Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wana MMU, Mimi ni kijana wa kiume na kuna binti fulani hapa mtaani kwetu nilitokea kumpenda, hyo binti ni mfanyakazi wa kwenye duka moja hapa kitaa sasa mwanaume nkajipa ujasiri wa kuwa...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
UWE MUAMUZI WA MWISHO WA MAMBO YANAYOKUHUSU WEWE MOJA KWA MOJA Kuna mambo mengi yanayofanyika hapa duniani, sio kwa faida yako, hasa ya muda mrefu. Fikiri kila unapopita kuna biashara nyingi sana...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Moja kati ya vitu vinavyowakumba vijana wengi wa kileo, ni kutokuwa na mahusiano endelevu/yanayodumu kwa muda mrefu. Tatizo hili limefanya watu wasifurahie mahusiano yao, au mara nyingine...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mdada kama unaweza kujitolea kushare namimi habari za mapenzi na kunipa ninachokitaka itakuwa poa sana, hapa Dar es salaam
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Mimi ni mkaka elimu dasa LA 7, mrefu futi 8 mweusi ti, fundi ujenzi nahtaj mchumba awe meupe sio sana au maji ya kunde, awe mrembo, elimu kuanzia fomu foo, awe na kazi rasimi, awe mpare...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari Jf Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE: Utanielewa tu. Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wadau, Mimi ni kijana nimempata mdada mmoja nikampenda sana sana ila tatizo ananiambia anamchumba anasoma chuo. Mimi nafanya kazi nimemshauri amwache nimuoe amegoma kabisa. Nifanyeje...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za wakati wana MMU. Nimeamua niweke thread hii ili wote tupate kujua kinachoendelea katika mila na desturi yetu Waafrika. Ni hivi; Ndugu zetu Wakurya wana utamaduni ambao upo kwenye...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Yaani its a long story ila naitaji msaada mkubwa i know its hard to trust a total stranger someone you completely dont know ila mtu atakayeguswa anipe a chance tashukuru a matter of life and death...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Mara nyingi napokua nacheza mziki hasa na dem wakati anapokata mauno mbele yangu(grinding) huwa nasimamisha wazungu wanaita getting a boner. Je ni vibaya or ni udhaifu? je wadada mnachukuliaje...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi n jinsia ya ke nna umri wa miaka 25 nnahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo,hasa ya kimaendeleo,get me through 0755855228karbu :D
0 Reactions
32 Replies
3K Views
This is GOOD. I expect it back too! A simple friend, when visiting, acts like a guest. A real friend opens your refrigerator and helps hi ms elf (and doesn't feel even the least bit weird...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye mzuka wa kuchat na hana wa kuchat naye nyt hii aje PM tuendeleze . Asanteni
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Watu wengi Walio jaa uzandiki wamekuwa wakijitokea na kubeza kuwa kujichua kuna madhara,hii si kweli bali ni milengo ya kihafidhina ambayo inataka kuendekeza ukaha na umalaya kwa vijana...
5 Reactions
144 Replies
33K Views
Nipo Dar mimi ni mwanaume 1.Mnene wastani,mrefu wastani 2.Umri wangu 30yrs 3.Mkristo 4.Rangi ni maji ya kunde 5.Sina familia,naishi peke yangu Sifa za mpenzi/mwanamke 1.Umri kuanzia miaka 15 hadi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hongereni wapendwa kwa pilika pilika za maandalizi ya mwaka mpya. Kuna rafiki mmoja hivi (Jina kapun) alikuwa anatembea na mke wa mtu kwa muda mrefu tu, Ila mke ni mkubwa sana kwa mshikaji, mke...
1 Reactions
75 Replies
13K Views
Habr zenu wanaJF, Nimejarbu kuutafuta ukweli wa mmbo haya bila mafanikio 1:kwann wanawake hawana misimamo mara nyingi,yaani anakataa na kutusi then anakubr !!?? 2:Mwanamke kukubar sifa hata kma...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Ikiwa ww ni mwanume na ungependa kujiepusha na kulea 49% ya watoto wasio wako, yaani wamezaliwa na baba mwingine wakati wewe upo basi tembelea Utajua dalili 10 za mwanamke asiyetoshelezwa na kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WANAWAKE MSILALAMIKE SANA Wanawake wengi hulalamika kuwa wanaume ni watata kwenye mapenzi. La hasha wanaume wengi tunapenda mambo yafuatayo 1. Siku zote wanaume huangalia mapenzi kwa wenzi...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Leo kutakua na kikao na sherehe ukweni, mimi ni mnyamwezi wife ni mnyamwezi. Tatizo lipo kwangu lugha haipandi na kama unanyojua wanyamwezi wakikutana wanavyopenda kuongea lugha sijui nitakua...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom