Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

I had this conversation with a girl I was seriously thinking of getting married to. WE were good friends, but not quite madly in love. Did I make the wrong decision? What would you do if you were...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Wapendwa nina dada yangu ambaye amezaa mtoto mmoja na mzazi mwenzake awali walikubaliana na huyu mzazi mwenzake wazae lakini mara baada ya kushika mimba jamaa alibadilika akagoma kutoa matumizi...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Maisha ni mapambano ambayo mwisho wake ni kifo tu..Na kumekuwa na changamoto kadha wa kadha ambazo hutu-keep busy sana tuwapo hai na ghafla hujikuta kwenye nyumba yetu ya milele tumepumzishwa ili...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Story ipo hivi kulikuwa na mdada ambaye alizaa na kaka yangu wakaja wakaachana. Huyo dada alikuwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto wa kike. Dogo huyo mi ndo natembea nae. Jamani nyie...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
27-35 pm tuyajenge uwe wangu wife ila usiwe na mtoto.
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wana JF. Nina ndugu yeye yupo kwenye ndoa toka akiwa mwaka wa pili na anamaliza elimu yake ya juu(Engineering) mwaka huu. Katika stori za hapa na pale tukawa tumegusia hilo suala la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini, Kongamano lilirushwa ITV leo asubuhi, Topic yao walidai usawa katika uongozi serikalini baina yao na wanaume. Walilalamika kuwa wanakutana na changamoto kama kuombwa rushwa ya ngono...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Mimi ni mkazi wa Kanda ya ziwa, ni muajiriwa serikalini na mwanamke mrembo wa ndoto zangu anahitajika. Vigezo awe mkristo na umri kuanzia miaka 22
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Habarini Wadau, Nimeishi kaskazini kwa muda mrefu, Binafsi sijawahi kusikia wala kuona kidume anayeoa akipeleka mahari babati, Mbulu, karatu au kokote wanapotokea wambulu. Wengine wanadai bila...
0 Reactions
34 Replies
10K Views
Kiukweli wale walio oa wanawake ambao siyo mabikira maria mnahitaji pongezi sana,mimi binafsi nilishwindwa mpaka pale nilipopata mke bikra nikaoa,wale mliotolewa bikira zenu mtanisamehe bure maana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jamvi? Nimekuja kwenu kuomba kibali cha uhalali kama ni haki kumuandaa binti angali mdogo kabisa ili uje kumuoa baadae. Nasema hivo maana hawa age-mate wenzangu kambi ya upinzani...
6 Reactions
119 Replies
9K Views
Kwa aliye tayari na seriously naomba asome vigezo hv Awe Muislam Awe mcha Mungu Awe na umri 18-22 Awe na elimu kuanzia kidato cha 6 na kuendelea. Awe muelewa na mshauri mzuri Asiwe na stress zake...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Nimekuwa nikijiuliza hili jambo mara kwa mara na kila nikitaka kuliwasilisha kwenu kwa kuwauliza nilikuwa nasahau ila namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa leo nimeweza kulikumbuka hivyo basi kabla...
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Jamani leo ngoja niwaulize, kuna hii kitu ya kwamba nyie mnapenda sana pesa na kwamba hata mnapoolewa mnaangalia sana mambo ya pesa kwa anayewaoa. Hii kitu ni ya ukweli jamani maana sisi wanaume...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Sekta ya ukandarasi hapa nazungumzia wajenzi wa miundombinu; madaraja, barabara, Majengo, nk Wafanyakazi wa hii sekta wamekua waharibifu sana wa wanawake ukifuatilia sehemu walipopiga kambi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu wazima? Mke wangu amekuwa mtu wa kuongea maneno yasiyoisha. Wakati mwingine mnaweza mkapishana na mkaombana msamaha yakaisha lakini anakuja anakumbushia tena. Mara nyingi ninakuwa nipo...
1 Reactions
93 Replies
13K Views
Huwa nashangazwa saaaaana na jambo hili: Binti akikaribia kuolewa anatafutiwa mtu wa kumfunda mambo ya ndani (chumbani), wenyewe wanaita Kungwi. Basi anapikwa, anachemshwa, anakaangwa...
16 Reactions
76 Replies
13K Views
They are all over!
1 Reactions
309 Replies
27K Views
Habari wana jamii.. Nimekuja kulimwaga hapa ili nipate ahueni ya moyo. Kwa wale watakaojifunza lolote na iwe hivyo. Ni miaka miwili sasa nimekuwa na huyu mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana hata...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Sijaolewa wala sijui kama nitaolewa maana sina hata boyfriend! Huwa nashangaa sana wanawake wenzangu walioko kwenye ndoa wakiwa na mizozo na wanaume zao eti wanajishughulisha na wanawake wengine...
10 Reactions
166 Replies
15K Views
Back
Top Bottom