The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,124
- 1,459
Leo nilikua nimeshika simu yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi;'We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili'
Daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini, mimi sinaga masihara kabisa na hivi viumbe.Akizingua nampiga chini.
Daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini, mimi sinaga masihara kabisa na hivi viumbe.Akizingua nampiga chini.