Katika ulimwengu wa leo, kuna kitu ambacho nimeshindwa kabisa kuelewa kinafanywaje, japo kukiri huku kunaweza sababisha wanaume wengi wasinielewe. Mie sijui kabisa kutongoza mwanamke tuliyekutana...
Ndugu wanajamvi poleni na majukumu ya hapa na pale,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwa kawaida baadhi ya wanawake hulinda ndoa zao kwa kutumia limbwata ili kuzitawala familia zao hasa...
Habari zenu wanajamvi,
Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right.
Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati...
Habarini,
Nakuja,humu jamvin nahitaj mke, awe na Umri kati ya 20-35,awe hajaolewa,awe amejiajiri/kuajiriwa,atakayekua na mapenz ya dhat nami,awe mkristo,atakayekua tayar kuish nami mahali popote...
Heshima kwenu wakuu,
Hivi kwanini watu hawana roho ya huruma kwa wale wawapendao? ni Jeuri ya kupendwa na watu wengi au?
Unakuta umemtumia mtu text lakini hajakujibu, meseji imepokelewa lakini...
Kuna mdada miaka 35 anaitaji mume mtanzania umri wake uwe miaka 45 na kuendelea hata kama ana watoto haina shida ila wasizidi 3, yeye hana mtoto
kabila lolote dini yoyote yeye, ni mkristo elimu...
Kama mada inavyojieleza...
Nimepata kuwahi kukutana na kusikia tena kwa masikio yangu ya nyama wanawake walio wengi wanatamani kuwa wangezaliwa wakiwa na jinsia ya Kiume.
Wengi wao wanasema...
Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa.
Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo...
Mimi ni msichana nina mpenzi wangu ambaye nampenda ila nikiwa na shida huwa najishauri sana kumuomba hela,sipendi hiyo hali lakini nitafanyaje,sina kazi na bado nasoma,japo nikimuomba ananipa...
Habarini za saivi wana JF. Mwaka 2012 niliondoka nyumbani Arusha nikahamia Dar. Tulipokuwa Arusha tulikua na mfanyakazi wa kinyaturu, basi huyu dada hakuwa mchoyo wala hajui kukataa ukimuomba...
ni kama best friend hivi ! tatizo yeye akipiga story na wanaume mie nikiona na chukulia poa maana sio mchumba wangu .lakini mie akiniona na piga story na msichana anachukia na hata nikimpa hai ataki
Never on Earth commit yourself to marry a woman raised by a single mother... You will regret it and ending up in a shame divorce.?
Hivi ni kweli msemo huo juu tuanze kuwa tunawauliza baba zao...
WanaJF,
HIvi karibuni nilileta habari ya Nafikiria kuitelekeza familia nianze maisha upya, sababu zangu ni hizi..
Kila zao humea na magugu. Namaanisha kuwa licha ya ushauri mzito nilioupata...
Hellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.
Juzi Juzi ticha...
Katika harakati za kutafuta mume ilikuwa hivi:
Nilipendana na kaka mmoja wa Singida. Huyu kaka aliniambia anataka nimpeleke kwa wazazi ili akajitambulishe na tufunge ndoa kwakuwa mwanzo...
Wazinzi hawana akili kabisa, kwani wafanya jambo litakalowaangamiza wenyewe.
How do you say no to sex?
A direct and simple answer, You just say no. If they try to push you, then you step away...
Jamani ndugu zangu nimeona hili jambo nililete kwenu ili wenye tabia kama hizi wajitaidi waachane nazo kabisa.
Kuna jamaa yetu hapa mtaani alikuwa na urafiki na anko fulani hapa mtaani,huyo anko...
Kuna wanawake wanaoamua kutokuolewa na wanapendelea kuwa na mabwana, hawa mabwana either wanakuwa waume za watu, waliofiwa na wake zao au wanaume waliochelewa kuoa.
Faida za kuwa mistress:
-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.