Ndoa nyingi za wasomi zinavunjika na zingine zipo taabani dhoofu, leo nizungumzie kidogo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika na kuwa na migogoro isiyo isha,
Nianze na wanawake
Mara nyingi mabinti...
Salaam wanaJF,
Nimebahatika kuishi na wasaidizi wa kazi za ndani kwa vipindi mbalimbali na kujionea maswahibu yao kama ifuatavyo.
Nikiwa na umri wa miaka sita tulikuwa na dada wa kazi na kila...
Wakuu poleni na jitihada za Serikali ya awamu ya tano ya Magu kwa kubana Mianya ya kupiga madili ya kibabe.
Binafsi nikiwa muathirika wa jitihada hizo madili yangu mengi yamezorota,ili kuendana na...
Leo nlimtuma mshenga na ancle wangu kuchukua majibu ya posa na thamani ya Mahali cha ajabu wamepewa karatasi yenye mchanganuo wa vitu na thamani yake jumla wamepata laki 658000 hata siamini hapo...
Wadau nimefanya kajiutafiti, wanawake wenye makalio makubwa wana confidence compared to flat! Flat Mara avae jacket... Mara ajifunge mtandio.., we dar na joto Lote unavaa koti!
Najua vi flat...
Hamjambo wapendwa!
Ni kweli kabisa kwamba wanandoa huoana wakiwa na baadhi ya udhaifu ambao hutakiwa kubebeana ili waendelee kuishi katika furaha hata wazeeke wakiwa pamoja. Lakini wakati huo huo...
Ukiona simu ya mumeo ina majina mengi ya kiume basi ujue ni uwongo na kwamba kumbe yale majina mengi ni ya wanawake (michepuko) yake na hivyo hivyo kwa upande wa simu ya mkeo ukikuta ina majina...
Naandika huu uzi kwa hisia ni mkasa uliomtokea huyu dada wiki Jana.
Ilikua ni siku ya jumatano akamwomba Boss wake ruhusa ya siku mbili yaani Alhamisi na Ijumaa. Lengo ni kwenda jiji la mwendo...
Hapa kwenye nyumba nilipopanga tupo wapangaji wawili kama kila mtu upande wake .
Miezi miwili iliyopita nilikua likizo kwa hiyo mara kwa mara nilikua nawahi kurudi nyumbani.
Daah mara nyingi...
Siku hizi imekua kawaida tu kwa wanaume kukataa mimba na kama atakubali basi ni kutegeshea tu mtoto azaliwe aone kama wanafana. Mbaya zaidi vyakula vya siku hizi na madawa ya uzazi ndio balaa...
Habarin wapendwa,
Mimi nina rafiki angu wa karibu anamsongo wa mawazo nafikia point namuhurumia. Nimemfaham tangu tunasoma kidato cha tano. Tangu tunafahamiana wote hatukuwahi kuwa na uhusiano...
Alikuwa ni mpenzi ambaye tulidumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. Niligundua kanificha mambo mengi muda wote niliokuwa naye. Aliwahi zaa mtoto akafariki, ila mimi alinidanganya kuwa ana mtoto na...
Imefika mahali imenibidi niingie humu huenda nitapata mawazo mbadala ya kunisaidia kuondokana na hilinipo katika ndoa yapata miaka saba sasa.
Lakini hivi karibuni nimeanza kumuwaza sana mpenzi...
Mke wangu kipenzi,
Watu wote wameenda nyumbani kwao , mziki umezimwa, shamrashamra zimeisha. Harusi yetu ilikua nzuri mno ila sasa imepita. Tumemaliza harusi sasa ni muda wa kujenga familia yetu...
1. KUHONGA HUBORESHA MAPENZI:
Fahamu kuwa unapomhonga mpenzi wako unamfanya ajihisi kama ni wapekee kwako, atajiona kama ni mmoja wapo kati ya watu wenye thamani kwako na huamini kama kweli upo...
Kudos to all housewives.
hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?
nimepima weeee pamegoma kabisa.
kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.