Salaam,
Hii iwafikie wanawake na wasichana wote wenye wazo na hitaji kama langu. Mimi ni mwanaume, 28 years of age, living in Mwanza. Nina kazi yangu inayoniingizia kipato na naendesha maisha...
Watu wawili hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana.
Nipo katika kutafuta wakutimiza nae hatua ya pili kati ya tatu muhimu ambazo ni kuzaliwa kuoa au kuolewa na ya mwisho ni kuondoka duniani...
Sifa zangu kama ifuatavyo, mnyenyekevu, muislam, nina bachelor degree nina umri 25+yrs. Nahitaji mwanamke kwa aliyetayari kuolewa, awe na sifa zifuatazo
Awe muislam.
Awe na elimu ya kuanzia form...
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume naishi dar nimeajiriwa na taasisi ndogo ya fedha dar,natafuta mchumba ambaye yupo serious mwenye vigezo vifutavyo
1.awe mkisto
2.awe mrefu wastani na mnene...
Mimi ni kijana wa kiume;naishi dar nafanya kazi taasisi moja ya kifedha hapa jijini dar,nafuta mchumba ambaye yupo seriousy takakae kuja funga naye pingu za maisha
Vigezo
Awe mweusi na mnene...
Kama maada inavyojieleza. Mimi jinsia yangu ni me. Nahitaji na mwanadada msomi mpweke wa kubadilishana mawazo. Na kupeana mawazo namna ya kukabiliana na changamoto za maisha aliyetayari...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 Natafuta msichana wa kumuoa
VIGEZO
1.Awe na miaka 18~25
2.Awe tayari kuishi popote
3.Awe na heshima zake
Mwenye Vigezo Hivyo aje PM
Jamani ninatafuta mke kwa aliyeserious ili mfungo ukiisha tuje tufunge ndoa.
Masharti kama ifuatavyo
Awe muislam
Umri 18-26
Awe na upendo wa kweli
Kabila lolote
Kwa aliyeserious ani PM kwa...
Jamani wana jm naomba leo tulijadili suala hili,inakuwaje watu mlikuwa wapenzi kwa muda mrefu,lakini inapotokea uhusiana kwisha, yule anaeachwa anaanza kutoa maneno mengi ya kashifa matusi, na...
Mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 28,elimu yangu ni chuo kikuu,rangi yangu mweupe kiasi,urefu ni wastani pia nina mtoto .
Mwanamke mwenye vigezo vifuatavyo
aje Pm,
1.Awe na umri kuanzia 18-26...
Mambo vipi wananaMMU
Napenda nchukue wasa huu kutangaza kuwa natafuta rafiki mwana MMU wa kike,no condition and terms wote mnakaribishwa am new member by the way.
Naomba kuwasilisha.
Asante
Hi my name is Princess aged 31 looking for a serious male friend, am a single mother and i am in need of single dad so that we can make a good relationship.
Mimi ni mwanaume 31,naishi Dar.
Nahitaji binti yeyote mwenye hofu ya Mungu aliye tayari kuanza maisha ya ndoa.
Mimi ni Mweusi,mrefu,mwembamba wa wastan na mtanashati.nina elimu ya chuo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.