naitwa charles.natafuta rafk wa kike ambae baadae tutaweza jenga mahusiano baada ya kujuana zaidi umri 18-24 awe mcha mungu..mengine yatafuata baada ya kujuana zaidi.aliye tayari ani pm
naitwa charles.natafuta rafk wa kike ambae baadae tutaweza jenga mahusiano baada ya kujuana zaidi umri 18-24 awe mcha mungu..mengine yatafuata baada ya kujuana zaidi.aliye tayari ani pm
DUNIA IMEKWISHA
Kuna Msichana huwa ananikera sana
Kila siku yeye kumpondea na kumtukana Paroko wetu nikijaribu kumwambia aache ni dhambi kuwasonta vidole watumishi wa Mungu ananijibu kwa dharau...
Jamani mimi kuna kitu sikielewi, wataalam wa mambo ma mahusiano na psychology mnisaidie.
Mimi niko mikoani, ila nimekaa Dar kwa muda takriban miaka 9. Miaka miwili iliyopita nilifahamiana na dada...
Ni wasiwasi na hofu imejaa katika jamii. Wapo ambao hawaamini lakini wapo wenye kuamini pia. Taarifa hizi zimeifanya taasisi inayoitwa ndoa kuyumba. Mkemia mkuu katupa jiwe GIZANI. Taarifa...
Ndg zangu tenda wema uende zako,wahenga wamenena,jamani tamu ya penzi kupenda upendwapo,huko U.K kulikua na dada 1 aliku anafanya kazi maigration huyo dada ana asili ya kijamaika katika pita pita...
TEXT ZA MWISHO WA MWAKA KWETU SISI
'Dear, kodi ya pango inaisha January 2016 na mwenye nyumba ameongeza kodi. I love you much!'
'Baby, mwakani ofisini nataka niwaonyeshee unavyojua kunitunza...
Habari zenu
Ni kipindi cha siku chache kimepita toka nilipo uliza humu ndani kuwa kuna uwezekano wala kuoa dada na mdogo wake anayemfuata....
Aiseee yaliyonitokea nikuwa baada ya mzazi...
Wadau nawasalim,
Wadau,
Mimi na mke wangu tumekua na mgogoro wa muda mrefu kuhusu nani amfuate mwenzake, maana tunafanya kazi mikoa tofauti, yeye Dar mimi Bukoba, suala la uhamisho...
Hawa ni wake bora ktk maisha.Kama una mdogo,ndugu au wewe mwenyewe njo niende kwenu.Uwe wa mkoa wowote ila upatikane Arusha,Manyara,Kilimanjaro,Singida umri 21-25.PM zaidi
Am in love with these madam.
Salam kwa wote
Ni siku chache zimepita toka niliweka mada nikiwa nataka kujuwa kuwa uwezekano upo au haupo,,,,,pia nashukuru kwa watu walioniita kichaa na kunitukana na walionipa ushauri pia...
Habarini wakuu , mtaa ninaoishi kuna jamaa ana mpenzi wake ambaye alia za nae mahusiano akiwa na elimu ya standard seven na yeye ni mtumishi elimu take PhD , amemsomesha mpaka level ya degree Leo...
Kwanini wanamme wa Tanzania wanawaona wivu wanawake? Wakiona mwanamke mzuri na anampendamwanamke but anajua awezi kumpata anaishia kumchukia bila sababu na kumzulia maneno ya uongo anatangaza kwa...
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua atakutesa sana.
Naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nilikua naye...
Jana nilikuwa Dodoma ilipofika majira ya saa 4 usiku mimi na rafiki yangu tuliamua kupita mitaa ya uhindini , kwa wasioijua Dodoma mitaa hiyo ni maarufu kwa wadada kujiuza hasa wanafunzi wa vyuo...
unalikuta lidada ni kula kulala nyumbani au kamaliza chuo hana kitu, anaanza mm wa kunioa awe na kazi, gari, nyumba, jiulize ww unavyo hvyo?
Ndio mana ma brazamen yanaazima magari yanawatanua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.