Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Natafuta marafiki wa kike umri uwe miaka 30 -48 sitaki taabu ya kumsumbua na mtu mengi yatafuata
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KAMA UNA WALAU ROBO YA HIZI SIFA BASI UMEPOTEZA THAMANI YA UTU WAKO 1. Unaisoma hii status ukaipenda. Ukaenda kuibandika kwako bila kutaja mahali ulipoiiba. 2. Unaye mwanamke mzuri, aidha ni...
9 Reactions
41 Replies
5K Views
Ashukuliwe Mungu kwakuwa ni mwingi wa rehema na hutusamehe zambi zetu na kuzifuta na kuzisahau. Washukuriwe wadada wanaokubali kulea watoto baada ya kukimbiwa na wanaume.Washukuriwe madaktari kwa...
2 Reactions
64 Replies
6K Views
KEEP YOUR PERSONAL THINGS PERSONAL Ndugu zangu, marafiki zangu, dada zangu , kaka zangu, wadogo zangu kuna vitu vya kuandika kwenye social media na kutangaza kwa rafiki zako au ndugu zako na...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Naitwa erick Nipo dsm Natafuta mchumba miaka kuanzia 17 mpaka 23 Vile vile natafuta marafiki wa kuchat nao kubadilishana mawazo mawasiliano 0654937160
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Rejea kichwa cha post hapo juu, Ila awe anaishi sehemu moja kati ya hizi kwa sasa Dodoma, Morogoro na Dar au katikati ya maeneo tajwa,kama ni muislamu basi akubali kuwa mristo baadae,tabia njema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wandugu na majamaa..... Katika pita pita zangu mjini hapa nimekumbana na vituko vingi sana ambavyo naweza kusema ni vya kawaida sana kwa maisha ya mjini...lakini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The reason most couples get divorced is not because they get bored with each other. It's because when you're dating, you pretend to be someone you're not. And there's only so long you can hold...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
A clever wife often sleeps with a stupid husband. Is this true wadau
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Mwanamke unapoudhiwa na tabia za mumeo, ongea na mumeo kwa upendo. Andaa mazingira rafiki ya maongezi. Wanawake huwa mnakosea sana kutojua muda na mahari pa kuongelea kero zenu. Kwa kukosea huko...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Wana JF tujadili hilo je kuna kesi ya kijibu hapo angalia attachement
0 Reactions
3 Replies
2K Views
unakua mke bora unapomsaidia mumeo katika malengo yake ya kimaisha. unampa support wakati hana kitu mfukoni. wamsaidia kupata mafanikio. wacha kumkera na mambo asoyaweza. ridhika na akupacho. mtie...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina hamu nimpate mtoto wa kike au wa kiume. Kifupi mimi nimeoa mke wa tatu sasa baada yule wa kwanza kutimuana na wifi zake kwa kisa cha kumfumania na mume wa mmoja kati yao. Wa pili tuliachana...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa kike mwenye umri kati ya miaka 25-30. Ninao ndugu zangu wawili ambao tangu nmekua na kujielewa nimekuwa nikiishi nao, ndugu hao ni mama yangu mzazi na dada yangu...
2 Reactions
119 Replies
16K Views
Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi,umri wangu ni miaka 47 tuwasiliane kwa email ifuatayo sekenemboh@gmail.com au tuma sms ktk namba 0715 33 85 27 ahsante!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara nyingi huwa naona post nyingi sana za kuwaponda hawa viumbe lakini kwa kweli kiuhalisia wamekuwa watu wa muhimu katika maendeleo yoyote kwa wanaume, huwa wanatupa suport sana ....nikianza na...
3 Reactions
66 Replies
5K Views
Wadau, Huu ni uzoefu wangu binafsi, nimegundua kwamba si salama sana kwa wenye ndoa kwenda kunywa kwenye bar ambazo pia zina guest house/lodge. Kwa sasa bar nyingi unakuta pia kuna guest house...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Napenda kutoa ushauri kwenu wadau, Kumekuwa na ongezeko la magonjwa haya kwenye jamii. ukimwi umekuwa ukipungua ingawa kwenye baadhi ya mikoa umekuwa ukiongezeka na prevalence iko kwenye 5.1%...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Simtetei mwanamke lakini naongea ukweli waswahili walisema "Nani kama mama" Wasomi wakasema "Ukimsomesha mwanamke mmoja umesomesha taifa zima" Wazungu wakasema "Ladies first" Biblia imesema...
6 Reactions
46 Replies
11K Views
Habari za Jumatatu wanajamvi, Direct to the topic,Je inawezekana kuwa na mahusiano na mwanamke alienizidi umri wa miaka 5, yani nikitembea nae huwezi kugundua kama tuna date, utahisi tu ni mtu na...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom