Hahaha imekaa poa sanaVutika mkuu,panda dau inaitwa,unanikumbusha wimbo unaitwa grenade wa bruno mars I'd catch a grenade for ya
Throw my hand on a blade for ya
I'd jump in front of a train for ya
Mambo vipi wanaume wenzangu marijali?
Hivi mfano uko kwenye mahusiano na binti anakuambia haya maneno kuwa ''Honey, i will die in your arms'' hivi huwa wanamaanisha kweli au ndio kuongopeana tu ili nizidi kumpa hela?
Khaaaa,kwahiyo unao wawili?
Naupenda sana huu wimbo,Bruno anajua bwana.Vutika mkuu,panda dau inaitwa,unanikumbusha wimbo unaitwa grenade wa bruno mars I'd catch a grenade for ya
Throw my hand on a blade for ya
I'd jump in front of a train for ya