Dawa ya mchepukaji!

Dawa ya mchepukaji!

Warren T

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
664
Reaction score
409
b56517f46786e19d706af07bc80e3028.jpg
 
Hata huyo muheshimiwa hampigi kwa kumuumiza ili aendelee kuwa nae asitoroke
 
safi sana buhari, hivi huku kwetu imeishia wapi
 
Dawa ya mchepukaji mtangaze mtandaoni... kila atakaemuona atajua niwako huyo
 
hili swala la kuchepuka inaonekana limekuwa sugu hapa tz...
 
Dawa ya mchepukaji mtangaze mtandaoni... kila atakaemuona atajua niwako huyo
Mi naona dawa kali kuliko zote ni; ukimfumania laivu mwambie jamani mpenzi pole kwa kazi ngumu, hebu vaa twende zetu home, halafu ukiwa mwenye furaha kanakwamba hakuna ubaya wowote unaoendelea pale.
Ikiwa atakuwa mjinga akakubali muondoke wote, mkifika home mwanalie maji mlazimishe akaoge na akirudi bafuni baada ya kuvaa, maisha yaendelee usimuulize chochote mbaki mkiongea mengine tuu.
Nina uhakika ataondoka home mwenyewe bila kufukuzwa
 
Mi naona dawa kali kuliko zote ni; ukimfumania laivu mwambie jamani mpenzi pole kwa kazi ngumu, hebu vaa twende zetu home, halafu ukiwa mwenye furaha kanakwamba hakuna ubaya wowote unaoendelea pale.
Ikiwa atakuwa mjinga akakubali muondoke wote, mkifika home mwanalie maji mlazimishe akaoge na akirudi bafuni baada ya kuvaa, maisha yaendelee usimuulize chochote mbaki mkiongea mengine tuu.
Nina uhakika ataondoka home mwenyewe bila kufukuzwa


Ataendelea tu kuchepuka kama kuna tatizo na halijaondoka, Ni vyema mkaongea kama bado unahitaji kuendelea nae
 
Back
Top Bottom