Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi natarajia kumwoa mwakani. Sasa Iko hivi huwa nikikutana na huyu mpenzi wangu huwa nakosa cha kuzungumza nae tunaweza tukae hata dk 5...
Habari zenu wanajamii forum wenzangu.
Natumaini amjambo na hizi siku kuu zinawaendea vyema. Kwa upande wangu siku kuu zimekaa vibaya mno.
Nilileta mada ya kuachwa na mpenzi ambaye bado...
Kuna wakina dada ambao wamekidhiri kwa kupiga vibomu (mizinga) yaani ukiona simu yake imeingia ni lazima kabla ya kupikea uangalie kwanza waleti ina wekundu wangapi, maana ni lazima ataomba pesa...
Hi guys...Haki ya Mungu Asanteni Sana Kwa Kuwa Party Of Me Kwa Mwaka 2015,I swear you guys are the BEST..Mmekuwa sababu mojawapo ya TABASAMU Usoni Kwangu....
Anyways Naanza kama...
Kuna msemo unasema neema zikianza kuja huwa zinaongozana, sasa naanza kuuamini....
Hapa kuna wadada kama wanne wote wapo kwenye mstari...kuna mmoja nilishow interest kwake, ni mwaka sasa akawa...
Kumekuwepo na hisia za wanaume baadhi kuwa si kila mwanamke mwanaume anaweza kumpata Mimi nakuambia hakuna mwanamke dunian hata kama ni mke wa Obama asiyekuwa na udhaifu mbele ya mwanaume nitataja...
Mi huwa nashangaa sana yaani pale linapotokea fumanizi labda umekutwa na mke wa mtu gesti, watu wamezoea kumtoza faini mwanaume aliyekamatwa..... Lakini pale mwanamke anapogumaniwa na mume wa mtu...
Nilimuona kwa mara ya kwanza mwaka Jana maktaba ya chuo nikapendezwa nae ,niliona Kama anafaa kuwa mke wangu baadae,Nilifanya kila juhudi kuongea nae ,hatimae nikakutanishwa nae na dada mmoja...
habarini za saizi wapendwa jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku do ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu mana naona ni mapema sana wenzangu mnao elewa...
Habari wana JF, natumaini mko poa!
Kuna jambo ambalo nimejifunza katika mahusiano ya kimapenzi, nimeona ni vyema tukajadili wote kwa pamoja,mmi binafsi napenda sana mapenzi ya dhati na ya...
Yan Mungu ntamganda mpaka kieleweke 2016 unitunuku na mume kabisaaa sio boyfriend....sijawah apa au kusema mwaka flan nipate mwenza ila huu mwaka 2016 yan nautolea macho in Jesus name na ntakuja...
NDOA INAHITAJI UWEPO WA MIKONO YA MUNGU NA SI VINGINEVYO
Wakubwa Hii inawahusu Sana
Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE
Ukisoma kwa Undani Utanielewa tu
Ulimwengu huu tunaoishi muogope...
Habarini wa ndugu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu hasahasa kwenye mvuto wa mtu na mtu kwenye swala la mapenzi.
Nitazungumzia upande wa mwanaume kuvutiwa na mwanamke kwamba ni...
kama wewe ni msichana wa umri kati ya miaka 18 up to 20,na unahitaji boyfriend reply sled hii kisha tutawasiliana zaidi.Naomba wale wanaohitaji tu ndo wareply sled hii please.
Binti MHITIMU Kabisa Wa University Mwenye Miaka 25 Na Kijana NJEMBA Lakini Bosi Ktk Taasisi Fulani Mwenye UMRI Wa Miaka 31 Lakini Ambao Wote Bado Wanaishi NYUMBANI Kwao KUFULIWA CHUPI ZAO ( Nguo...
Habari Wakuu
Ni katika Kuzidi tu kushirikishana katika Yale yanojiri Maishani.
Ni Kipindi ambacho Nilikuwa nikihitaji Pesa kuliko Chochote.Kwani Niliamua kurudi Darasani kujiendeleza...
Habarini za kazi wanajamii wenzangu. Kuna jambo limenigusa sana kiasi kwamba nikaona nililete humu. Napenda sana kusikiliza kipindi cha kashikashi za mtaa kupitia radio capital. Kuna mdada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.