Je, kuna faida/hasara zozote za kupendwa na ndugu wa mme/mke?

marrykate

JF-Expert Member
Mar 4, 2012
733
443
Wakuu,

Naomba kujua juu ya hili suala la ndugu wa mume.Eti wanajamii kuna faida au hasara zozote za kupendwa na ndugu wa mme/mke?
 
akupe kila aina ya upendo ila sio ngono. epuka sana ngono utamdhalilisha mkeo.
huyo ndugu kama atakupa wazo, pesa n.k huo ndo upendo ila sio penzi.
 
Wewe ukipatana na ndugu wa mumeo, hata mumeo anakuwa na amani. Maana ukifarakana na ndugu zake, mnakuwa mnamuweka kwenye situation mbaya zaidi, ashikilie upande upi. Ni vizuri kuishi na watu vizuri, acha tu wakwe hata watu wengine wanaokuzunguka tu
 
Wewe ukipatana na ndugu wa mumeo, hata mumeo anakuwa na amani. Maana ukifarakana na ndugu zake, mnakuwa mnamuweka kwenye situation mbaya zaidi, ashikilie upande upi. Ni vizuri kuishi na watu vizuri, acha tu wakwe hata watu wengine wanaokuzunguka tu
Wewe unataka watu wa initiate NGONO sasa,maana itkuja kuwa SHEMEJI SHEMEJI HUKU UNAZIMA SAA.
 
Hahahahaha

Usiseme kwa sauti....

Ila bana hakuna faida wala hasara...cha muhimu ni kuheshimiana na kujua mipaka/nafasi...... mengine mbwembwe tu

Faida ni amani ikiwepo
kuna in laws from hell ....ukisikia wamekuja unatamani ofisi ikupe safari ya ghafla
 
Ndugu wa mwanamke au mwanaume anayekupenda ni wa jinsia moja na wewe au wa jinsia tofauti..

Kama ni wa jinsia tofauti, tafuta kale ka wimbo ka shemeji shemeji mbona wazima taa.
 
Faida ni amani ikiwepo
kuna in laws from hell ....ukisikia wamekuja unatamani ofisi ikupe safari ya ghafla
Wapo.....
Yaani ukiwasikia unaumwa ghafla......

Ukikosa safari ya ofisi lazima kujisingizia kazi maalum.....mradi uondoke amelala urudi amelala....
 
Utapata faida kubwa sana duniani na hutaisahau maishani mwako nayo ni Kutatuliwa MALINDA jitahidi tu kutembea na wake za watu.
 
Hahahahaha

Usiseme kwa sauti....

Ila bana hakuna faida wala hasara...cha muhimu ni kuheshimiana na kujua mipaka/nafasi...... mengine mbwembwe tu

unajua kwa nini nimeuliza nina mashemeji balaa tupu, asubuhi mpka jioni wenyewe ni kupiga simu, sasa kaz yangu hii siwezi kuongea na simu muda wote huo wanaotaka wenyewe, na ukiwapigia baada ya kazi wananuna eti nimewazarau, siwapendi naa bla bla kibao,wenyewe wanataka niwe napokea wanapopiga, na mimi pia niwe napiga mda wote wote kama wao, mimi kwangu mawasiliano sio issue kabisa nawasiliana na mtu nikiwa a shida nae. sasaa yaani wananishangaza sana,
 
Back
Top Bottom