Sisi wataalamu wa kuyasoma matukio tumeamshwa tena ...na hatutaacha kuonya na kusema.
Wale wale waliowahi kuzandiki Serikali tena kipindi kile kile cha kuelekea uchaguzi wamerudi tena kwa style...
Bila shaka vikao vya kumtafuta Mbadala wa Nchimbi anayempenda yeye Mama, haya nasubiri kuona nani kuketi kiti cha Nchimbi
===============
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
Naona watu wanasema makamu wa Rais awe mkataliki je ni lazima makamu wa Rais awe mkatoliki
Wakatoliki wanajikutaga wao ni watu wa muhimu sana kuliko madhehebu mengine ya wakristo
Unajua watu...
Huyu mwanamke ni hatari aisee..
Kakataa katakata kushindwa kirahisi rahisi na asiye upande wake...
Je, inaandaliwa kesi ya uhaini dhidi yake...?
Inasemekana alikuwa na mipango ya kumpindua boss...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, akiwa katika Chumba cha Mahakama kabla ya kesi kuanza leo Agosti 26, 2026, amesikika akimwambia Makamu Mwenyekiti wa chama...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za wizara...
Wana wa Mungu JF , amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imaniyake popote mlipo.
Yupo uyu Bwana mkubwa Dr Nchimbi kwa kujiuzulu hali ya hewa katika mitandao ya kijamii imechafuka balaa...
Kwenye siasa kuwa na msimamo unaoleweka na wa wazi ni jambo muhimu sana la kujenga heshima na kuaminika.
Ukiangalia katika siasa za Tanzania BAKWATA wao wamejifungamanisha wazi kabisa na CCM na...
KATOLIKI niliwahi waambia, Kosa mlofanya mkapelekea MAGUFULI kuondolewa, lisijirudie .
Magufuli hata kama alikosea, ila hakuligusa KANISA Wala RASIMALI ZA NCHI.
Licha ya makosa yake Madogo, Bado...
Kada mashuhuri wa CCM Saidi Mwaipopo (sheikh?) kasema CCM ni chama kisichoweza kushindwa hivyo akasema watanzania wamuachie Mungu.
Msioamini kuwa Kuna Mungu kina Nyani Ngabu kazi kwenu.
Inatamausha mno kwa namna hali ilivyo. Inafikirisha vilevile kushuhudia hayo yawayo
Hofu yangu, huyu ndugu ataondoka kweli kwa utaratibu uliozoeleka?
Binafsi sioni akiondoka ki kawaida. Pengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.