Sielewi kwanini kila binti mtaani ananiamkia shikamoo

baptiste

Member
Aug 17, 2015
92
157
Waheshimiwa nashindwa kuelewa wasichana wengi hapa mtaani kwetu kupenda kuniamkia kitendo ambacho kinafanya nishindwe kuendelea na zoezi la kumtongoza binti husika

Sasa sijaelewa huenda wanadhan mm ni mtu mzima maana nina ka kitambi kwa mbaali, na pia napenda kuvaa mkanda nje, mayenu

Yaani hata wale wa rika moja na mm wananiamkia sasa hii tabia ya kuamkia hovyo hovyo imetoka wapi siku hizi? Mnatafuta nn haswaa, tunaanza kuzeeshana bila sababu ya msingi, mwamkie mzazi wako nyumbani bana
 
Ukiona demu anakuamkia, ujue kajenga ukuta wewe usiuvuke, hataki umtongoze! Mbona kuna vibinti siku hizi vinawasalim mijibaba kwa kusema MAMBO?
 
Teh Teh mbona ndio vyema! Wewe ni mtu mzima una stahili!
 
Ukiona demu anakuamkia, ujue kajenga ukuta wewe usiuvuke, hataki umtongoze! Mbona kuna vibinti siku hizi vinawasalim mijibaba kwa kusema MAMBO?
sio kweli bhana demu anaweza akakuamkia na huku anakupenda mkuu inatakiwa ujue hawa wenzentu ni actress wazuri saana
 
sio kweli bhana demu anaweza akakuamkia na huku anakupenda mkuu inatakiwa ujue hawa wenzentu ni actress wazuri saana
Nafahamu hilo, inaweza ikawa changa la macho kwa wanaoona, anaamkia kumbe 'gizani' anasogeza mzigo!
 
Nyoa ndevu
Nyoa ndevu
Waheshimiwa nashindwa kuelewa wasichana wengi hapa mtaani kwetu kupenda kuniamkia kitendo ambacho kinafanya nishindwe kuendelea na zoezi la kumtongoza binti husika

Sasa sijaelewa huenda wanadhan mm ni mtu mzima maana nina ka kitambi kwa mbaali, na pia napenda kuvaa mkanda nje, mayenu

Yaani hata wale wa rika moja na mm wananiamkia sasa hii tabia ya kuamkia hovyo hovyo imetoka wapi siku hizi? Mnatafuta nn haswaa, tunaanza kuzeeshana bila sababu ya msingi, mwamkie mzazi wako nyumbani bana
Nyoa ndevu
Hahaaaaa sasa hivi tutaanza kumwamkia kwa kupiga goti kabisa
 
Me sidhani kupewa shkamoo ndo kikwazo cha wewe kushindwa kusema ya moyoni, tena hiyo inaweza ikawa advantage kwako
 
sasa rafiki unataka aamkiwe nani kama sio wewe mkubwa hapo mtaani....? mbona wengine tunakubali
 
shikamoo ni salam tu! mbona kuna baadhi ya wanandoa wanasalimiana shikamoo, hofu yako tu
shikamoo haikuzuii kusema ya moyoni.
 
hakuna shida unagoongea tu..kuna jimama moja lilikuwa linaniamkia eti kumbe ndo gia yake ..mbona lilitumika fasta....ila nimebaki na mashaka moyoni mana hayo matako du sikukumbuka kondomo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom