Am 29 years old with honest and bachelor degree+ CPA am working in a good company as Financial Accountant in really am looking a commitment girly who will show commitment to me and create a...
Dah natamani mbadilike dada zangu! Mnaombaomba sana na kwakweli japo hamtasema ila hii tabia imewagharimu wengi wenu.
Kutwa kuacha kutuma sms za kuombaomba! Fanyeni kazi na muache kuombaomba ili...
MOJA NI BORA KULIKO SIFURI
Watu wengi wamekuwa wakiweka mipango mizuri na mikubwa sana kwenye maisha yao. Ila katika utekelezaji hujikuta wanakwama.
Chanzo kikubwa cha kukwama huwa ni kutaka...
I salute you my brothers& sisters,
Mahusiano ninayoyaongelea hapa ni yale ambayo mmoja anasoma vyuo vya elimu ya juu na mwingine yupo na maisha mtaani.Mwenza anakaa Hostel/chuo, pia sio mahusiano...
Kwanza kabisa harakati za maisha zinaendaje wakuu,
Kilicho nifanya nije apa mbele yenu kuomba ushauri ni kuwa, juzijuzi tu baada ya kuachana na mschana wangu ikanibidi nitafute wa kupotezea mda...
Wana MMU
Salaamu,
Me nimeoa miaka 18 iliyopita, kwenye hii mitandao ya kijamii nilibahatika kukutana na binti mmoja mwaka 2008. Wakati huo alikuwa kidato cha 6. Hapahapa Dar.
Kama ilivyo...
Habari wana mmu! nimekuwa kwenye mahusiani na binti mmoja takribani miaka 3 tulianza mahusiano kipindi tukiwa chuo kiukweli tulipendana sana na kupeana support ya kimaisha kwani familia zetu zina...
Habari wakuu,
Nimekuwa na mahusiano kwa muda miaka minne sasa, ingawa tulikuwa tugombana kipindi kirefu tukawa hatuna mawasiliano, then tukarudiana tena na kuendeleza pale tulipoishia. Kwa uelewa...
Wanajamvi
Salaam;
Kuna thread niliweka hapa mapema leo,nikishauri tuunde uongozi kati yetu wanajamvi kwa ajili ya kusahihishana sisi kwa sisi. Mods watabaki na kazi zao wala hatutaingiliana. Piga...
MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI.
Kuna vitu Vingine tuwe waangalifu jamani huwezi kukaa na mtoto wa watu miaka zaidi ya mitano umemtoa mimba zaidi ya 2 leo kakosea tu kidogo umefura humtaki tena...
Wana MMU Salaam,
Hapa jukwaani kwa siku za karibuni na tunakoelekea, jukwaa linakosa/litakosa ule msingi hasa wa uwepo wake.
Ni ukweli usiopingika kuwa,hili ni jukwaa huru kwa maana ya...
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili...
Salaam!
Najivunia kuwa mwanaume, najivunia kila kitu chema nilichonacho. Lakini mimi ni nani ikiwa kuna mtu mwema aliyekubali kunibeba tumboni mwake mpaka nikawa mtu!
Kwanini basi nisimwambie...
Wadau amani iwe kwenu
Mke wangu amekua mama wa nyumbani kwa muda mrefu, hivyo majukumu yote yakawa yangu peke yangu, ikiwemo, kodi ya nyumba wakati huo tumepanga, ada za shule, bills mbambali...
Habari,
Mimi ni msichana 22 years. Kazini kwangu kuna likaka linajipendekeza kwangu sana. Sijui hata number yangu alimpa nani. Ohoo nakupenda, nikamwambia si una mke wewe, akasema hana wakati ni...
KAMA UNA WALAU ROBO YA HIZI SIFA BASI UMEPOTEZA THAMANI YA UTU WAKO
1. Unaisoma hii status ukaipenda. Ukaenda kuibandika kwako bila kutaja mahali ulipoiiba.
2. Unaye mwanamke mzuri, aidha ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.