Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hiki ni kituko kingine cha ccm mwaka 2026 Mbona terms za maridhiano zilishawekwa wazi na Gen Z Hawa watu sijui watuonaje huko Na viwango vimeshawekwa.. Hii ni aina nyingine ya upigaji Kibaha...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
1 Reactions
1 Replies
133 Views
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea...
19 Reactions
75 Replies
5K Views
Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi? Je, hii...
4 Reactions
10 Replies
473 Views
  • Redirect
Walio uwawa sio wale waliochoma moto vitu bali watoto na wajawazito hata hivyo wajibu wa serikali sio kuuwa wafanya vurugu tuachane siasa za hovyo
0 Reactions
Replies
Views
Rais analalama kuwa anachukiwa sababu yeye ni mzanzibari Huyu anasema haitaji kupigiwa makofi pwa pwa pwa na kushangiliwa. Kwa nini wasitafute jibu kuwa watu hawawapend?
9 Reactions
22 Replies
273 Views
  • Redirect
https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Huyu, kwa wanaomjua, alianza uchawa akiwa shule. Kama akichunguzwa wizi uliotokea chini yake akiwa wizara ya fedha, hawa wanaompamba hata kama wamenunuliwa au kujipendekeza, watakosa pa kuficha...
5 Reactions
Replies
Views
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunzah, amefariki dunia akiwa gerezani wakati akitumikia kifungo chake. Kwa mujibu wa taarifa hizo, Gunzah alikuwa...
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Mpaka leo mnawaza kujenga madarasa, mpaka leo mnawaza kujenga barabara kwa kiwango cha rami, nk na tena mnasimama na majukwaan na kujinadi Nadhani umri wenu unaendana hayo mawazo humuwezi...
0 Reactions
2 Replies
103 Views
Uchawa wa wanahabari: Mbona hakuna anayeuliza kuna Meli ngapi zilizopewa bendera ya Tanzania? Soma Kwanini kusiwe na Shirika la Meli la Muungano ili kuepuka usajili wa kiholela? Meli...
2 Reactions
5 Replies
133 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kenya nchini...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Rais John F. Kennedy alisema nukuu hii maarufu: “Wale wanaofanya mapinduzi ya amani kuwa yasiyowezekana watafanya mapinduzi ya vurugu kuwa yasiyoepukika.”
4 Reactions
4 Replies
107 Views
  • Redirect
Watanzania hawataumia kupanda kwa mafuta wataumia mauaji ya halaiki na serikali haramu kuteka maiti za watoto wetu Suala la mauaji na kutekwa kwa maiti lishugulikiwe kwanza na wahusika wawajibishwe.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Samia anaongelea kupanda kwa mafuta nimwambie suala la kuuwa watanzania na kuteka maiti ni kubwa kuliko la mafuta.
1 Reactions
Replies
Views
Rais Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026 ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya...
1 Reactions
11 Replies
302 Views
Ndugu zangu Watanzania, Tukisema Rais Samia ni Mama wa Taifa na Mfariji Wa Taifa tunakuwa tunamaanisha . Rais Samia ni Mama mwenye moyo wa huruma , upendo na ukarimu mkubwa sana. Ni kiongozi...
2 Reactions
58 Replies
697 Views
LHRC inatarajia kutoa taarifa ya hali ya haki za binadamu nchini kama sehemu ya kazi zake za kila siku. Ili kufanikisha ubora wa taarifa hii tunaomba maoni yako ya dhati kuhusiana na mtazamo wako...
6 Reactions
15 Replies
153 Views
Wakuu, Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa Jeshi la Polisi kwenye mitandao yao ya kijamii. Naomba kujikita katika post yao ya jana tarehe 2 Machi 2026 ikimhusu Faustine Mafwele kama kiongozi (Mkuu...
5 Reactions
18 Replies
528 Views
Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali? Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Back
Top Bottom