mzee wa nguna
Senior Member
- Dec 5, 2012
- 138
- 139
Jamani wana Jukwaa nawatangazia nafasi wazi ya mwenza baada ya aliyekuwepo kuachia ngazi. Nasubiri mwitikio wenu wadau
Loh alll occupied
umeacha au umeachika
tupe sababu
hata ukienda kuomba kazi hayo ni mwaswali muhimu ya utokapo vipi
infact am in it nauliza tu sipo single
nataka tushirikiane uingie kwenye uplural
Fagia fagia kwanza, vuta pumzi na ujipange upya. Haraka ya kazi gani?
Kata mti panda mti stail
Umeshaijua jinsia yake?
Asprin tume yako haifanyi kazi vizuri naona umetulia sana vi tena umeairisha???au bibi hataki msaidizi?
Asprin tume yako haifanyi kazi vizuri naona umetulia sana vi tena umeairisha???au bibi hataki msaidizi?
Sikumbuki kama mimi na wewe tumeshamalizana.
Mimi ni keUmeshaijua jinsia yake?
Na mimi ni Me. Tunaweza kuwa na maongezi?Mimi ni ke
Tatizo wewe hueleweki.....hahhahaah haya tumalizane leo mnyamwezi wangu kalala
haya anza kushuka verse