Nimshaurije huyu rafiki yangu aache tabia za 'kichoko'?

lauzi96

JF-Expert Member
Jul 10, 2014
422
797
Mimi nina rafiki yangu wiki hii nimegundua kuwa ni shoga, sasa nataka nimuite nimwambie kama mambo anayoyafanya siyo mazuri.

Kwanza nilianza kumtilia shaka sababu anapenda sana porn za wanaume watupu, muda mwingi anaangalia hizo humkuti na za kawaida. Sasa ndio juzi bahati mbaya kasahau simu yake nikaingia whatsapp nikakuta anachat na jamaa kama yeye ndio demu anamsifia sana jamaa kuwa ame sex naye fresh, nikaangalia na msg za kawaida nikakuta hvyo hvyo!

Mimi nataka ajue kama nishamjua na nimshauri kuacha michezo hiyo, au wewe kama great thinker ungefanyaje?

Ungemuacha tu aendelee 'kudinywa' au ungechukua uamuzi gani?
 
Sasa mleta mada unataka ushauri gani hapo?
Huyo Jamaa yako hawezi kubadilika Kwa Sababu ndio mchezo wake toka kitambo na ndo starehe yake hawezi kuwa Na mwanamke kama wewe

Labda mpeleke nyumba za ibada au atafutiwe wataalam wa saikologia ili afanyiwe counseling Kama hiyo tabia hajaanza toka mtoto kwa sababu watu wa tabia hizo huanzia utotoni japo kuna wanaonza ukubwani pia
 
World population tupo wachache ukilinganisha na wanawake kisha kuna mibaradhuli inajialika uanamke makusudically.
 
Has anyone ever been talked outta homosexuality? Never heard such miracles.

Just let him/her be. And apologize for peeping into his privacy unwelcomed.
 
Hofu yako kubwa ni nini haswa mpaka kuomba ushauri?nini kimikushinda?huna energy to stand to the truth ama?ukimwambia atakumwaga and breaking up the friendship ama?

Mashoga na matendo yao ya kifedhuri sio ya kukenulia meno the next thing utajikuta nawe umefanya nae without ur concent kwasababu ya kuchekacheka nae,siku umepiga ulabu utamuona yeye kama mwanamke na ndipo utakapo mfanya na kujichumia dhambi.
 
Wewe mtu akifanya tabia zake zinakuwashia nn?
Halafu pia unawezaje kuwa na rafiki wa namna hiyo??
 
Mijitu mingine bana

Nyie ndio mnaopenda kusoma msg za wenzenu.....

Mkikuta simu mtaipekuaaaaaa

Tabia mbaya hiyo acha

Hayo mengine mpe za uso tu
 
Pili ukiona inakuwa ngumu mshirikishe shemeji yako aliyekutambulisha kwako kuwa kwanza ni kosa kishwria kukurecord mkanda wa x bila ridhaa yako.
 
Mijitu mingine bana

Nyie ndio mnaopenda kusoma msg za wenzenu.....

Mkikuta simu mtaipekuaaaaaa

Tabia mbaya hiyo acha

Hayo mengine mpe za uso tu
huwa sina tabia hyo hila nilivyoanza kumtilia shaka ndio nikawa nnamfuatilia natangu nijihakikishie hzo msg nimemkatia mawasiliano kabisa maana ukiwa na urafiki na mtu km huyo watu lazima wakuhisi vibaya.
 
SOMO: USIPENDE KUGUSAGUSA SIMU ZA WATU NA KUSOMA MESEJI ZA WENZAKO.
 
Halafu pia wewe mtu akifanya tabia zake zinakuwashia nn?
Halafu pia unawezaje kuwa na rafiki wa namna hyo??

Nilikuwa sina uhakika na hyo tabia yake mpaka nilivyohakikisha mwenyewe kwahyo me nnataka kumwambia ukweli hili aache hyo tabia ndio maana nnaomba ushauri je nimwambie au nimpotezee tu urafiki ufe tu.
 
Ili kumtoa huko usimweleze ubaya wake
ila mueleze utamu wa kugegeda hasa pale unapokaribia kumwaga zile raha zake zinazidi kila kitu atajaribu kisha atanogewa huko huku ataacha
 
Huyo ndio kashakua hivo sio bangi hyo au pombe aache ni kitu kingne kabisa na ukiendelea kuhang nae utaonekana unakula mzigo ukimtenga as ur friend sio poa" ata mi sijui ufanyaje yaan dah"
Sema mchane
 
nilikuwa nnaomba ushauri tu je nimwambie kua anachofanya siyo kizuri aache au mimi niamue tu kukata mawasiliano naye.
 
pil
pilipili za shamba zinakuwashia nini
pilipili ikiwa shamba mimi haiwezi kuniwasha hii ipo kwenye chakula ndio maana inaniwasha huyu jamaa nirafiki yangu tangu nursery ndio maana roho inaniuma angekuwa tumekutana secondary hata asingeniumiza kichwa sababu urafiki wa secondary kwangu hauna nguvu ndio maana marafiki nnaowakumbuka hadi leo niwa primary wa secondary wote nishawasahau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom