Nahitaji mchumba

Nahitaji mchumba

strange

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
31
Reaction score
40
Mimi ni jinsia ya me,
Elimu yangu ni shahada ya kwanza,
Kazi yangu ni ujasiriamali,
Umriwangu 33 yrs,
Nahitaji msichana awe na:
Umri kati ya 23-27,
Elimu isipungue ngazi ya cheti.
Asiwe na mtoto,
Asiye seriouz tafadhali aishia hapa asije akaja pm.

Karibuni pm.
 
Umefanya vema kufanya uamuzi Wa koa, Ni maauzi sahihi. Labda nikushauli kama una nia ya dhati ya kutaka kuoa, piga magoti mwombe Mungu atakupatia mke mwema. Kuna ndoa za mwendokasi siku hizi, usije kujuta! Mwombe Mungu
 
Umefanya vema kufanya uamuzi Wa koa, Ni maauzi sahihi. Labda nikushauli kama una nia ya dhati ya kutaka kuoa, piga magoti mwombe Mungu atakupatia mke mwema. Kuna ndoa za mwendokasi siku hizi, usije kujuta! Mwombe Mungu
thnx
 
Haki ya mama watoto wa kike wa siku hizi wana tabia za maigizo ili apate kuolewa ila oa uone kivumbi weeee !!!
 
kila la kheri mkuu. chunga siku hizi ke wana rekodi zao. siku ya harusi ukiona zawadi kama ya kibahasha hivi usifungue kabisa. Ichome moto.
 
kila la kheri mkuu. chunga siku hizi ke wana rekodi zao. siku ya harusi ukiona zawadi kama ya kibahasha hivi usifungue kabisa. Ichome moto.
Hahahahah kwani ukichoma moto ndo nini mkuu....we muoga sana aise
 
Hahahahah kwani ukichoma moto ndo nini mkuu....we muoga sana aise
hahahaaa mkuu Jahlex kuna mambo mengine ni bora usiyajue maisha yako yote hata kama yapo/yalikuepo.
"somethings are better left unseen/unrevealed" hasa kwenye mahusiano. there are so many scary things/stories in our pasts. kuwa makini ndugu, curiosity killed a cat.
 
hahahaaa mkuu Jahlex kuna mambo mengine ni bora usiyajue maisha yako yote hata kama yapo/yalikuepo.
"somethings are better left unseen/unrevealed" hasa kwenye mahusiano. there are so many scary things/stories in our pasts. kuwa makini ndugu, curiosity killed a cat.
Aksante mkuu,
umenipa elimu kidogo ila sometimes inabidi kujikaza kiaskari kuyakabili magumu kama hayo.
 
Mimi ni jinsia ya me,
Elimu yangu ni shahada ya kwanza,
Kazi yangu ni ujasiriamali,
umriwangu 33 yrs,
Nahitaji msichana awe na:
Umri kati ya 23-27,
Elimu isipungue ngazi ya cheti.
Asiwe na mtoto,
Asiye seriouz tafadhali aishia hapa asije akaja pm,
karibuni pm
Yaani huko uliko mtaani kwako ujaona mpaka uje humu kutafuta mke, are u seriuous ? Humu hakuna mke wa kuoa labda wa kugegedana tu.
 
hivi hawa watu mbona wananishangaza hivi kuna chuo cha ndoa.mke mwema mtu hupewa na Bwana Mungu full stop ndomana watu waoana leo kesho wameachana.
 
hivi hawa watu mbona wananishangaza hivi kuna chuo cha ndoa.mke mwema mtu hupewa na Bwana Mungu full stop ndomana watu waoana leo kesho wameachana.
Mkuu kwani kuachana si mipango ya Mungu pia?
Watu wanakutana popote ndipo ndoa inafuata...usikatishe watu tamaa.
 
Mkuu hata wewe unatangaza, hao wa mtaani U nashindwa kuwajua je hawa wa kwenye mitandao utawaweza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom