Natafuta girlfriend kutoka Rwanda na Burundi

Natafuta girlfriend kutoka Rwanda na Burundi

Milale

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
494
Reaction score
189
Habari wanaJF,

Natafuta msichana kutoka sehemu nilizozitaja hapo kama upo tayari nicheki kwa mawasiliano zaidi niko Dar.
 
Last edited by a moderator:
Aisee!! hujapata tu? hapa wapo wazaramo na wadigo wengi labda edit your preference waweza pata ha ha ha ha jokes
 
Haaa haaaa kwanini isiwe Comoro au Sudan ?.
 
Aise wa hata mm nilikuwa nawataka na ninaongezea na Uganda, kwa maana swaga za mabinti wa kibongo zinatia umaskin na mapenzi ya bongo muv.
 
Habar wanajf natafuta msichana kutoka sehemu nilizozitaja hapo kama upo tyr nicheki kwa mawasiliano zaidi niko dar 0714702720

Kigoma, kuna kambi pale mjini, nenda kaisaidie serikali kumtunza mmoja au hata wawili, wapo wengi sana. Unategea meli inapoingia pale Bandarini, kwa jinsi risasi zinavyolindima kule Buja na Lumonge, utawakimbia wewe.
 
Habar wanajf natafuta msichana kutoka sehemu nilizozitaja hapo kama upo tyr nicheki kwa mawasiliano zaidi niko dar 0714702720
Hivi hii style ya utafutaji marafiki bado inasaidia?
 
kama kawaida yenu wakimbizi wa Burundi na Rwanda .mnatuletea ukabila wenu Tz .Nendeni kwenu kula Burundi na Rwanda .wapo kule wengi sawa ??
 
Aise wa hata mm nilikuwa nawataka na ninaongezea na Uganda, kwa maana swaga za mabinti wa kibongo zinatia umaskin na mapenzi ya bongo muv.
Ungejua tabia za madem wa kiganda usingewataja. Wez sana nimenusika na best zangu wameibiwa sana kwa ile tabia yao ya kupaka cocaine kwenye nyonyo.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ungejua tabia za madem wa kiganda usingewataja. Wez sana nimenusika na best zangu wameibiwa sana kwa ile tabia yao ya kupaka cocaine kwenye nyonyo.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

wee pambaf kwel tofautisha mwanamke na mwanamke changudoa,
 
ImageUploadedByJamiiForums1451419961.643714.jpg
 
Back
Top Bottom