Wakuu salaam zenu,
Nimebarikiwa sana kutokana michango yenu ya mawazo kuhusu suala hili ambalo karibu wote mlishauri nimuoe mdogo wa mke wangu. Nilipata matatizo ya kumpoteza mwenzangu miaka...
Ni mara ngapi na kwa kiasi gani umekua ukitatizwa na kuanzisha mahusiano na mwanamke, lakini tatizo ni kwamba amekuzidi kwa mambo mengi (mostly kipato.)
Uhusiano na watu kama hao wakati mwingine...
Naamini nyote ni wazima humu ndani na wale wenye matatizo na shida mbalimbali Mwenyezi Mungu awape njia.
Ok swala langu ni moja hapa,week ijayo naenda ukweni,swala hasa kwanza nikutoa fine kwa...
Habarini ndugu wanajukwaa.
Kuna rafiki zangu wapatao watatu ambao tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi na kusaidiana hata kiuchumi na maarifa,
Tumekuwa tukiishi kindugu kabisa.
Wawili wana...
Wanaume wengi sana hasa hapa kwetu TanZania hujifanya kwamba wao ni hodari sana wa ngono, yaani wanajiita lijali na wanaweza kulala na Wanawake muda wowote na kuwaridhisha, na hii siyo hapa Bongo...
Habari ndugu zanguni,
Nimeamua kuwashirikisha hili, nina binti ana 21 yrs saivi yupo form 6, nimempenda sana na nahisi nitamuoa, lakini namzidi sana, namzidi 8 years.
Itakuwa couple nzuri kweli...
Mwanzo nilikuwa mbishi mbishi kukubali kuwa ni ujinga kuanzisha mahusiano na mwanamke ambae ameshazalishwa na mwanaume mwingine(single mother) labda pengine huyo mwanaume wake awe ametangulia...
Ndugu zangu napenda kuwashirikisha kisa hiki cha jirani yangu ili muwe makini na hawa washauri wa familia zenu.
Jirani yangu amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya (Pumu) kwa muda mrefu hali...
Nimeona nyuzi nyingi zikijadili wanawake kwa kuangalia makabila yao lakini wanaume tumekuwa tukikwepwa hasa linapokuja swala la mahusino. Nataka nipate "clue" huenda nikachangamkia mwanamke wa...
Ndoa inayotarajiwa kufungwa inaweza kuzuiwa kwa pingamizi.Sheria ilishaweka utaratibu maalum wa kuzuia ndoa kufungwa kwa wale wenye malengo ya kufanya hivyo. Badala ya kutumia fujo,mabaunsa na...
Mahusiano au ndoa mwanzo wake unakua mzuri sana kila mtu anakua na juhudi kwa kila kitu mitoko mingi, kupeana zawadi na manjonjo ya kila aina wakati wa tendo la ndoa.Kadiri mahusiano ynavyokua...
Wadau hope mko fine.
Nimekua nikifuatilia matukio mengi na changamoto tunazokumbana nazo kuwa mara nyingi utokana na tabia za wivu.
* Fulani mambo yake yanaanza kubadilika toka apate kazi yake...
TAFADHALI KUWA NA HURUMA.
Sio sawa kabisa kuingia katika mahusiano na mtu na kumfanya atengeneze hisia za kukupenda wewe, kumfanya mtu aamini kuwa wewe ni wa tofauti na wale wote ambao wamekwisha...
Nina bahati mbaya sana na huyu mume wa mtu, jirani yangu.
Siku moja mke wake kaniita shemeji naomba uje unipe ushauri, kwa heshima na tahadhima nikaenda, tukawa tumekaa kitako akinieleza masahibu...
Tujadili pamoja,tabia ya umalaya,husababishwa na nini hasa,na ni kundi gani ndani ya jamii linaloongoza? Yaani wanandoa,wanafunzi, house girls,wamama wa nyumbani,wafanyakazi,ma bar maida au?...:)o_O
toka nimeanza kutumia mitandao ya kijamii fb,twitter na jamii forums naonaga watu wanatafuta wachumba.
SWALI: hv ni kweli kuna m2 ameshawahi kumpata na wakakaa nae zaid ya miaka 5 kama yupo aseme .
Kwanza nikiri wazi kuwa mada ya "Ulishawahi kujutia mchepuko?" ndo imenikumbusha hii habari ya huyu bwana nikaona nishee nanyi pengine kuna kitu cha kujifunza.
Ni mume mwenye mke wa ndoa kabisa...
Mimi ni kijana wa kiume nnaejielewa vzuri tu. Natafuta mchumba awe na umri kuanzia 24-30yrs, elimu kuanzia kidato cha nne, awe mkristo na mkazi wa Dar es salaam. Its seriously wanajamvi tuache...
Mimi ni kijana mabaye nimeoa na nimebahatika kupata watoto wawili na huyo mke wangu. Mimi ni mtu ambaye sipendi kuanika sana mambo yangu na familia yangu hadharani hasa kwenye social media. So hio...
Unaweza kusema unampenda mtu kisha ukamuongoza katika njia zisizofaa? Unaweza kusema unampenda mtu kisha anapokosea unakaa kimya? Unaweza kusema unajali? Je huu ni upendo wa kweli?
Wenye upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.