Ushauri tafadhali: Mpenzi wangu kakataliwa nyumbani

jem_the_great

JF-Expert Member
Aug 30, 2013
289
158
Habarini za weekend wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya njema..

Ni hivi mimi nina mpenzi wangu tuna miaka minne sasa toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano lazima muwe na mipango mingi ya maisha yenu ya kifamilia hapo badae mungu akijalia.

Kwa kuwa nampenda girlfriend wangu nikaona si vibaya kama nikienda nae nyumbani waanze kumzoea na yeye kuwafahamu ndugu zangu wengine.

Sasa baada ya kumpeleka nyumbani siku chache mbeleni nikawekewa kikao cha familia na kuambiwa kuwa mtu nilienae hanifai, ana background mbaya na hawapo tayari kijana wao niende kwenye hiyo familia.

Nilijitetea sana kumsafisha mpenzi wangu aonekane si mtu mbaya kama wanavyosema ila juhudi zangu ziligonga mwamba kabisa, na kuniambia nisiende nae tena nyumbani siku nyingine.

Naomben ushauri, je nimwambie mpenzi wangu hali halisi ilivyo? Maana toka siku hiyo akiniambia habari za yeye walivyompokea nyumban nafsi yangu inakuwa inanisuta..naombeni ushauri juu ya hili.
 
Ukweli hukuweka huru". Lakini pia hata yeye akishajua hakubariki atachagua aendelee kuwa na wewe ama atafute ustaarabu mwingine,Kuficha ficha hakutamaliza tatizo ila kuliongeza kumbuka demu wako kuna wengine anawakataa akijua wewe upo na tayari hatua kazaa umemuonyesha.
Ndugu si sehemu ya mapenzi yenu lakini jua wanamsaada mkubwa kwenye maisha kwa ujumla.
 
Ukweli hukuweka huru". Lakini pia hata yeye akishajua hakubariki atachagua aendelee kuwa na wewe ama atafute ustaarabu mwingine,Kuficha ficha hakutamaliza tatizo ila kuliongeza kumbuka demu wako kuna wengine anawakataa akijua wewe upo na tayari hatua kazaa umemuonyesha.
Ndugu si sehemu ya mapenzi yenu lakini jua wanamsaada mkubwa kwenye maisha kwa ujumla.
Nashukuru sana mkuu
 
Ukweli hukuweka huru". Lakini pia hata yeye akishajua hakubariki atachagua aendelee kuwa na wewe ama atafute ustaarabu mwingine,Kuficha ficha hakutamaliza tatizo ila kuliongeza kumbuka demu wako kuna wengine anawakataa akijua wewe upo na tayari hatua kazaa umemuonyesha.
Ndugu si sehemu ya mapenzi yenu lakini jua wanamsaada mkubwa kwenye maisha kwa ujumla.
Zingatia sana ushauri huu uliopewa hapo juu. Hata hivyo usiharakie kumweleza mwenzako. Mi nakushauri warejee wazazi wako mara tatu kuwasihi. Ikiwa mara zote tatu watakuwa wamekataa, nakusihi sana uwasikilize kama sababu zao ni za msingi kwasababu thawabu zao zina maana kubwa sana maishani mwako. Sisi tungepata nguvu ya kukushauri kama ungetueleza kwa kina sababu za wazazi kumkataa. Kama kweli unataka ushauri toka kwa watu ni vyema ukaweka wazi mpenzi wako ana background mbaya zipi ambazo wazazi wako wanazijua kuhusu mpenzi wako???
Tuambie ili tujue tukuunge mkono ww au wazazi.
Asikudanganye mtu; Safari ya ndoa ni zaidi ya mihemko ya mapenzi ndugu yangu; ingia kwenye ndoa ndio utajua ukweli. Sisi tulio kwenye ndoa tunajua thamani ya mke mwema na mwenye kibali mbele za Mwenyezi MUNGU. Usiwadharau wazazi wako kwa maana wakati mwingine Mwenyezi MUNGU hunena kupitia vinywa vya watu wa karibu yako. Mwenyezi MUNGU anajua zaidi, naomba kuwasilisha.
 
Simama, zungumza na maisha yako. Unayempenda ni wewe, sio mke wa familia. Hata hivo kama familia inafahamu background yake na unalifaham hilo then be informed! kwa uzoefu wangu imagine wakikupa mke wanayemtaka wao na wewe humtaki itakuwaje? just think of this....Mke ni wako wala sio wa familia, uamuzi utoke kwako ila jenga hoja ya kuwashawishi...

Ni kwel inauma sana
Habarini za weekend wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya njema..

Ni hivi mimi nina mpenzi wangu tuna miaka minne sasa toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano lazima muwe na mipango mingi ya maisha yenu ya kifamilia hapo badae mungu akijalia.

Kwa kuwa nampenda girlfriend wangu nikaona si vibaya kama nikienda nae nyumbani waanze kumzoea na yeye kuwafahamu ndugu zangu wengine.

Sasa baada ya kumpeleka nyumbani siku chache mbeleni nikawekewa kikao cha familia na kuambiwa kuwa mtu nilienae hanifai, ana background mbaya na hawapo tayari kijana wao niende kwenye hiyo familia.

Nilijitetea sana kumsafisha mpenzi wangu aonekane si mtu mbaya kama wanavyosema ila juhudi zangu ziligonga mwamba kabisa, na kuniambia nisiende nae tena nyumbani siku nyingine.

Naomben ushauri, je nimwambie mpenzi wangu hali halisi ilivyo? Maana toka siku hiyo akiniambia habari za yeye walivyompokea nyumban nafsi yangu inakuwa inanisuta..naombeni ushauri juu ya hili.
 
Waambie wakwambie black and white za huyo mchumba ako, sometimes wazazi wanakuwa waoga sana juu ya watoto wao wa kiume.
 
Habarini za weekend wakuu, Natumaini wote ni wazima wa afya njema..

Ni hivi mimi nina mpenzi wangu tuna miaka minne sasa toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano lazima muwe na mipango mingi ya maisha yenu ya kifamilia hapo badae mungu akijalia.

Kwa kuwa nampenda girlfriend wangu nikaona si vibaya kama nikienda nae nyumbani waanze kumzoea na yeye kuwafahamu ndugu zangu wengine.

Sasa baada ya kumpeleka nyumbani siku chache mbeleni nikawekewa kikao cha familia na kuambiwa kuwa mtu nilienae hanifai, ana background mbaya na hawapo tayari kijana wao niende kwenye hiyo familia.

Nilijitetea sana kumsafisha mpenzi wangu aonekane si mtu mbaya kama wanavyosema ila juhudi zangu ziligonga mwamba kabisa, na kuniambia nisiende nae tena nyumbani siku nyingine.

Naomben ushauri, je nimwambie mpenzi wangu hali halisi ilivyo? Maana toka siku hiyo akiniambia habari za yeye walivyompokea nyumban nafsi yangu inakuwa inanisuta..naombeni ushauri juu ya hili.
Waafrica tuna oa/kuolewa kwaajili ya familia zetu!
Mwanamke kama hakubaliki kwenu achana nae na unapoteza muda kama ukidanganywa umuoe...!

Tafuta mwanamke atakaye kubalika kwenu!
 
Duh hii scenario hua sitaman ije initokee mm Enzi hizo nampeleka mamsap msoga kwa babu. Ple sana bro, niko na huu uzi bega kwa bega
 
Kwani ukimuacha na kutafuta mwingine,wazaz wako wanaompenda utakufa?unataka radhi ya wazaz?
Hasiyesikia LA mkuu.........!
 
Hayo mambo ya nyimbo ni nadharia mkuu, in practice haipo hivyo. Hao wanaimba listen to your heart mataifa yao ndio yanaongoza kwa high divorce rate. Jifunze kuishi kihalisia. Kwa taarifa wengi waliokaidi ilifika mahali wakajuta. Tusilazimishe vitu.

easy easy mkuu taratibu kwanza...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom