Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi heri lee nahisi nina tatizo kwani kila nikiona demu yeyote hapa chuoni natamani nimtongoze nina miaka 20 na najitahidi kuepuka lakini imeshindikana na nisipofanya hivyo nakuwa na mawazo kutwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Huu ni ukweli usiopingika kua kwa sasa kutafuta wachumba na marafiki kumekua mara dufu ya zamani katika jukwaa letu la kutafuta wachumba na marafiki kupitia LOVE CONNECT, Au tuseme huko nyuma...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Kwa aliye tayari kuwa mke anakaribishwa vigezo kama vifuatavyo. awe na elimu atleast form four kazi si lazima awe nayo kabila lolote rangi yoyote umri 20-26yrs Kwa aliye serious aje PM tupate...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
habari zenu jamani...moja kwa moja kwenye mada mimi nina umri zaidi ya miaka 30 na mpaka sasa sijawahi kumtongoza mwanamke uso kwa uso...yaani mie domo zege. toka nikiwa na miaka 24 nimekuwa mtu...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika suala la kuolewa nimekubali kucheza kwenye harusi za mwenzangu na nimeamua kubaki kuwa mtazamaji kwetu wakinichoka nitaenda kupanga niendelee na maisha. Nitawatazama tu wanawake wenzangu...
9 Reactions
147 Replies
17K Views
Wasee niajeee? My story, sahii naandika niko kwa keja ya mbochi wa Akina Lisa. For the time being huyu mbochi anachorwa na professor wa UoN na mimi ni mstudent wa hiyo Campo na huyo profo...
5 Reactions
100 Replies
16K Views
Mimi ni MWANAUME mtu mzima naitwa ROBIE.Kwa heshima kubwa napenda kutafuta mwanamke awe mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,awe aliyeamua kuishi maisha ya kulinda afya na ambae...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Queen Elizabeth said, 'If you love an Army Officer, raise your glass.. And if an Army officer loves you.. Raise your head and walk like a QUEEN'. UNQUESTIONABLE LOYALTY We have a high calling...
5 Reactions
86 Replies
13K Views
Hivi ni kweli kuwa unaweza kumtazama mtu machoni na kuelewa nia yake au kama ni mnafiki, kuna jambo anafahamu, au kakutenda, kafanya mauaji hivi inawezekana? Wana saikolojia na wengineo naombeni...
3 Reactions
27 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu. Mke wangu amejifungua siku za hivi karibuni lkin namna ya kuishi humu ndani imebadilika saa ni hiv..Mtoto wetu mchanga hana kawaida ya kulala usiku yeye ni mchana tu. Ikifika...
1 Reactions
46 Replies
19K Views
NIMEIKUTA MAHALI NIKAONA NI VIZURI KU-SHARE Kuna dada mmoja nikikuwa namfahamu miaka mingi sana. Kama miama 15. Kipindi hicho tukiwa ni wasichana wa miaka 25. Dada huyo ghafla akawa na mahusiano...
16 Reactions
112 Replies
14K Views
Habari zenu! Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni. Ukimtazama sana...
8 Reactions
136 Replies
17K Views
I had this conversation with a girl I was seriously thinking of getting married to. WE were good friends, but not quite madly in love. Did I make the wrong decision? What would you do if you were...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Wapendwa nina dada yangu ambaye amezaa mtoto mmoja na mzazi mwenzake awali walikubaliana na huyu mzazi mwenzake wazae lakini mara baada ya kushika mimba jamaa alibadilika akagoma kutoa matumizi...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Maisha ni mapambano ambayo mwisho wake ni kifo tu..Na kumekuwa na changamoto kadha wa kadha ambazo hutu-keep busy sana tuwapo hai na ghafla hujikuta kwenye nyumba yetu ya milele tumepumzishwa ili...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Story ipo hivi kulikuwa na mdada ambaye alizaa na kaka yangu wakaja wakaachana. Huyo dada alikuwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto wa kike. Dogo huyo mi ndo natembea nae. Jamani nyie...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
27-35 pm tuyajenge uwe wangu wife ila usiwe na mtoto.
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wana JF. Nina ndugu yeye yupo kwenye ndoa toka akiwa mwaka wa pili na anamaliza elimu yake ya juu(Engineering) mwaka huu. Katika stori za hapa na pale tukawa tumegusia hilo suala la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini, Kongamano lilirushwa ITV leo asubuhi, Topic yao walidai usawa katika uongozi serikalini baina yao na wanaume. Walilalamika kuwa wanakutana na changamoto kama kuombwa rushwa ya ngono...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Mimi ni mkazi wa Kanda ya ziwa, ni muajiriwa serikalini na mwanamke mrembo wa ndoto zangu anahitajika. Vigezo awe mkristo na umri kuanzia miaka 22
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Back
Top Bottom