Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

naitwa charles.natafuta rafk wa kike ambae baadae tutaweza jenga mahusiano baada ya kujuana zaidi umri 18-24 awe mcha mungu..mengine yatafuata baada ya kujuana zaidi.aliye tayari ani pm
0 Reactions
1 Replies
972 Views
naitwa charles.natafuta rafk wa kike ambae baadae tutaweza jenga mahusiano baada ya kujuana zaidi umri 18-24 awe mcha mungu..mengine yatafuata baada ya kujuana zaidi.aliye tayari ani pm
0 Reactions
0 Replies
819 Views
DUNIA IMEKWISHA Kuna Msichana huwa ananikera sana Kila siku yeye kumpondea na kumtukana Paroko wetu nikijaribu kumwambia aache ni dhambi kuwasonta vidole watumishi wa Mungu ananijibu kwa dharau...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Jamani mimi kuna kitu sikielewi, wataalam wa mambo ma mahusiano na psychology mnisaidie. Mimi niko mikoani, ila nimekaa Dar kwa muda takriban miaka 9. Miaka miwili iliyopita nilifahamiana na dada...
1 Reactions
85 Replies
14K Views
Ni wasiwasi na hofu imejaa katika jamii. Wapo ambao hawaamini lakini wapo wenye kuamini pia. Taarifa hizi zimeifanya taasisi inayoitwa ndoa kuyumba. Mkemia mkuu katupa jiwe GIZANI. Taarifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaweza muamini mpenzi wako kwa asilimia ngapi?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Eti jaman hili jukwaa limeenda wapi mbona silioni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndg zangu tenda wema uende zako,wahenga wamenena,jamani tamu ya penzi kupenda upendwapo,huko U.K kulikua na dada 1 aliku anafanya kazi maigration huyo dada ana asili ya kijamaika katika pita pita...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
TEXT ZA MWISHO WA MWAKA KWETU SISI 'Dear, kodi ya pango inaisha January 2016 na mwenye nyumba ameongeza kodi. I love you much!' 'Baby, mwakani ofisini nataka niwaonyeshee unavyojua kunitunza...
5 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari zenu Ni kipindi cha siku chache kimepita toka nilipo uliza humu ndani kuwa kuna uwezekano wala kuoa dada na mdogo wake anayemfuata.... Aiseee yaliyonitokea nikuwa baada ya mzazi...
1 Reactions
44 Replies
6K Views
Wadau nawasalim, Wadau, Mimi na mke wangu tumekua na mgogoro wa muda mrefu kuhusu nani amfuate mwenzake, maana tunafanya kazi mikoa tofauti, yeye Dar mimi Bukoba, suala la uhamisho...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Hawa ni wake bora ktk maisha.Kama una mdogo,ndugu au wewe mwenyewe njo niende kwenu.Uwe wa mkoa wowote ila upatikane Arusha,Manyara,Kilimanjaro,Singida umri 21-25.PM zaidi Am in love with these madam.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salam kwa wote Ni siku chache zimepita toka niliweka mada nikiwa nataka kujuwa kuwa uwezekano upo au haupo,,,,,pia nashukuru kwa watu walioniita kichaa na kunitukana na walionipa ushauri pia...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini wakuu , mtaa ninaoishi kuna jamaa ana mpenzi wake ambaye alia za nae mahusiano akiwa na elimu ya standard seven na yeye ni mtumishi elimu take PhD , amemsomesha mpaka level ya degree Leo...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Habari wakuu, Kama umeambiwa ufunge ndoa sehemu ya kwanza uliokukutana na mpenzi wako yakwako utafungia wapi? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamaa anawatoto wa kike kumi anatafuta wa kiume angalau mmoja wanabiologia tumpeni ushauri... Mimi nimemshauri aende fore plan clinic
1 Reactions
62 Replies
7K Views
Kwanini wanamme wa Tanzania wanawaona wivu wanawake? Wakiona mwanamke mzuri na anampendamwanamke but anajua awezi kumpata anaishia kumchukia bila sababu na kumzulia maneno ya uongo anatangaza kwa...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Katika mahusiano niliyopita mawili nimegundua kuwa katika mahusiano ya uchumba ukimpenda mtu sana na akajua atakutesa sana. Naandika haya kama mwanaume ambaye nilimpenda sana ambae nilikua naye...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jana nilikuwa Dodoma ilipofika majira ya saa 4 usiku mimi na rafiki yangu tuliamua kupita mitaa ya uhindini , kwa wasioijua Dodoma mitaa hiyo ni maarufu kwa wadada kujiuza hasa wanafunzi wa vyuo...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
unalikuta lidada ni kula kulala nyumbani au kamaliza chuo hana kitu, anaanza mm wa kunioa awe na kazi, gari, nyumba, jiulize ww unavyo hvyo? Ndio mana ma brazamen yanaazima magari yanawatanua...
3 Reactions
28 Replies
7K Views
Back
Top Bottom