Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

UNATAKIWA KUFIKIRI KWA KINA USIPOKEE TU UNACHOAMBIWA AU KUONA Hebu pata picha ungekuwa unaishi mwaka 1950, ambapo hakukuwa na mtandao wa intaneti na hivyo chochote ambacho unataka kujua inahitaji...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani wana Jukwaa nawatangazia nafasi wazi ya mwenza baada ya aliyekuwepo kuachia ngazi. Nasubiri mwitikio wenu wadau
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Ni mfano tu. Wewe umeoa mke ambaye alishawahi kuzaa na jamaa,na huyo mtoto unakaa naye hapo kwako,bahati mbaya mtoto akaumwa homa serious kidogo ikabidi baba yake aje ili wasaidiane kuuguza,naye...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
0 Reactions
27 Replies
9K Views
DALILI ZA KUCHOKWA NA MPENZI WAKO: 1. Hupigiwi simu hadi umpigie, 2. Hutumiwi sms hadi umtumie. 3. Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi. 4. Ukimpigia simu anakwambia yupo bize wakati...
29 Reactions
148 Replies
27K Views
Kuna wakati huwa tunataka kujilinda dhidi ya hisia tusizozipenda za matukio au mambo yenye kututokea. Tunataka kukwepa, mawazo, hisia na matarajio fulani. Kwenye nadharia za kisaikolojia, kuna...
20 Reactions
62 Replies
9K Views
Habari wanaMMU. Katika mahusiano kuna changamoto nyingi kadha wa kadha lakini kwa ujumbe kama huu hapa chini unachochea unyanyasaji ingawa bado sijajua undani wa ukweli/validity ya huu ujumbe...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mimi nina rafiki yangu wiki hii nimegundua kuwa ni shoga, sasa nataka nimuite nimwambie kama mambo anayoyafanya siyo mazuri. Kwanza nilianza kumtilia shaka sababu anapenda sana porn za wanaume...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Nimetazama tu, hasa wanaojicommit kuoa mke mmoja wengi hutafuta nyumba ndogo. Utakuta mtu kaoa mke mreeembo na mtulivu lakini bado tu atachepuka. Mwingine utakuta ni mtu wa dini kabisa, na upako...
3 Reactions
74 Replies
9K Views
KILA MTU ANAWEZA, ILA WEWE USIFANYE Kila mtu anaweza kumshushia mwingine chini, ila ni mashujaa peke yake ambao wanaweza kuwainua wengine. Kila mtu anaweza kumkatisha tamaa mwingine, kumwambia...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikiri tu kuwa kabla ya kuwa baby mama about 2 years ago, nilikuwa mtu wa bata sana hapa mjini. By that time nishamaliza chuo na nimeajiriwa nikiwa na miaka 3 kazin kwenye ofisi flan hapa town, so...
8 Reactions
87 Replies
10K Views
I greet you my elders and young ones Wanawake wengi wana huruka ya kushindwa kutunza information zao binafsi na zile wanazopewa na watu wa karibu yao. Wanaume kuweni makini na mambo unayomweleza...
11 Reactions
201 Replies
20K Views
WANAWAKE Vs WANAUME (FACTS) 1. Uwezo wa kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja. Ubongo wa wanawake umejengwa ktk msingi wa kuweza kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja. Mwanamke anaweza akaangalia...
8 Reactions
104 Replies
8K Views
Wanajukwaa habari zenu? I hope ni wazima wa afya. Nimekuja kwenu kupata uzoefu kwa maana naona kama yanataka kunishinda hivi!. Nina mpeni ambaye ni binti wa miaka 24 hivi nimedumu nae kwa muda...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Ni mwezi huu nilipoamua kuwaokoa wadogo zangu wawili na ndoa za utotoni. Iko hivi: Wakati nikifanya utaratibu wa kumwendeleza kielimu mdogo wangu wa miaka 14 wa kike aliyefeli la 7,kumbe baba...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mambo vipi wanaume wenzangu marijali? Hivi mfano uko kwenye mahusiano na binti anakuambia haya maneno kuwa ''Honey, i will die in your arms'' hivi huwa wanamaanisha kweli au ndio kuongopeana tu...
2 Reactions
99 Replies
14K Views
Leo nilikua nimeshika simu yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi;'We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili'...
2 Reactions
50 Replies
7K Views
siku zote mwanamke anajisikia raha wakati wa tendo la ndoa kuliko mwanaume FUATILIA KATI YA SIKIO NA KIJITI WAKATI WA KUJICHOKONOA KIPI KINAPATA STAREHE SO MWANAMKE SHE IS FAN.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vigezo awe n mrembo na mwenye umri wa miaka 18-25. Kuhusu kabila awe ni mnyamwezi, mngoni,mnyakyusa,mchaga na muhaya.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
CHANGAMOTO TULIYONAYO VIJANA KWA WAZEE NI KUONGEA UKWELI Mara zote sema ukweli, ni rahisi sana kwa sababu hutakuwa na haja ya kukumbuka mengi. Unapodanganya inabidi utunze kumbukumbu sana, ili...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom