Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nani keshawahi kuambiwa hivyo na mtu ambaye anataka kutoka naye? Nimefanya kautafiti kadogo kasiko rasmi na kugundua kwamba, hususan kwa wadada, kama kuna mkaka kawatokea na kama wao hawamfeel...
6 Reactions
209 Replies
16K Views
Hizi siku tatu hasa kuanzia siku ya Ijumaa nilikuwa mapumzikoni kidogo, baada ya kuchoshwa na kazi ngumu ya kujenga hili Taifa la Tanzania. Sasa nimekuwa nafanya mambo ya kupumzisha akili ikiwemo...
16 Reactions
45 Replies
6K Views
Haya kama kawaida, wale tusiokuwa na viburudisho tushinde hapa. Kama wewe ni mwanaume una swali lolote kuhusu sisi wanawake uliza mashost zangu wamewasili tena kutoa majibu. Ila angalizo...
6 Reactions
108 Replies
17K Views
"Nataka Ramadhan ijayo wewe ndo uwe wa kunipikia futari. tena zuuuri, unaonekana unajua sana" nikatamani nimuulize jina lake la JF nimtag thread yangu ya I''m too lazy to be a housewife. hivi...
5 Reactions
53 Replies
7K Views
Mhhhm kama bado mna still struggling to find a husband at an old age...because you're looking for a perfect man, Mhhm I think something is certainly wrong with you...Hivi bado hamjasikia ule msemo...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mimi sina ma EX katika maisha yangu lakini kuna mwanamke niliwahi kumpenda na sijawahi kumuambia nampenda, sasa nime move katika another section na na yeye ndo kawa kama team leader wetu, sa mara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ninaishi Shinyanga mjini. Naangalia na kutafuta fursa ya kumpata rafiki wa kike katika viunga vya mjini hapa. Urafiki huu utalenga kufikia ushirikiano wa kirafiki kulingana na mahitaji ya pande...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Asalam Alaykum, All praise is to Allah, the most beneficent, the most compassionate, the Sustainer and Cherisher of the Worlds, the Supreme.May His blessings be on Prophet Muhammad (SAW), his...
7 Reactions
62 Replies
22K Views
Habari wanajamvi,baada ya kutemana na kale kabinti kanakonuka mdomo,na kutemana na mama watoto wangu kwa sababu watu walimfumua sehemu zisizohusika(0713..).nikaona nitafute mtoto mwingine,nikapata...
5 Reactions
47 Replies
6K Views
Hii ni miguu ya yule mama ambaye amekuzaa na kukulea handsome wewe unayeng'aa na kuzungusha round ya laki na ishirini huku mkononi unazungusha kiufunguo chako cha alteza uliyokopa baada ya...
10 Reactions
47 Replies
5K Views
Habari ya leo! Niko Dar, nafanya kazi, niko single, sina familia, najitegemea, nina miaka 34. Natafuta mchumba mwenye kujiheshimu, anayejua anataka nini maishani mwake, aliye kwenye umri kati ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Naomba ni share na ninyi niliyojionea nilivyoenda likizo yangu ya mwaka. Kwanza kabisa likizo yangu ilikuwa na madhumuni makuu mawili 1.kuonana na mchumba Wangu ninayetarajia...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu, Naomba kujua juu ya hili suala la ndugu wa mume.Eti wanajamii kuna faida au hasara zozote za kupendwa na ndugu wa mme/mke?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Shost alikuwa na mapenzi kwa boy friend wake, alikuwa anakwenda for a week, wakati huo ni mwanafunzi. Majibu yalipotoka amepiga chini, basi aliamua kuhamia kwa jamaa mazima. Walianza kuishi kama...
10 Reactions
223 Replies
16K Views
Mwanzoni nilidhani ni utani, ila mpaka nilipokuja kuiona picha ukiwa ndani ya shela na tabasamu kubwa lisilo hata na tone la huzuni moyo wangu uliumia sana. Nikaanza kutafakari toka mbali kwa...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Habari wakuu, Nahitaji msaada wakuu kuna sister nilkuwa nimezoeana nae kama dada yangu ila kwa sasa moyo wangu umempenda yeye na ninahitaji kuanzisha mahusiano nae ili tuweze fika katika malengo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi, Mimi ni kijana ninatatizo lakutokujiamini hasa ninapokuwa natao speech kwenye kikundi cha watu kuanzia 60 na kuendelea.Lakini kikiwa ni kikundi cha watu kama kumi huwa mimi...
2 Reactions
32 Replies
6K Views
Huwa wanaume wana tabia za kutoa siri za wanayowafanyia wasichana wao faragha wakitoka kudo. Hii siyo siri mimi inaniuzi sana umetoka kudo unapiga stori masela zako jinsi mlivyofanya hadi kaa...
3 Reactions
88 Replies
16K Views
Ndugu wana jukwaa, ninaishi na mwanamke wa miaka 23 tuna mtoto mmoja. Kwa sasa nipo masomoni ktk moja ya vyuo vikuu hapa nchini ambapo Natarajia kumaliza mwakani. Mwenzangu anaishi mkoa...
2 Reactions
111 Replies
9K Views
Habari wanajamvi?? Mi mwenzenu nadhani wote mnajua kwamba nina watoto watatu wa mama tofauti,SEAN,TRAVIS,MOUREEN.sasa huyu mama MAUREEN huwa tunarumbana mara kwa mara(ana mdomo sana).sasa...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom