guest na Lodge ni sehemu ya kulala wageni kama mtu umesafiri na umefika sehemu nyingine na Huna mwenyeji sasa jana nimefika usiku mikoa ya nyanda juu kusini kuchukua chumba Lodge usiku kucha...
Mji huu una pilika nyingi sana kiasi kwamba muda wa kukutana na chaguo la maisha unakuwa mdogo. Hivi hakuna maeneo ambayo vijana wa kike kwa wanaume wanapoweza kukutana na kubadilishana mawazo?
Mimi naona mtoto ni bonge moja la project.
Mkiona muda umefika,
¶Kwanza mnaacha pombe mwaka mzima kusafisha mbegu na mayai, sio unazaa mtoto unawaza huyu kuna vinasaba anakosa? Binti yetu...
Hakuna utafiti unaoonyesha hasa idadi ya wanaume wanaolelewa,lakini kuna ushahidi wa kimazingira katika jamii ambao unazidi kushika kasi.
Je!vijana kupenda kulelewa ni ugumu wa maisha au ni uvivu...
kwanza nadeclare interest,mimi ni mfabiashara hapa downtown,nina frem yangu k/koo ambayo nalipia laki 9 kwa mwezi nafanya biashara ya Mpesa,aitel money na Tigopesa.
Aisee baada ya kufanya utafiti...
Mimi nina umri 27 rangi ya mwili maji ya kunde, mrefu wastani kazi yangu mtumishi wa serikali makazi kwa sasa nipo Sumbawanga Rukwa.
Nahitaji msichana mwenye upendo wa dhati na yuko tayari...
Kwa ambao hamja oa hebu tafuta cheo chako hapa.....
In case you are a man and not yet married,
these are the revised bachelor rankings...
18 - 22 yrs - Bachelor I
23 - 26 yrs - Bachelor 2
27 - 29...
Huwa nafikiria tu siku hii sheria ikapitishwa sijui itakuaje. Kwa kweli hawa watu siwapendi. Bora kwa sasa wanajificha wakifanya mambo yao,najiuliza tu wakitabuliwa na serikali watakavyojiachia...
Utamjuaje kama mtu anakupenda au magumashi. Moja katika maongezi yenu mwangalie vidole vyake kama vimenyoshwa wakati wa kuongea au vimekunjwa ukiona vimekunjwa ujue kuna ulakini. Pia soma elimu ya...
Naombeni mawazo yenu na ushauri pia,
Nilikuwa na mchumba na mahali alitoa ilibaki ndoa tu nikapata mimba kabla ya ndoa jamaa akasema mpaka nijifungue ndio tufunge ndoa kumbe alikuwa kampa binti...
Hi There,
Mimi ni mwanafunzi wa moja ya vyuo vilivyopo Dar es Salaam kwa ngazi ya Diploma ... Jinsia Ni KE, umri 21... Kwa kifupi napenda kutengeneza marafiki wapya kila siku na katika wao...
I would like to take this opportunity to thank you all for contributions you provided.
I also would like to thank all who sent pms, I tried to answer all pms as i received though I received more...
The subject refers,
I'm a man aged 27, living and working in Mwanza. I'm looking for any serious lady whom I can later make my wife.
She must be of not more than 26 years,A Christian and...
kichwa cha habari chahusika,katika maisha yangu ya kazi nimejifunza kitu kimoja muhimu sana,kwamba katika ofisi moja hakuna urafiki wa kweli kabisa. Nimejaribu kuwasikia mara kadhaa watu wakienda...
VIII. Sexual Immorality
An improper relationship with the opposite sex is probably the number one problem among teenage Christians. The increasing permissiveness of society has even entered into...
Hi guys, receive my greetings,
Mama wa bibi yangu amekua hapa kwetu for about two months now, she came for treatment, amepona 100% since one month ago, hii mwezi mwingine amekuwa akipumzika tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.