Hiki ni kituko kingine cha ccm mwaka 2026
Mbona terms za maridhiano zilishawekwa wazi na Gen Z
Hawa watu sijui watuonaje huko
Na viwango vimeshawekwa..
Hii ni aina nyingine ya upigaji
Kibaha...
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea...
Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi?
Je, hii...
Rais analalama kuwa anachukiwa sababu yeye ni mzanzibari
Huyu anasema haitaji kupigiwa makofi pwa pwa pwa na kushangiliwa.
Kwa nini wasitafute jibu kuwa watu hawawapend?
https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL
Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue
Huyu, kwa wanaomjua, alianza uchawa akiwa shule.
Kama akichunguzwa wizi uliotokea chini yake akiwa wizara ya fedha, hawa wanaompamba hata kama wamenunuliwa au kujipendekeza, watakosa pa kuficha...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunzah, amefariki dunia akiwa gerezani wakati akitumikia kifungo chake.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Gunzah alikuwa...
Mpaka leo mnawaza kujenga madarasa, mpaka leo mnawaza kujenga barabara kwa kiwango cha rami, nk na tena mnasimama na majukwaan na kujinadi
Nadhani umri wenu unaendana hayo mawazo humuwezi...
Uchawa wa wanahabari: Mbona hakuna anayeuliza kuna Meli ngapi zilizopewa bendera ya Tanzania?
Soma Kwanini kusiwe na Shirika la Meli la Muungano ili kuepuka usajili wa kiholela?
Meli...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kenya nchini...
Rais John F. Kennedy alisema nukuu hii maarufu:
“Wale wanaofanya mapinduzi ya amani kuwa yasiyowezekana watafanya mapinduzi ya vurugu kuwa yasiyoepukika.”
Watanzania hawataumia kupanda kwa mafuta wataumia mauaji ya halaiki na serikali haramu kuteka maiti za watoto wetu
Suala la mauaji na kutekwa kwa maiti lishugulikiwe kwanza na wahusika wawajibishwe.
Rais Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026 ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Tukisema Rais Samia ni Mama wa Taifa na Mfariji Wa Taifa tunakuwa tunamaanisha . Rais Samia ni Mama mwenye moyo wa huruma , upendo na ukarimu mkubwa sana. Ni kiongozi...
LHRC inatarajia kutoa taarifa ya hali ya haki za binadamu nchini kama sehemu ya kazi zake za kila siku.
Ili kufanikisha ubora wa taarifa hii tunaomba maoni yako ya dhati kuhusiana na mtazamo wako...
Wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa Jeshi la Polisi kwenye mitandao yao ya kijamii. Naomba kujikita katika post yao ya jana tarehe 2 Machi 2026 ikimhusu Faustine Mafwele kama kiongozi (Mkuu...
Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali?
Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali.
Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.