nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 692
Habari wana JF, natumaini mko poa!
Kuna jambo ambalo nimejifunza katika mahusiano ya kimapenzi, nimeona ni vyema tukajadili wote kwa pamoja,mmi binafsi napenda sana mapenzi ya dhati na ya kweli!,kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Diploma chuo kimoja hapa Daressalaam mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu na mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha. Jinsi gani nampenda lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ilitiujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni?,hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tuli waoa au tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya!
Kuna jambo ambalo nimejifunza katika mahusiano ya kimapenzi, nimeona ni vyema tukajadili wote kwa pamoja,mmi binafsi napenda sana mapenzi ya dhati na ya kweli!,kuna msichana mmoja nilimpenda sana na nilipenda huko mbeleni pengine aje kuwa mke wangu.
Huyo binti amemaliza Diploma chuo kimoja hapa Daressalaam mwaka huu, kwa Mara ya kwanza yule binti nilimtongoza mwaka Jana alikuwa bado anasoma chuo akanikubalia lakini cha kushangaza matendo yake yalikuwa hayaonyeshi kama ana upendo na mmi,alikuwa hanipigii simu wala kunitumia sms mpaka nimuanze mmi hata kama Ana credit utamuona Ana chati tu online na siku akini beep ujue anashida anataka nimtumie pesa.
Niki mwambia basi tutoke out tuka pumzimke somewhere labda lodge au hotelini hataki, yeye anataka muende bar au restaurant mkale kuku chips yai na vinywaji mkimaliza kila mtu aondoke kivyake.
Binafsi nilimvumilia nikajua labda yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, lakini kilichonishangaza nikaja nikapata taarifa kuwa yule msichana anatoka na ka sharobaro kamoja wanasoma nako huko chuoni kwao kutokana niko busy nilikosa mda wakulifatilia hilo, sikuamini tuhuma hizo,lakini haikupita tena mda mrefu kuna kijana akaja akaniambia kuwa msichana wangu anatoka na kijana mmoja hivi nae ni sharobaro wa mtaani tu na hilo siku lifuatilia pia kutokana niko busy sana kutafuta pesa.
Imepita takribani mwaka mmoja na kitu yule binti sijawahi kufanya mapenzi naye hata siku mmoja, tangu tumekuwa katika mahusiano swala la kufanya mapenzi na mmi amekuwa akilikwepa kila Mara, huwa hakosi sababu, ila mmi nimekuwa nikimhudumia tu kama mpenzi wangu kwa kuamini kuwa yeye hapendi mapenzi kabla ya ndoa, na mimi nilikuwa tayari kumvumilia mpaka ndoa kwa sababu na mapenzi ya dhati kwake.
Mwaka huu amemaliza chuo,akaniambia nimsaidie kutafuta Kazi, kwa vile mmi hapa mjini nafahamiana na watu wengi sana ambao ni ma boss wa makampuni mbalimbali, kutokana na biashara nazo zifanya, nikampigia Simu rafiki yangu mmoja ambaye ni HR wa kampuni mmoja kubwa hapa Nchini,nikamuomba anisaidie kutafuta nafasi ya kazi hapo ofisini kwake,ili niweze kumsaidia yule msichana kupata kazi,yule HR alinihakikishia atampatia kazi yule binti ila aliniomba nimpe mda kidogo alifanyie Kazi swala langu.
Tukirudi upande wa pili wa huyu binti pamoja na jitahada zangu zote nazo zifanya juu yake nakumuonyesha. Jinsi gani nampenda lakini yeye bado hanijali, hanionyeshi mapenzi ya aina yoyote huwa ananikumbuka tu Pindi akiwa na shida,lakini ukishamsaidia tu hakutafuti mpaka nimtafute mwenyewe.
Sasa mwaka huu pia nimepata taarifa kuwa huyo msichana kuna kijana mmoja anatoka nae,ikanibidi nifatilie tuhuma hizo nikagundua ni kweli, ila kilichonishangaza kijana mwenyewe anayetokanae hana mbele wala nyuma ni kijana wa mtaani tu kula kulala tu, nilishangaa sana tangu nimekuwa katika mahusiano ya kimapenzi sijawahi kufanya nae mapenzi hata siku mmoja kwa sababu alikuwa anakataa na kulikwepa swala hilo niliamini pengine haniamini labda anataka mpaka tuoane kumbe sivyo,mwezangu alikuwa anagawa kwa vijana wa mtaani tena buree! Hawagharamikii chochote.
Mwaka huu Mungu amenijalia nimepata faida kubwa katika biashara zangu, nimepata million zaidi ya 50, nilikuwa nimepanga nimpatie million 20 ili afanye biashara ambayo anaipenda endapo kama angekubali kufunga ndoa na mimi, ilitiujenge familia,lakini kutokana na Ujinga wake mwenyewe na kunichukulia mmi zoba,swala la kumtafutia Kazi kule ili afanye kabla hatuja funga ndoa nimelifuta na swala la kumuoa nimelifuta,lakini nashukuru pia nimeweza kuwa nae huyu binti katika mahusiano kwa muda wote huo alikuwa hajui minafanya kazi gani na alikuwa hajui Mali zangu,niliamua kumficha hivyo maksudi ili nije ni msuprize siku tutakapofunga Ndoa,ila nilichojifunza mwanamke kama hakupendi hakupendi tu hata umpe nni?,hawezi kuku penda!
Jambo jingine nilichojifunza wanawake wanaongozwa sana na (Emotional) katika mapenzi kuliko (logic),kwa nni nasema Hivyo?, (logical)mimi ndio mwanaume niliyekuwa nampenda kwa dhati huyo msichana lakini, (Emotional) yeye hisia zake zilikuwa zinawapenda hao vijana masharobaro wa mtaani ambao hawa msaidii kwa chochote!
Nawashauri wanaume wenzagu tuwe makini sana na hao wanawake tuli waoa au tunaotaka kuwaoa lazima tuhakikishe wanakupenda Kweli sio kutu laghai, binafsi nakiri kabisa ule usemi wa Rafiki Yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba"ni rahisi kutafuta pesa ukaipata kuliko kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati",kuanzia Leo sina imani tena na mwanamke,mimi ni mpole mstaraabu lakini huyu mwanamke alichonifanyia nimeamini wanawake hawapendi "Nice guy" ila wanapenda "Bad boy" halafu baadae huwa wanakuja kulalamika wanaume wabaya!,kumbe wao ndio wanaotafuta wanaume wabaya!
Last edited by a moderator: