ...utabaki kushangaa

Mod ipeleke hii kunakohusika
 
Juzi nilivimbishiana kifua na trafiki mmoja pale morocco baada ya kusimamisha gari yangu cha ajabu ananiuliza stikaya zima na kiukweli sikuwa nayo lakini fire extinguisher ilikuwepo kwa kweli ilikuwa mtifuano mzito mpaka kuja kulimaliza hilo suala. Askari anataka kunilipisha faini kwa kutokuwa na stika ya zima moto mpaka alipokujaaskari mwenzake mwenye akili timamu alimshauri aniachie lakini nikanunue stika!!! Watu wetu wanakuwa kama kasuku kila wanachoamrishwa kufanya wanafanya tu bila hata ya ku-reason out!!!
 
jamani hiii mada imekosea njia ama mletaji kaona hapa ndo kuna watu wengi atapata msaada???
du sijui nicheke ?
 
Wadau ,
Mimi bado nina kamba hapa JF.na sijui kama hili limeshapewa ufafanuzi hapa jamvini,
Mimi bado sijaelewa hizi stika za zimamoto za kuwekwa kila mwaka kwenye gari na kulipiwa gharama kubwa tu,na nafikiri ndio imeanza sasa hivi,
Naomba mnisaidie kunifahamisha kama hizi stika ni lazima na zinasaidia nini,maana kama mimi Fire extinguisher ninayo na bado haijaexpire na kisa cha mimi kwenda kuilipia polisi ni nini?,au nayo FE iwe inalipiwa kodi kuwa nayo,
Je mwaka unaokuja kama nalipia tena na bado haijatumika au kuisha muda wake niitupe? maana ni nilazima niilipie kila mwaka kwa madai yao.
Vile vile naomba nieleweshwe kama huu mradi ni kwa ajili ya kuongezea mapato jeshi letu au ni biashara ya mkubwa Fulani,

Mimi nafikiri huu ni mpango wa serikali (chama kilichopo madarakani) kujipatia fedha kwa ajili ya kupigia kampeni za uchaguzi mwakani hasa katika kuwahonga wana nchi! Hamna la maana hapo ! Kwani gari ikiungua si yangu au serikali ilinisaidia kununua ? Wasitufanye wajinga sisi! Tunawaelewa sana na hawawezi kutupumbaza kamwe
 
Hivi nisipolipia hio stika ya fire nitashatakiwa kwa sheria ipi? Na hio ilipitishwa lini na wabunge.
Mafisadi wanataka kutumaliza mpaka tone la mwisho
 
First Lady,
kama unavyoona mimi ni mgeni so siyajui maeneo ya humu,sasa nitoe kamba mguuni na kunielekeza lakini usinicheke mtoto wa mwanamke mwenzangu
 
First Lady,
kama unavyoona mimi ni mgeni so siyajui maeneo ya humu,sasa nitoe kamba mguuni na kunielekeza lakini usinicheke mtoto wa mwanamke mwenzangu

haya dear endelea tu si muda utakuwa mwenyeji hasa na utafahamu maeneo yote hata mtoto huwa anaanza kukaa ,kutambaa ,kusimama ,hata kutembea mwenyewe
Karibu sana
 
UFISADI MTUPU! kwanini stika na siyo Cylinder ya fire extinguisher. Mlio wa fedha au fedha unataka?

Polisi amwagiwa kinyesi na kibaka

Askari kanzi ambaye alipakazwa kinyesi na mtuhumiwa wakati akimkamata katikati ya jiji la Dar es Salaam mchana wa leo.
Kibaka aliyempaka kinyesi askari akiwa chini ya ulinzi wa Askari kanzu.
 
Back
Top Bottom