Habari wana JF,
Nauliza je kuna haja ya kuendelea kupina UKIMWI hata baada ya kupima katika zile nyakati za mwanzoni mwa uhusiano au kwakuwa wapenzi walisha pima wakati wa mwanzo wa uhusiano wao...
Wengi wanaotafuta wachumba humu huwa wanaweka na vigezo vya mwanaume wanae mtaka lakini huwa wanasahau kuweka na sifa zao zingine kama: mimi mchafu, mimi goigoi, mimi gume gume, mimi mgomvi, mimi...
Habarini wana JF,
Hivi tatizo la kuwa na hasira mara kwa mara na kuwachukia baadhi ya watu na hata ndugu wa karibu bila sababu yoyote tatizo huwa ni nini na ni kipi cha kufanya kuepukana na hii...
Habarini za weekend wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya njema..
Ni hivi mimi nina mpenzi wangu tuna miaka minne sasa toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano...
Habari JF,
Mwaka 2014 nilikuwa na uhusiano ni binti kwa muda mfupi kama wiki mbili hivi.Kuna siku alinipigia simu akaniambia hajapata hedhi na ameamua kupima majibu yanaonyesha ni mjamzito.
Mimi...
Nimekuwa nikiangalia sana mitindo ya mavazi hasa ya kina dada na kina mama. Mitindo ya nywele, mavazi, viatu, mapambo (acessories) na kadhalika.
Pia nimekuwa nikisikiliza maoni na sababu zao za...
Kwa uchunguzi wangu mdogo nliofanya, nimegundua kuwa wakaka wengi wanaovaa kisharobaro, eg juu kidugu plus waves, cheni za gold shingoni jeans, na supra au airforce mguuni huwa ni nadhifu kwa nje...
Wandugu,
Acha nitoe yangu ya moyoni hapa kama kuna mtu atakereka basi aniwiye radhi, kuna issue huwa inanikera kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii kama vile FB, hivi nini maana yake kutwa mtu...
Jamani hvi ni Sawa mwanaume anapotaka kuoa kuchangiwa mahari (SOLOSA AU MAGOHA kwa kibena na kihehe na watu au jamii sasa imekuwa fashion kijijini kwetu na ambapo ukiwachangia...
Habari....mimi ni kijana nina watoto watatu...Kwa bahati mbaya au nzuri nilishindwana na mwenzangu nikabaki na watoto.Kinachonishangaza wakati naendelea kulea watoto wangu naona idadi ya wadada...
Juzi nilikuwa na mwanangu nilimpeleka kutahili huyo mwanangu ni mwenye miaka sita lakini madaktari wakaniambia wamekatazwa kutahiri watoto wenye miaka chini ya kumi.
Nilipouliza sababu za hasa...
Imenigusa sana hii
Alichosema mama kwa Kijana wake wa kiume siku moja kabla ya kufunga ndoa.
Mummy’s man!
Wewe sasa ni mwanaume. Kuanzia kesho utakuwa na mwanamke mwigine wa maisha yako. Mpishi...
I have Been seeing this lady for 1 year now. She is a very beautiful Lady and we love each other so much. But something disturbs me so much. She has a Tattoo of her EX Boyfriend on her Butt...
Habarini wana jamvi,namshukuru Mungu TCRA wamenikosa, na pia siwazi sana maana simu feki zimeletwa na mchina na bahati mzuri hata huo mtambo wa kuzimia simu umeletwa na mchina, kwahiyo naamini...
Nimepanga maeneo ya uswazi fulani nyumba ina vyumba vinne na maliwato mawili kwa upande wa wapangaji ila mwenye nyumba ana choo chake ndani.
Kilichotokea sijui, narudi zangu kwenye harakati za...
Weekend hii iliyopita niliamua kushinda nyumbani tu, coz Friday nilikula pombe mingi sana, so nikasema wacha nibaki home tu, watching movies, playing with my kids etc at least to show my wife...
Sijui nina bahati mbaya au vipi?
Ninao marafiki wengi kiaina from primary school ,O level, A level, college, church, ndugu, majirani, past relationships etc. Huwa najitahidi kuishi nao vizuri...
KWA WABABA
Nimeombwa ushauri na kukoleza.
Inawezekana hii ikakugusa wewe na huenda hujawahi kutafakari ama umechukulia poa na hasa kama dhahiri mtoto amefanana na mama.
Inatokea kuna baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.