Hello WanaJF,
Natafuta mwanamke aliye 'serious' na mahusiano ya kweli atakekuwa mke wangu.
muonekano 'natural beauty',mkweli, mcha Mungu, umri usizidi miaka 26, elimu angalau kidato cha nne...
Kama kichwa cha habari inavyojieleza. Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimeajiriwa katika shirika lisilo la kiserikali hapa mjini. Nahitaji mwanamke aliye tayari kuishi katika na kutimiza wajibu wake...
Mimi ni kijana wa kiume(25). Ndo kwanza nmemaliza Chuo. Sijawahi kuwa na serious relationship. Kwa sasa sina kipato cha uhakika. Natafuta mwanadada mchamungu na mchapakazi. ambaye tutakuwa wapenzi...
Mimi ni jinsia ya me,
Elimu yangu ni shahada ya kwanza,
Kazi yangu ni ujasiriamali,
Umriwangu 33 yrs,
Nahitaji msichana awe na:
Umri kati ya 23-27,
Elimu isipungue ngazi ya cheti.
Asiwe na mtoto...
Wasalaam nyoote,
Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Mungu kutupa hai mpaka leo hii bila kujali wema au ubaya wetu.
Dunia imebadilika sana na hakika mwendokasi unachukua mkondo wake katika...
Mimi ni Mwanaume
Umri: Miaka 28
Elimu: Degree
Kazi: Employed
Dini: Mkristo
Kwa ufupi natafuta msichana alie single but awe anajitambua, elimu yoyote. . Tukikubaliana na kuelewana Mungu...
Mimi ni kijana mfanyakazi na nimejiajiri, naishi Tabora Mjini. Natafuta binti mrembo mwenye makalio makubwa kwaajili ya kuwa mpenzi wangu na baadae tukijaaliwa awe mke wangu. Sina mtoto na...
Jamani najitokeza kutafuta rafiki wa kike wa kuweza kunisaidia kimaisha katika kutafuta pesa maana kwa sasa sina kazi nipo nipo tu.sichagui lika wala dini kikubwa tu ni mapenzi ya kweli.mi nipo...
Habari...
Naitwa Richard, Humphrey nina miaka 26, naishi Tabata natafuta mwanamke atakaekuja kuwa mama watoto kama Mungu atapenda awe na sifa zifuatazo:
1. Mcha Mungu japo hata kidogo.
2...
I am Eric 25yrs naishi dar. Natafuta girlfriend ambaye atakuwa serious kuanzisha mahusiano awe
- mkarimu
- mrembo
- asiwe na tamaa ya pesa
- awe tayari Kuzaa
- elimu angalau form 4
- mwenye...
Kwa wadada
Najitokeza hapa kutafuta rafiki wa kike/mchumba kwani naamini anapatikana popote pale.Sichagui kabila,dini wala elimu ila awe na umri wa miaka 28 na kuendelea na asizidi 36
Mimi nina...
hii wana JF
Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika...
Habari,
Naitwa Frank ni kijana wa kitanzania,umri wangu ni miaka 30-35.
Nina kipato cha kawaida, naishi na kufanya shughuli zangu hapa Dar es Salaam.
Nahitaji binti mrembo wa Kitanzania mwenye...
Habari zenu.
Mimi ni kijana mtanzania, miaka zaidi ya 26. Hapa karibuni, rafiki zangu kadhaa wamepata watoto wao, na kusema ukweli ile excitement yao imenigusa mno. Mpaka umri huu, bado sina...
Habari wana JF,
Hii ni kwa sisi tunao tafuta mpenzi/mchumba/mke,Ili tutuhakikishia unacho maanisha kama sio utani na upo serious kweli ni bora uweke picha yako tukuone.Sio ma post kila siku...
Mini ni kijana wa miaka kama 25,26 au 27,naishi Mbeya,sina ajira ila nimemaliza degree ya kwanza ya elimu.
Sifa zangu
>mnene Kiasi
>mweupe kiasi
>sio mrefu wala sio mfupi
>Mcheshi,nikiwa...
Nahitaji mwanamke ambaye yupo serious kwa ajili ya kuanziasha naye mahusiano and may be marriage in the next few years. I like somebody who is loving, caring, charming, smiling and who knows what...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.