Wanawake njooni niwaulize kitu, ni kweli mnapenda pesa au tunawasingizia?

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Nov 2, 2012
1,224
1,249
Jamani leo ngoja niwaulize, kuna hii kitu ya kwamba nyie mnapenda sana pesa na kwamba hata mnapoolewa mnaangalia sana mambo ya pesa kwa anayewaoa.

Hii kitu ni ya ukweli jamani maana sisi wanaume tumekuwa tukiamini kwamba nyie macho yenu yapo kwenye pesa.

Lakini cha ajabu tumekuwa tukiwasemea lakini hatujui mioyoni mwenu mkoje hebu mnihakikishie nyie wenyewe kama ni kweli au sio kweli na kwamba jamii inawaangalia kwa jicho hasi au ndio ukweli wenyewe ndio huo.

Nataka maoni yenu wanawake halafu mimi nitahitimisha
 
hatupendi hela mambo ndo mengi
less wigi laki tatu
pochi elfu 50
viatu elf 45
bikini elf 10
make up mac au manjano 100,000
lunch kwa mwezi 150,000 mdada mthuri atapigaje mihayo ofsin lunch time?
chumba laki 4
mwenye gari mafuta laki 1 kwa mwezi
wazazi 150,000 kijijini kila mwezi
michango mashosti ,kitchen party ...sare zawadi 150,000
pedi 5000
vifaa vya nyumbani misosi sabuni vipodozi 150000
mshahara laki 3
tufanyeje kaka?
 
hatupendi hela mambo ndo mengi
less wigi laki tatu
pochi elfu 50
viatu elf 45
bikini elf 10
make up mac au manjano 100,000
lunch kwa mwezi 150,000 mdada mthuri atapigaje mihayo ofsin lunch time?
chumba laki 4
mwenye gari mafuta laki 1 kwa mwezi
wazazi 150,000 kijijini kila mwezi
michango mashosti ,kitchen party ...sare zawadi 150,000
pedi 5000
vifaa vya nyumbani misosi sabuni vipodozi 150000
mshahara laki 3
tufanyeje kaka?

hahahahahahahahha
 
hatupendi hela mambo ndo mengi
less wigi laki tatu
pochi elfu 50
viatu elf 45
bikini elf 10
make up mac au manjano 100,000
lunch kwa mwezi 150,000 mdada mthuri atapigaje mihayo ofsin lunch time?
chumba laki 4
mwenye gari mafuta laki 1 kwa mwezi
wazazi 150,000 kijijini kila mwezi
michango mashosti ,kitchen party ...sare zawadi 150,000
pedi 5000
vifaa vya nyumbani misosi sabuni vipodozi 150000
mshahara laki 3
tufanyeje kaka?
Duu dada zetu kwa cost hizi mtasubir sana
 
hatupendi hela mambo ndo mengi
less wigi laki tatu
pochi elfu 50
viatu elf 45
bikini elf 10
make up mac au manjano 100,000
lunch kwa mwezi 150,000 mdada mthuri atapigaje mihayo ofsin lunch time?
chumba laki 4
mwenye gari mafuta laki 1 kwa mwezi
wazazi 150,000 kijijini kila mwezi
michango mashosti ,kitchen party ...sare zawadi 150,000
pedi 5000
vifaa vya nyumbani misosi sabuni vipodozi 150000
mshahara laki 3
tufanyeje kaka?
Kila tumizi moja na mhudumiaji wake so jumla michepuko kumi.
 
diego_2897678b.jpg
 
Kwa mimi mapenzi na mahaba motomoto kwanza, pesa hazinikimbizi naweza hudumia nikipenda mtu haswaaaaaa. Naongelea hata mume sijali kama anazo au hana hainisumbui najua kusaka zangu ila asichezee zake ovyo nitamnyoosha ahudumie hata pedi aninunulie mara kadhaa...
 
hatupendi hela mambo ndo mengi
less wigi laki tatu
pochi elfu 50
viatu elf 45
bikini elf 10
make up mac au manjano 100,000
lunch kwa mwezi 150,000 mdada mthuri atapigaje mihayo ofsin lunch time?
chumba laki 4
mwenye gari mafuta laki 1 kwa mwezi
wazazi 150,000 kijijini kila mwezi
michango mashosti ,kitchen party ...sare zawadi 150,000
pedi 5000
vifaa vya nyumbani misosi sabuni vipodozi 150000
mshahara laki 3
tufanyeje kaka?
I swear, i will never enter into relationship!.....i rather die lonely!
 
kwenye gentlemen prefer blondes wanasema mwanaume mwenye pesa ni sawa na mwanamke mzuri. kama wanaume tunavyopenda wanawake wazuri ndivyo wanawake wanapenda wanaume wenye pesa. hakuna dhambi.
 
Kiruuu huku bei ya sukari jasho wigi tena yewomiii hilo wigi kwa nn lisiwe linapakwa rangi tuu
 
Jaman mnatusingizia sana tuu,kwenye msafara wa mamba na kenge wapoo.

Kuna wanawake au wadada wanapesa zao kiac cha kuendesha ndoa had mapenz hao je?

Shida mnapenda vizurii mkiambiwa muhudumiyee hamutaki.mnakuja mbio huku kulalamika oooh wadada wanapenda kupiga mzinga.

Nawasikia sn nilige***da dem mkali san,au yle dem kiukwel mkali xuuuuuu nani kamuhudumia mpaka umemkuta mkal?

Penda wa saiz yako sio kulialia humu.
 
Back
Top Bottom