Habari wana JamiiForums,
Leo nimeamua kujitokeza kwenu kutafuta mchumba wa kiume (mume). Mwanaume nimtakaye ni awe na miaka kuanzia 30 mpaka 35 awe anaishi mkoani Kilimanjaro au Arusha, awe...
Kuna wimbo nilishawahi kusikia mwana jf anauulizia unaosema ""sina demu, kama unavyoniona mpz ndio maana ninekuchagua wewe malkia wangu.. Sio kwamba mimi sitaki demu ila sijamwona mwenye sifa na...
Ndugu zanguni wanaJF najitokeza hapa kwa Mara nyingine!
Mm natafta mchumba/ mke, Elimu yangu ni degree na nina miaka 29. Kwa sasa nipo mtaani nahangaika na maisha, sijaajiriwa ila sijachoka bado...
Kwa ufupi kabisa, natafuta girl anayefanya kazi Dar city centre na anatumia public transport. Awe kati ya 20 to 26 years old, asiwe mnene au mfupi. Nahitaji kampani yake kwenye foleni za jiji hili...
Mimi ni msichana wa miaka 24 nipo chuo kwa sasa, natafuta mchumba awe na kazi yake ila siyo mwalimu asiwe mfupi wala mrefu mengine tutawasiliana baada ya kufahamiana.
Karibu PM
SIFA ZAKE:Awe na umri kati ya 18------24,anaejitambua
BINAFSI:mm ni mwanachuo na mjasiliamali
MWONEKANO:mref ,rang brown af slim kiaina.
Yoyote mwenye sifa hizo anakaribishwa
Ncheki kptia...
Wadau habari zenu,
Natafuta mchumba ili baadae aje awe mke, awe na umri wa miaka 22-27, awe angalau amemaliza form 4 (sababu hapa ni kuwa huyu pamoja na kuwa mchumba/mke atakuwa mshauri wangu au...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 31, degree holder and good looking.
Niko hapa kutafuta binti wa kitanzania mwenye umri usiozidi miaka 31 ambaye yuko tayari kwa long term relationship kabila...
sifa za mwanamke
anatokea mikoa ya kaskazini
hajawai kuolewa
hana mtoto
miaka 31-35
elimu ya chuo
mfanyakazi
anaishi kwa wazazi
mume awe
muislam swala tano
mkoa wowote isipokuwa iringa mbeya...
Guys!
Am searching for a lady who enjoying doing se.x to hook up together,a lady should also like dirty chat and many se.x games,free to express herself on what she needs.
Terms:
Its not a...
Assalam aleykum wanabody,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mwanzoni mwa mwezi huu nilitoa bandiko la kutafuta mke wa kiislam hapa japo nilipata pm kadhaa lakini hakuna aliyekua...
Mimi ni mvulana mwenye umri wa 26ys. Naishi Dar natafuta mwanamke wa kuishi nae awe mkweli na mwaminifu, kabila lolote, dini yoyote. Vigezo na masharti vitazingatiwa.
Karbu PM kwa maelezo zaidi.
Watu wawili hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana.
Nipo katika kutafuta wakutimiza nae hatua ya pili kati ya tatu muhimu ambazo ni kuzaliwa kuoa au kuolewa na ya mwisho ni kuondoka duniani...
Natafuta rafiki jinsia zote me na ke,wa kunipa kampani na kunitembeza kuongea nae hapa mjini Iringa nipo mpweke sana sina rafiki sehemu napokaa.embu tufahamiane na kutembezana hapa mjini wakuuwa...
Wana MMU habarini za J4, ndugu zanguni nimekuja humu kwa sababu moja kuu tu.Natafta rafiki wa kike(mchumba) ikimpendeza bwana aje awe mama watoto!
Mtu huyu awe na miaka isiyozidi 27 na awe tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.