Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Maisha ya maigizo yapo sana mitaani. Kwa mfano unakuta mtu yupo radhi anunue simu ya milioni moja ili tu aonekane na yeye ni class la juu. Au anunue gari ili watu wamuone ana gari, cha ajabu...
6 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari rafiki najitahidi sana kuamini kuwa wanaume ni wazuri ila kila kukicha naona hawa viumbe ni wanyanyasaji, wabinafsi, hawana utu, wauwaji, wabakaji, wanyaganyi, wauwaji, roho mbaya...
31 Reactions
390 Replies
31K Views
Tuna mahusiano ya mwezi 1, nilikutana naye nilivyokwenda kumtembekea classmate wangu ofisini kwake, sasa juzi alhamis nikaanda kalaki, nikasema tutoke. Tukakaa sehemu sehemu tukapiga vyetu...
2 Reactions
59 Replies
4K Views
Habari zenu wana Jf, Ni moja ya rafiki zangu ni kijana mkimya, mpole, mcha Mungu, ana heshima na mpiganaji katika kutafuta maendeleo, katika pilika pilika zake Mungu akampa binti mzuri, mpole...
15 Reactions
293 Replies
38K Views
Kumekua na hii tabia ya baadhi ya wanawake kupenda kuomba hela kutoka kwa wapenzi wao, huwa najiuliza tatizo ni nini? Wao wanahisi sisi wanaume tunapata wapi hizo hela wanakoshidwa wao...
13 Reactions
325 Replies
59K Views
Habari wanaJamiiforums, Kichwa cha habari cha jieleza. Leo nataka kuwakumbusha ninyi wanaume wa dot.com na wazamani msiojitambua bado na kulalama lalama tu, unakuta mwanaume amekaa kabisa...
25 Reactions
281 Replies
22K Views
Habari zenu wana JF, Hali ya hewa leo duh! na waume zetu wa Dar es salaaam waoga baridi kama nini? utasikia leo "baby njoo basi unaona hali ya hewa" ukikataa leo na weekend hii kibuti kinakuhusu...
6 Reactions
189 Replies
20K Views
Natambua uwepo wako humu ndani ya JF, Soma tuu maana hamna jinsi asome! Tumekuwa nae kwenye uhusiano hadi kufikia kutambulishana kwa wazazi, Mungu si athumani akapata ufadhili nchi za wenzetu...
2 Reactions
78 Replies
8K Views
Naomba kuuliza jamani mahana hawa wanawake nashindwa Ku waelewa hiv tabia ama matendo ya mwanamke anae kupenda kiukweli niyapi? na muongo ni yapi?
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Mama huyo anasema alitamani message hiyo iwe kama mpira ili aione airukie na kuishika isiende maana ile ame-press send button ndo akagundua alikuwa anamtumia mume wake na si hawara yake kama...
9 Reactions
148 Replies
15K Views
Leo kuna jamaaa alikuwa anamsumbua wife kiufupi hajui kujieleza manake yeye mara amwambie anataka amtoe out weekend hii, sasa tena anamtaka aende night club muda huu wa usiku so wife kaniambia...
3 Reactions
141 Replies
9K Views
Wadau, Jumapili iliyopita niliamua niende bar moja hapa maeneo ya Kimara Korogwe, kwasababu situmii pombe, niliagiza grand malt ya baridi nikawa nainywa, katika bar hii kuna mfanyakazi mmoja...
4 Reactions
89 Replies
11K Views
Habari zenu wadau, Mimi ni mgeni humu ndani nikaona siyo mbaya nika share nanyi ili nipate maoni yenu tofauti. Nina mpenzi ambaye kanitolea posa huyu mwanaume ananipenda sana tatizo ni dini yeye...
4 Reactions
118 Replies
12K Views
Maisha ya maigizo yapo sana mitaani. Kwa mfano unakuta mtu yupo radhi anunue simu ya milioni moja ili tu aonekane na yeye ni class la juu. Au anunue gari ili watu wamuone ana gari,cha ajabu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Leo ni siku ya wababa duniani. Baba ni nguzo muhimu sana kwenye familia naamini mlio wengi mmefanikiwa kwa baba zenu kuwa bega kwa bega na nyie. Pale ulipokosea baba alikuchapa ili akili ikae...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama ukifuatilia sana wenzetu wazungu waarabu wakorea, China nk huwa wanavutiwa sana na mwanamke mwembamba huwa hawavutiwi na matukunyema kabisa, hata kwa mwanamke wa mbele huwa hawapendi mwanaume...
1 Reactions
71 Replies
18K Views
Nimepita sehemu nimekutana na huu usemi je kuna ukweli wowote.
1 Reactions
111 Replies
31K Views
Salama wakuu. Leo nimepigiwa simu na mwanaume mwenzangu akilia kuwa natembea na mke wake.Sio mara ya kwanza kupigiwa simu na wanaume wenzangu kuhusu mimi kutembea na wanawake zao ila huyu...
8 Reactions
47 Replies
7K Views
Nimeuliza hivyo ili kama kuna majibu ya kitaalamu watu tujuzane maana isije kuwa na madhara kufanya mara nyingi zaidi mathalani tufanye kila siku. Jambo jingine la ziada ninavyoamini kwa...
1 Reactions
35 Replies
16K Views
Habarini wanajukwaa natumaini mpo salama, Najua wengi watajiuliza kwanini nasema ujihadhari kukopesha ndugu fedha! Wengine watahisi kuwa mimi nina roho mbaya na kuanza kunipa majina lukuki mara...
15 Reactions
50 Replies
9K Views
Back
Top Bottom