Jamani naombeni ushauri kwa hili?

kcnan

Member
Jun 1, 2016
11
1
Story ipo hivi kulikuwa na mdada ambaye alizaa na kaka yangu wakaja wakaachana. Huyo dada alikuwa na dada yake ambaye alikuwa na mtoto wa kike. Dogo huyo mi ndo natembea nae.

Jamani nyie mnanishauri vipi? Niendelee na mahusiano naye coz tunapendana.
 
story ipoo ivi kulikuwa na mdada ambaye alizaa na kaka anguu wakaja wakachaaa? - hapo part one
Uyoo dada alikuwa na dada yake - hapo part two
ambaye alikuwa na mtoto wa kike - hapo part three
ambaye ndo anatoka na mimi ni - hapo season finale

sasa wewe unaomba ushauri wa kipi hapo
 
Shemejii yng anadada yake ambaye ana kabinti ambaye mi ndo natoka nae jmn nazani nimeeleweka xo nyiee apo mnaonajee
 
Mkuu Hakuna tatizo kama ndoa hawakufunga bali walizaa tu basi we endelea kutoka na huyo mtoto
 
We we unaye omba ushauri yaonyesha bado upo shule ya secondary.Hebu maliza shule kwanza
 
Back
Top Bottom