Kwanini wanawake wengi huchukia jinsia yao?

Kwanini wanawake wengi huchukia jinsia yao?

lil wayne

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2016
Posts
992
Reaction score
905
Kama mada inavyojieleza...

Nimepata kuwahi kukutana na kusikia tena kwa masikio yangu ya nyama wanawake walio wengi wanatamani kuwa wangezaliwa wakiwa na jinsia ya Kiume.

Wengi wao wanasema kama wangepewa priviledge na Mwenyezi kuchagua kati ya Jinsia ya "KIKE" au "KIUME", wangependelea jinsia ya KIUME badala ya KIKE.

Ila binafsi sikuwahi kupata Mwanamke/Mwanadada akanieleza kwa kina kabisa kwanini aendelee jinsia ya kiume badala ya kike.

Nahitaji majibu kutoka kwa Wanawake wa JF... Hata kama wewe ni wa kiume na umebahatika kujua/kuambiwa/kuelezwa sababu unaweza kutueleza hapa kwa faida ya wanajamvi wenye swali kama hili.

Nawasilisha.
 
huo utafiti umefanyia wapi?
mimi navopenda nilivoumbwa na papuchi?
sijui ningeumbwa bila papuchi ingekuwaje yaani
papuchi ilivotamu? weee toa uzi wako wa uongo hapa
prouldly woman!!!!!!!!!!!!!
 
huo utafiti umefanyia wapi?
mimi navopenda nilivoumbwa na papuchi?
sijui ningeumbwa bila papuchi ingekuwaje yaani
papuchi ilivotamu? weee toa uzi wako wa uongo hapa
prouldly woman!!!!!!!!!!!!!
Sijamaanisha wanawake wote. Nimesema baadhi yao.
 
huo utafiti umefanyia wapi?
mimi navopenda nilivoumbwa na papuchi?
sijui ningeumbwa bila papuchi ingekuwaje yaani
papuchi ilivotamu? weee toa uzi wako wa uongo hapa
prouldly woman!!!!!!!!!!!!!
SASA KAMA PAPUCHI TAMU SI NDIO RAHA UNGEZALIWA WA KIUME ILI UITAFUNE VEMA
#Huu mchezo hauhitaji hasira...
 
mh! Ngoja waje wenyewe. Me sijabahati kuambiwa hivyo.
 
Umesema umesikia kwa masikio yako ya nyama. kwani kuna wanao sikia kwa masikio ya bati?
 
hata house girl wetu one day aliwahi kuniambia bora angezaliwa dume
 
Mie si wish kua mwanamme manake majukumu yao mengi,hua wakati mwengine namuonea sana huruma mwanamme
nahisi majukumu yao ni mengi sanaa...napenda niwe hivi hivi Mwanamke nideke mpaka basi...lol
 
Wanachoka kuingia kwenye hedhi kila mwezi, kubeba mimba, kuzaa
 
Wee kupelekewa moto daily unafikiri ni kitu kizuri? Bado kuna ishu ya kumwaga oil na kubeba mimba.. MI nasema Wana haki kujichukia
 
huwaga wanasema bila kuangalia upande wa pili
hata wanaume pia wana shida zao
kwahiyo ulivoumbwa ridhika tu
 
Kama mada inavyojieleza...

Nimepata kuwahi kukutana na kusikia tena kwa masikio yangu ya nyama wanawake walio wengi wanatamani kuwa wangezaliwa wakiwa na jinsia ya Kiume.

Wengi wao wanasema kama wangepewa priviledge na Mwenyezi kuchagua kati ya Jinsia ya "KIKE" au "KIUME", wangependelea jinsia ya KIUME badala ya KIKE.

Ila binafsi sikuwahi kupata Mwanamke/Mwanadada akanieleza kwa kina kabisa kwanini aendelee jinsia ya kiume badala ya kike.

Nahitaji majibu kutoka kwa Wanawake wa JF... Hata kama wewe ni wa kiume na umebahatika kujua/kuambiwa/kuelezwa sababu unaweza kutueleza hapa kwa faida ya wanajamvi wenye swali kama hili.

Nawasilisha.
Jamii hasa wanaume wamewanyanyasa sana wanawake
 
Sijawahi kusikia hizo kauli kwa wanawake ataa kwa bahati mbaya.
 
huwaga wanasema bila kuangalia upande wa pili
hata wanaume pia wana shida zao
kwahiyo ulivoumbwa ridhika tu
Hata mwanaume awe na shida kiasi gani.... Sijawahi kusikia akisema anatamani kuwa mwanamke au anatamani angezaliwa mwanamke.
 
Hata mwanaume awe na shida kiasi gani.... Sijawahi kusikia akisema anatamani kuwa mwanamke au anatamani angezaliwa mwanamke.
hahahahaahaha kwa 7bu kitendo cha kutamani kuwa mwanammke ni upunga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna jirani yangu ni KE tena ameenda age sana ila anajua kudaka vijana wa kitaa mpaka
wameisha sasa siku 1 alipowaona mabinti wazuri akasema 'ningekuwa mwanaume ningeshawagonga sana hawa mabinti wote na mimba juu!!!!' so mtoa mada hizi kauli hutokea kwa reason na wala usimaanishe,,,, mostly huwa na homon 2 yaan jikedume.
 
kuna jirani yangu ni KE tena ameenda age sana ila anajua kudaka vijana wa kitaa mpaka
wameisha sasa siku 1 alipowaona mabinti wazuri akasema 'ningekuwa mwanaume ningeshawagonga sana hawa mabinti wote na mimba juu!!!!' so mtoa mada hizi kauli hutokea kwa reason na wala usimaanishe,,,, mostly huwa na homon 2 yaan jikedume.
 
Back
Top Bottom