Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mm ni kijana kiume mwenye umri wa miaka30,natafuta mchumba wa kike ili tukifikia makubaliano tuoane. Ni pm kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wadau?? Mimi ni mwanaume natafuta friendz wa kubadilishana mawazo age iwe ina range 19-25, haina ubaguzi jinsia zote Xup 0687437852
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Jaman kwa mwanamke ataye penda kuchat na mm ani pm
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mm ni kijana miaka 28 makamo niliyonayo yanatosha kuanzisha familia ivyo natafuta mchumba awe na makamo yanayoanzia miaka 24 -32 vigezo... •Awe ana elimu kuanzia form 4 •Awe anafanya kazi yoyote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 24, mfupi lakini handsome boy, girl yeyote lazma nimvutie. Nipo dar, kazi yangu ni machinga, elimu yangu fom 6. Natafuta mpenzi, uwezo wa kumgaramia elfu 20 kila wiki...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF, Awali ya yote namshukuru Mungu kwa yote anayotenda kwa wanadamu wake, Pili,shukrani zangu ziwafikie viongozi wote wa Jf kwa ujumla wao na wadau/wanajumuiya wengine wote...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nahitaji urafiki na binti au mwanamke wa kizungu ila huwa nashindwa kuwapata kutokana na mazingira nilonayo na sina connection yoyote. Hivyo naomba mwenye uwezo anisaidie, sio kwa nia mbaya au...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Habarini wana jukwaa, Natumai mko poa. Bila kupoteza muda niende kwenye ujumbe tajwa hapo juu. Kuna Dada ambaye ni rafiki yangu wa karibu kwa kipindi kirefu sasa tumekua kama ndugu. Tumekua...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Mji huu una pilika nyingi sana kiasi kwamba muda wa kukutana na chaguo la maisha unakuwa mdogo. Hivi hakuna maeneo ambayo vijana wa kike kwa wanaume wanapoweza kukutana na kubadilishana mawazo?
0 Reactions
38 Replies
5K Views
.....
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi nina umri 27 rangi ya mwili maji ya kunde, mrefu wastani kazi yangu mtumishi wa serikali makazi kwa sasa nipo Sumbawanga Rukwa. Nahitaji msichana mwenye upendo wa dhati na yuko tayari...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Utamjuaje kama mtu anakupenda au magumashi. Moja katika maongezi yenu mwangalie vidole vyake kama vimenyoshwa wakati wa kuongea au vimekunjwa ukiona vimekunjwa ujue kuna ulakini. Pia soma elimu ya...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Looking for serious lady Looking for serious lady
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi There, Mimi ni mwanafunzi wa moja ya vyuo vilivyopo Dar es Salaam kwa ngazi ya Diploma ... Jinsia Ni KE, umri 21... Kwa kifupi napenda kutengeneza marafiki wapya kila siku na katika wao...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
I would like to take this opportunity to thank you all for contributions you provided. I also would like to thank all who sent pms, I tried to answer all pms as i received though I received more...
7 Reactions
73 Replies
9K Views
The subject refers, I'm a man aged 27, living and working in Mwanza. I'm looking for any serious lady whom I can later make my wife. She must be of not more than 26 years,A Christian and...
0 Reactions
5 Replies
904 Views
Natijokeza kwa mara ya kwanza wana JF mimi ni Mwanaume mwenye Umri wa miaka 27 ni Muhasibu natafuta mchumba ambaye atakua mke wangu vigezo awe mwalimu au Nurse Umri ni Kuanzia miaka 19-24 Rangi...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
My PM does not work Use 0625509102
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Pesa pesa pesa
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Ninaishi Shinyanga mjini. Naangalia na kutafuta fursa ya kumpata rafiki wa kike katika viunga vya mjini hapa. Urafiki huu utalenga kufikia ushirikiano wa kirafiki kulingana na mahitaji ya pande...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom