Nina wasiwasi na huyu mwanamke

Nina wasiwasi na huyu mwanamke

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,124
Reaction score
1,459
Leo nilikua nimeshika simu yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi;'We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili'

Daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini, mimi sinaga masihara kabisa na hivi viumbe.Akizingua nampiga chini.
 
O
Leo nilikua nimeshika cm yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi

We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili
daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini
Me sinaga maskhara kabisa na hivi viumbe.
A kizingua nampiga chini
owke
 
Leo nilikua nimeshika cm yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi

We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili
daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini
Me sinaga maskhara kabisa na hivi viumbe.
A kizingua nampiga chini
Sasa unaomba ushaur?
Unatoa taarifa ya maamuzi yako?
Au unajaza server ya jf?
 
Nevermind, you have my 100% support.

Piga chini kimya kimya ili ajione mjinga..
 
Hawa viumbe wapuuzi sana, utadhani km wamerogwa vileee
 
Haya sasa ivi ni kawaida sana kwa baadhi ya wanawake. Kiukweli wanawake wa aina hii sasa ivi waio waminifu wengi sana tu. ukiwajua kama hukutarajia basi utawaona kama wote ni vituko tu.
 
Ushauri wangu kama ni mkeo chunguza kwanza ikiwezekana mwambie kijanja, maana utakuja kukwaa wa aina hiyo hiyo au zaidi yake. jaribu kufuatilia, mhalifu utamjua tu, hawezi kukuficha sana kwa siku zote za wizi wake. Ila kama huna mtoto naye au hujaapa kanisan naye basi tupilia mbali na msahau kabisa
 
Watu kuchunguliwa wanajisifu, ushenzi mtup, naona mtu kama huyo kuepusha shari nii kutupilia mbali. maana utakuja kuua bure
 
Unaweza kukuta ni biashara tu
labda show ni jinsi alivyoweza kushawishi clients...

au jinsi alivyopigania masilahi ya watu ofisini
be sure...kabla hujafanya maamuzi


Mkuu demu mwenyewe ni mwajuma ndala ndefu

Maswala ya clients na maslahi ya offisi uswahilini unafeli kashaliwa hapo ajipange kuzuia show ya pili kama ataweza!
 
Leo nilikua nimeshika cm yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi

We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili
daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini
Me sinaga maskhara kabisa na hivi viumbe.
A kizingua nampiga chini
Samaki mmoja akioza sio wote ndugu wengine ni harufu tu imewapata
 
Leo nilikua nimeshika cm yake nikaingia inbox nikakuta kuna message katumiwa na mwanaume kaandika hivi

We ni noma sana unajua thanks na yeye aka reply hiyo ndo show ya kwanza subiri ya pili
daaah hapa nilipo sijamuambia chochote na namuacha kimya kimya bila kujua kama nimempiga chini
Me sinaga maskhara kabisa na hivi viumbe.
A kizingua nampiga chini
Duu we noma kimya kimya
 
Back
Top Bottom