El nino jr
Member
- Aug 7, 2014
- 66
- 24
Kiukweli wale walio oa wanawake ambao siyo mabikira maria mnahitaji pongezi sana,mimi binafsi nilishwindwa mpaka pale nilipopata mke bikra nikaoa,wale mliotolewa bikira zenu mtanisamehe bure maana sasa kila mtu anataka kuwa wa kwanza kwa mkewe.