Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Haka katabia kwa wanaume wenzangu kupenda bikra ili hali wao wenyewe washatumika si sawa imekabidhiwa haswa wa kijinsia acheni hiki kitabia msiwafanye dada zetu wakose amani Bikra kutoka ni...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Jana katika pitapita zangu Pub flan A Town maarufu sana mitaa ya Kati, nimesikia meza ya pili jamaa akilalamika ya kwamba rafiki yake anatembea na mke wake pia ameaanza kumfatilia nyumba ndogo...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Kuwa na rafiki wa kweli mwenye 98% ni muhimu sana katika maisha yako. Njia ya kumjua rafiki wa kweli hutokana na mapito katika maisha yako wewe binafsi. Rafiki wa kweli utamtambua kuanzia mwaka...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
FURAHA INAWEZA KUNUNULIWA? Kila mtu anataka furaha kwenye maisha yake. Hata wale ambao wanafanya makosa, wanafanya hivyo wakiamini yatawaletea furaha. Hakuna mtu ambaye atapewa kati ya furaha na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana MMU Leo nimeamua kuandika haya baada ya mimi mwenyewe kujifanya uchunguzi yakinifu bila kuunda Tume yoyote ILe Uchunguzi wa kujichunguza mimi mwenyewe ulilenga Direct KWANINI KILA...
3 Reactions
30 Replies
7K Views
Wadau, Mimi natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 hata kama ana mtoto/watoto sawa tu tuanzishe mahusiano maana naona hawa wasichana wadogo wananisumbua tu bado hawajamaliza usichana. e-mail yangu...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
WanaJF, Nisaidieni kujua hili, kwa sababu zozote zile ni haki mume kunyimwa kufanya mapenzi na mkewe wa ndoa? Nini suluhisho lake ni nini?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mayor wa manispaa ya Uthekela hapo South Africa ameanzisha mfuko maalumu wa kuwasomesha bure wasichana mabikra.. Na ili kuendelea kupata sponsorship hiyo kila ukitoka nyumbani likizo lazima...
0 Reactions
113 Replies
12K Views
HABARI WANA JF UNAKUTA MWANAUME UNAMKE NDANI YA NYUMBA LAKINI TABIA YAKO KILA MWANAMKE AKIPITA MBELE yako unamtongoza je huridhiki na mkeo? NANYI WANAWAKE WA CHIPS MAYAI tabia zenu mbovu kufuga...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Kumekuwa na visa vingi vinavyotokea ndani ya ndoa kupelekea vijana wengi hasa wanaoanza maisha kuwa waoga kuingia katika taasisi hii ya ndoa! Wanawake nao wanalalamika wanaume wa siku hizi sio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Kisa chenyewe ni hiki; Mwenzenu mke wangu hasomeki. Mimi nina rafiki yangu tangu enzi hizo tuko primary. Huyu jamaa yangu, binti yake kaolewa na sasa ni mjamzito. Kama mnavyojua ujauzito...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Safu hii inaendelea kuwaletea elimu kubwa ili kuwaweka wasomaji wake kwenye uelewa mkubwa kuhusu mapenzi na maisha. INAVYOJULIKANA Mara nyingi wanaume wamekuwa wakitajwa kama sababu kubwa ya...
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari ndugu zangu, Juzi ilikua ni siku ya mshtuko baada ya mke wangu kuzidiwa ghafla nilipompeleka hospitali nikaambiwa mfuko wa kizazi ni mchafu kwa kua alitoa mimba hivi karibuni. Nashindwa...
0 Reactions
98 Replies
14K Views
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 26. Nilikuwa na mpenzi tuliyedumu naye kwa takribani miaka miwili na miezi kadhaa sasa. Ni wiki iliyopita tu alitoka kuniambia kuwa mimi na yeye mapenzi yetu...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
I greet you all. Watajwa hapo juu ni wanawake ambao hawana waume/mahusiano ya kudumu. Wanaomba wapate japo mwanaume atakaweza kumsitiri, wengi wao ni wale ambao umri wa kugombaniwa na wanaume...
10 Reactions
280 Replies
22K Views
Kichwa kinajieleza wazi watoto wanne wa familia moja wananimaliza hakika nimeduu Na mmoja wao lkn hawa wenhine hawajui in wazr sn ila hawamzidi huyu nilieduu nae ila tamaa zinanisukuma...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hapa chini nitaeleza baadhi ya vijimambo vya wanawake vinavyodhibitisha udhaifu wao wa kutokuwa wakweli: (1) Tangu kukua kwangu nimewahi kutembea na mwanaume mmoja tu maishani mwangu tena...
13 Reactions
111 Replies
12K Views
Usiku huu wa kwanza wa Honeymoon yetu ningependa nikwambie haya yafuatayo...... Harusi sasa imeisha, kila mtu amesharudi kwao. Hakuna muziki tena, hakuna kwaito tena. Harusi yetu ilikuwa nzuri...
12 Reactions
78 Replies
10K Views
Wadau nawasalim, Ninahitaji ushauri wenu ama nimsamehe wife au la kutokana na kitendo chake cha kuikimbia nyumba na kwenda kuishi kanisani Ipo hivi; Mwaka 2012 mke wangu alianza kuhudhuria...
4 Reactions
104 Replies
13K Views
Najua wote mko poa kabisa, tokea mwezi uliopita kuna vitu vinatokea kwa mke wangu sivielewi kabisa. Kabla ya hapo tulikua tunachangia gharama za nyumbani 65%/35%. Lakini cha ajabu tokea mwezi...
3 Reactions
99 Replies
12K Views
Back
Top Bottom