Am a man having 28 yrs, mwajiriwa goernment, mrefu, mweusi, mpole, mcha Mungu, dume halisi, mwenye uelewa na mahusiano. Binti wa vigezo hivi naoa fast 1) mcha Mungu (christianity) 2)mwenye true...
Habarini!
Naomba kujuzwa kuna katabia kakuwavalisha watoto wachanga pindi wanapokuwa wamezaliwa hasa hasa nyeusi, huwa sielewi nimeona kwa wengi sana bila kupata jibu la uhakika.Ila kuna mmoja...
Habari zenu,
Nakaribia miaka 35.Nipo ndani ya ndoa kwa muda wa miaka nane(8) sasa.Nina watoto wawili.
Tatizo langu ni kuwa maisha ya ndoa yamekuwa very boring.
Hisia zangu kwa huyu mwanamke...
Baada ya kupata elimu ya kutosha namna ya kupata mtoto wa kiume na nikapractice na kufanya kweli.
Sina maana kwamba watoto wa kike hatuwahitaji la hasha, lengo la thread hii ni kuwapa inteligency...
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Wanawake wa kichagga na kihaya wanatumalizia ndugu zetu. Yaani hawa wanawake ni so strategic, wananyatia wanaume (hata simba na ufundi wake wa kuwinda hawafikii)...
Mmmh! Najua wazee wakuchepuka wamevutiwa na heading sana.
Iko hivi kama una mke au mume na humuamini unahisi kabisa ana mtu nje fanya njia hii kupata uhakika ila angalizo kama huna moyo mpana...
Habari zenu wanajamii forum.Kama mnavyujua miaka ya karibuni wanawake wamekuwa kimaslahi zaidi yaani macho yapo kwenye pesa lakini mimi binafsi najiuliza hizo pesa wanapeleka wapi maana sioni...
Hivi ni hulka, ushamba, umasikini, ulimbukeni au tamaa ya fedha kwa dada zetu vyuoni kujihusisha kimapenzi na watu wazima kama wazazi wao? I ask so because have experienced, my x tried to lie...
Kama uko kwenye mahusiano ambayo yana kimoja kati ya haya, haraka sana jitoe, okoa muda wako na upendo wako unaopoteza:
1.Kama uko kwenye mahusiano na mwenzio anataka umvulie nguo ndio atajua...
Wana jamvi salaam
Najua huku kuna wataalam wa saikolojia. Hivi ntajuaje kama mpz wangu ametoka kuchapana kugegedana nikimuangalia tu kwa macho. Je kuna ishara fulani huwa inajionyesha kuwa...
Wapendwa
Sio mara nyingi nimekuwa nikipost hapa...nimekuwa msomaji mzuri tu wa mabandiko mbalimbali na nimejifunza mengi kupitia post na michango yenu.
Kiukweli niko njia panda ndugu zangu,Niko...
Maskini amekuwa mtumwa kwenye ardh/kiwanja alichonunua,nyumba aliyojenga lakini hajafaidi matunda ya furaha ya ulimwengu huu lakini tayari ameshawekwa kwenye himaya ya mwanamke
Sijafurahishwa na...
Nawasalimu wote
Nilimuoa mke wangu wakati akiwa na mtoto mkubwa wa darasa la saba, Mimi nimezaa nae watoto wawili, tulifunga ndoa bomani kutokana na utofauti wa dini
Tatizo linaloninyima...
Habari zenu bandugu.
Msaada wa ushauri mwenzenu.
Leo nimekutana na x ambaye ni muda wa miez 6 sasa ushapita toka tuachane sababu alitia mwanake mwingine mimba, iliniuma sana sababu nilimuamini...
Salaam wana-JF wenzangu,
Kama ilivyo ada wahenga walisema Mungu hakupi vyote na pia hakunyimi vyote.
Unaweza ukakuta mwanaume anavutia sana (handsome) na anagombaniwa na mabinti wengi ila hana...
Nakumbuka niliweka appointment kukutana na baby wangu hotel moja hivi, mfukono nilikuwa na elfu hamsini nilipanga kula naye lunch tu nikiamini itatutosha.Ghafla mpenzi wangu akaja na wenzake...
Wadau poleni na swaumu,
Jamani naombeni kujua mke mzuri ni yupi?mwenye kazi au asie na kazi?achana na tabia tuangalie upande huo,je kuna faida au hasara ya kuwa na mtu ambaye ana kazi au hana...
Habari zenu wakuu,
Natumaini wote mpo poa kabisa.
Naombeni experience hasa wale wanaozaa. Mabibi watu wazima wanapomuona mwanamke anayekata mauono sana akiwa anacheza muziki, huwa anamhurumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.