Mwanamke aliye tayari kuwa mama

Roger Sterling

JF-Expert Member
May 10, 2015
13,012
23,632
Habari zenu.

Mimi ni kijana mtanzania, miaka zaidi ya 26. Hapa karibuni, rafiki zangu kadhaa wamepata watoto wao, na kusema ukweli ile excitement yao imenigusa mno. Mpaka umri huu, bado sina uhakika kama naweza kuwa mume bora, ila nina uhakika kabisa kuwa naweza kuwa baba bora. Hivyo basi, nimeona nitafute mwanamama aliye tayari humu, since nikitafuta huku "duniani" chances are higher that they will get emotional and ask for more.

Nahitaji mwanamama ambaye uhusiano wetu utakuwa ni parenting tu, kwa sasa. Awe mrembo wa sura na umbo; awe vizuri kichwani; awe na uwezo wa kujitegemea; awe mzima kimwili na kiafya; awe ametoka katika familia iliyostaarabika; awe ametoka katika familia isiyo na magonjwa ya kurithi; umri miaka 20-32; rangi ya kuvutia na asilia; urefu 165cm-172 awe na good sense of humour; awe msafi wa tabia na mazingira; na mengine tutajadili mbele ya safari.

Kwa mwenye sifa, karibu.
 
sikujui paul but unaonekana wewe ni kijana mzuri sana.u deserve the best .usijiharibie maisha kwa kuiga lifestyle za mtu
mchukulie diamond hana tena future ya kuwa na stable family kazaa na zari zari ana familia ingine unaona hyo mixture ungependa kweli kuona watoto wako wapo family hii mara family hii?
unayo nafasi ya kuwa na stable family isiyoelemea mrengo wowote
pls take easy sio kila kitu ukikitamani ukikurupukie tu
 
Mkuu Paulo ni wewe au mwingine unamuombea?

Kama ni wewe kweli basi sasa naanza kuelewa wewe ni wa aina gani.

Kila la heri mkuu. Ila kwa hoja zako na uandishi wako ambao hua nauona humu nadhani ulitakiwa kua na basi mbili tatu za warembo ujichagulie mwenyewe nani awe mzazi mwenzako.

Yote kwa yote nikutakie kila la heri.
 
Mkuu Paulo ni wewe au mwingine unamuombea?

Kama ni wewe kweli basi sasa naanza kuelewa wewe ni wa aina gani.

Kila la heri mkuu. Ila kwa hoja zako na uandishi wako ambao hua nauona humu nadhani ulitakiwa kua na basi mbili tatu za warembo ujichagulie mwenyewe nani awe mzazi mwenzako.

Yote kwa yote nikutakie kila la heri.
penye miti hapana wajenzi kaka
 
Mkuu Paulo ni wewe au mwingine unamuombea?

Kama ni wewe kweli basi sasa naanza kuelewa wewe ni wa aina gani.

Kila la heri mkuu. Ila kwa hoja zako na uandishi wako ambao hua nauona humu nadhani ulitakiwa kua na basi mbili tatu za warembo ujichagulie mwenyewe nani awe mzazi mwenzako.

Yote kwa yote nikutakie kila la heri.

Hehe. Don't be fooled by the slick tongues, I'm still just as lame. Thanx for the cred and wish tho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom