Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Napata shida kidogo nina mpenzi wangu tulitokea kupendana sana lengo hasa ilikuwa ni kuoana tuliishi kwa furaha sana tunachat na tulikuwa tunapigiana simu sana tulidumu kwa karibu mwaka 1 ivi...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Jinsi gani mtu unayempenda sana anaweza kuwa malaika au shetani, mzuri sana au mbaya sana kwako! mtu ambaye anaweza kukupa kiwango cha furaha ambacho haujawahi kukihisi ndiye mwenye uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mmenichosha na Huu ujinga wenu wa kutoithamini miili yenu... Mwanamke lazima ujithamini na Kujiheshimu. Hivi huwa mnajisikiaje kugawa papuchi bila mpangilio
0 Reactions
4 Replies
806 Views
TEN WORDS OF WISDOM __________________________________ 1. ON EARNING: Never depend on single income. Make investment to create a second chance. __________________________________ 2. ON SPENDING...
3 Reactions
2 Replies
900 Views
.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
inawezekana msichana akawa na watoto wawili na kawanyonyesha lkn chuchu zake kwa mbele c nyeusi, sijuh nimeeleweka hapo yaan kwa maelezo yake ana watoto wawili, lkn nimeshangaa kuona chuchu zake...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
I am submissive goodlooking guy looking for a openminded women or a group and who love to control me like her personal slave boy. You can slap me, spank me, make me kneel down and lick your high...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Ndugu zangu leo sio siku ya kunyimana ingawa wataalamu wanasema kunyimana sio dalili za kuchukiana. ****** soma hapa kujua zaidi Happy Couples Love: Does Happy Couples Loves Sex and Do it...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Jf. SALAMU ZENU WADADA NA WAKAKA WENYE TABIA HII. ~Yaanike matiti yako kwenye mitandao wee, yabane vizuri na vaa vinguo vya ajabu ili yaonekane... ~Jaa kiburi wanavyokusifia wanaume wazinzi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
"Nilipoingia katika mahusiano naye nilimuamini, nikampa kila kitu nilichoweza. Nakumbuka enzi zile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea kwao. Akanenepa!! Penzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasalam, Labda nielezee kwa kutumia mifano hai miwili. Kuna huyu jamaa ni mtu mzima tu katika kupiga stori na wenzake namskia akisema kuwa hampedi diamond huyuhuyu msanii. Mimi nikamuuliza...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Ni kweli kabisa kwamba malezi ya mzazi mmoja wakati wote ni yenye changamoto sana kwa mzazi mwenyewe na hata kwa watoto wanaolelewa na mzazi huyo, hapa namaanisha malezi ya baba peke yake au...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hey guys? Wale wenzangu na mimi na mwenye mtazamo kama wangu nadhani mtakuwa na imani na matumaini kwamba, asilimia kubwa ya wanaume kwa wanawake ambao waliwekeza mioyo yao kwa wapenzi wao pamoja...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Hi to everyone. Nina tatizo, nikipanda mabasi hasa ya masafa marefu Jogoo anapanda mtungi isivo kawaida. Natunisha mpaka maumivu. Hivi hii ni hali ya kawaida? Yaani naumia. The way forward...
0 Reactions
79 Replies
9K Views
HEAR WHAT OPRAH WINFREY HAD TO SAY ABOUT MEN :If a man wants you, nothing can keep him away.If he doesn't want you, nothing can make him stay. Stop making excuses for a man and his behavior. Allow...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarin wana MMU,natumai mnaendelea vyema na shamrashamra za kuukaribisha mwaka mpya 2016.. Wadau,binafsi namshukuru mwenyez Mungu kwa mema mengi,alonijalia kwa mwaka huu unaoisha leo usiku sa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapendwa, Tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE. Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya.
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari zenu wana Jamvi, Ni miezi mitatu (03) tangu nifunge pingu za maisha (ndoa) takatifu nashukuru MUNGU nafurahia kuwa mume, na bado sijaanza kuonja chungu ya ndoa kama baadhi ya wanandoa...
2 Reactions
83 Replies
9K Views
Wandugu nawasalimu, Huyu fiancee wangu ambae ninaishi nae ni mjamzito, ana mimba ya miezi sita kuelekea saba, hataki kupika chakula anasema hajisikii vizuri hivyo hawezi kupika, house alimfukuza...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Katika vitabu vitakatifu tunaambiwa Wanawake waheshimuni waume zenu... na Wanaume wapende wake zenu. Pia tunaambiwa Wanaume watakula kwa jasho... Wakati tukimaliza mwaka huu ambao ulikuwa na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom