Nitaenda tena kanda ya ziwa kila likizo

markbusega

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
826
846
Habari zenu wakuu.
Naomba ni share na ninyi niliyojionea nilivyoenda likizo yangu ya mwaka.

Kwanza kabisa likizo yangu ilikuwa na madhumuni makuu mawili

1.kuonana na mchumba Wangu ninayetarajia kufunga naye kifungo cha ndoa ya maisha

2. Kuwatembelea ndugu na jamaa.

Kwa kweli nilijikuta naingia mgogoro na nafsi yangu nakulazimika kujitafakari upya juu ya uamzi Wangu wa kuoana na mchumba Wangu.

Nisiwachoshe wakuu kiufupi wanawake wa kanda ya ziwa wamejaaliwa maumbo kwanza ni warefu na nyuma nmhuu! Ni shida.wanawake wenye Sifa hizi ndio waliozua mgogoro wa nafsi yangu.

Ilibidi tu kushikilia msimamo Wangu na mchumba Wangu kwa vile namkubali ananifaa katika maisha kwani mwanamke wa kuoa ni zaidi ya mwonekano wake kisura na umbo.

Nendeni kanda ya ziwa na nyinyi mkajionee na kujipatia wanawake wazuri
 
Habari zenu wakuu.
Naomba ni share na ninyi niliyojionea nilivyoenda likizo yangu ya mwaka.

Kwanza kabisa likizo yangu ilikuwa na madhumuni makuu mawili

1.kuonana na mchumba Wangu ninayetarajia kufunga naye kifungo cha ndoa ya maisha

2. Kuwatembelea ndugu na jamaa.

Kwa kweli nilijikuta naingia mgogoro na nafsi yangu nakulazimika kujitafakari upya juu ya uamzi Wangu wa kuoana na mchumba Wangu.
Nisiwachoshe wakuu kiufupi wanawake wa kanda ya ziwa wamejaaliwa maumbo kwanza ni warefu na nyuma nmhuu! Ni shida.wanawake wenye Sifa hizi ndio waliozua mgogoro wa nafsi yangu.
Ilibidi tu kushikilia msimamo Wangu na mchumba Wangu kwa vile namkubali ananifaa katika maisha kwani mwanamke wa kuoa ni zaidi ya mwonekano wake kisura na umbo. Nendeni kanda ya ziwa na nyinyi mkajionee na kujipatia wanawake wazuri

Mda ukifika nitaenda
 
heheheh kanda ya ziwa tatizo lao ni moja wagomvi sana yn hawapend peace.
 
Halafu wewe tutake radhi tunanukia samaki kwani tunaishi ziwani kma sangara tengua kauli
 
Umeshaambiwa mikoa ya kanda ya ziwa inaongoza kwa umasikini. Utaanza kuusambaza umasikini mikoa mingine.
Waoane wao kwa wao.
We, nani kafanya huo utafiti, Hebu kwa akili yako ya kawaida sema ni mkoa gani katika miongoni mwa mikoa hiyo ambayo ni masikini; ni Mara (ng,ombe, mbuzi, kondoo, mahindi, mihogo, samaki, kahawa, viazi vitamu na mviringo, mpunga, matunda ya kila aina, pamba, ndizi, dhahabu - yaani ni mkoa ambao kila zao linasitawi hususani Nyanda za Juu za Wilaya ya Tarime). Mwanza; (ng,ombe, mbuzi, kondoo, mahindi, mihogo, samaki, pamba, mpunga) Kagera (ng,ombe, samaki, kahawa, ndizi); Simiyu - (ng,ombe, mbuzi, kondoo, mahindi, mihogo, samaki, pamba, mpunga); Geita - (ng,ombe, mbuzi, kondoo, mahindi, mihogo, samaki, pamba, mpunga) na Shinyanga - (ng,ombe, mbuzi, kondoo, mahindi, mihogo, samaki, pamba, mpunga). Huo umasikini uko wapi ? Hebu taja mikoa yenye watu wavivu inafahamika.
 
Back
Top Bottom